sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,980
- 4,986
Paskali sioni haja ya kunadi kazi za NEC,mwenye shughuli hizo yupo ni NEC mwenyewe.
Ila ukiona NEC hafanyi kazi yake ipasavyo ndiyo mapungufu ya msingi unayoyatamani yaondolewe mara mmoja, tuwe kama nchi za Scandinavia .Tuwe na utaratibu usiotia shaka kwa wagombea wa vyama vyote.
Kumbe wana demokrasia wanapodai Tume Huru wako sahihi kabisa.ndio transparency unayokusudia tuwe nayo hapa kwetu Tanzania.
Ila ukiona NEC hafanyi kazi yake ipasavyo ndiyo mapungufu ya msingi unayoyatamani yaondolewe mara mmoja, tuwe kama nchi za Scandinavia .Tuwe na utaratibu usiotia shaka kwa wagombea wa vyama vyote.
Kumbe wana demokrasia wanapodai Tume Huru wako sahihi kabisa.ndio transparency unayokusudia tuwe nayo hapa kwetu Tanzania.