Ponda apinga Mpango wa Serikali kuweka ulinzi misikitini

Ponda apinga Mpango wa Serikali kuweka ulinzi misikitini

Inapingana na Mafundisho ya Kanisa;USIUE.

Kaisome sheria ya Mungu kutoka kwenye vitabu vya Mungukama taurati, injili na zaburi. Hata hivyo tuyaache hapa si mahala pake.
 
Duh, hii nayo sasa kali, mbona dini zinaingiliwa sasa!
 
Kwa hili naungana naungana na mwanaharakata wangu,mpambanaji Sheikh Ponda Issa Ponda,hatukubali ujinga huu,serikali wanaacha kutumia nguvu hizo kwenye kupambana na wauza unga,wao wanapambana na waislam.Nawaambia serikali na ccm yenu mnapoteza muda wenu,endeleeni kuishika hiyo bakwata lakini mjue nyuma yao hakuna watu kabisaaa,waislam wa sasa ni waelewa sana.

Na nawaambia kwa hakika ccm tumewachoka,na ili kudhihirisha hivyo tunawachukukia na lazima tuwafundishe,maana tumechoka waislam kugeuzwa misukule. Vingineevyo mtende haki kitu ambacho hamuwezi.Mtandao wetu wa habari ni mpana sana kuliko vile mnavyozani ndio maana hata hizo propaganda zenu huwa zinafeli kila mara.

Baadhi ya viongozi ndani ya serikali wana maamuzi ya hovyo kabisa.
 
Itafikia wakati serikali ya CCM itatupangia mara ngapi tugegedane na wake zetu.
Hotuba ya masjid ipitiwe na serikali kwanza?? Labdq miskiti yao ya BAKWATA
 
Ushauri kwa serikali. Jamani watanzania wanapoteza uhai muhimbili. Kwanini matumia gharama kwenye ulinzi tu bila kufikiria tembeeni we pinda tembelea mahspi5ali uone so wepigwe tu.
 
Ni vigumu sana kujua ni nani anamwendesha nani kati ya Bakwata na srikali.Mara nyingi bakwata wakiona mambo hayaendi wanaitumia serikali na serikali pia,ni full mchanganyiko.
 
Ni vigumu sana kujua ni nani anamwendesha nani kati ya Bakwata na srikali.Mara nyingi bakwata wakiona mambo hayaendi wanaitumia serikali na serikali pia,ni full mchanganyiko.

'iko wazi kaka ni swali dogo tu la kujiuliza.................kwani hiyo bakwata imeanzishwa na nani kama si serikali,hivyo serikali inaiendesha bakwata na inaitumia kama moja ya chombo chake,poor bakwata'
 
Mbona imezidi hii, au sijaelewa?
Kwamba kabla shekh ajaanzisha ibada inabidi ahojiwe atatoa mawaidha gani, au?

Ktk moja ya vichocheo vya udini ni pamoja na baadhi ya maimamu kuhubiri chuki na uzushi badala ya dini, na siyo waumini wote wanakubaliana na hili lakini watasemea wapi...ndiyo kamati bila shaka zitakuwa na wanazuoni waliobobea ambao wataangalia ustawi na weledi wa dini unazingatiwa ktk mawaidha tarajiwa (haswa kwa maimamu pasua kichwa)..
 
ningemshauri mheshimiwa rais wetu hebu amwite Ponda akae nae amuulize anataka nini yy kama mtanzania na yy kama kiongozi wa kiislamu.

swala la ulinzi msikitini eti kuhoji kila anayeingia mskitini na mawaidha kusomwa kabla na kikos cha ulinzi ndipo wasomewe waumini ni kuharibu utaratibu wa ibada na pia ni kuharibu uhuru wa waumini.

kama serikali inahaofu na huyu Ponda bado inauwezo wa kukaa nae na kujua nini hasa kinachomfanya a-act kama afanyavyo.

Rits unapingana na serekali ya ccm!
 
Hili wazo halikubaliki labda waliboreshe na kusema Mahakama zote za Kidini zitambuliwe Kisheria ndani ya Katiba,maana hata baadhi ya Madhehebu kama WAKATOLIKI wana Mahakama zao na Rufaa hupitia hatua mbalimbali mpaka hufika kwa Papa.Kwa Ujumla Shekh Ponda na Kundi lake napishana naye kwenye Hoja Dhaifu kama hizi za Mahakama ya Kadhi.

Ss kjana wangu kwan shekh Ponda amekataa hao Wakatolik wacdai Mahakama yao? Kama kweli ipo na ina Maslah kwao wangeweza kukaa kmya muda wote huo? By then hl la kudai Mahakama ya Kadh halijanza leo wala jana lipo cku nyng so cha mcng n wao kucmama na kudai hyo haki yao na c vngenevyo Period
 
sasa kwani kuimarisha ulinzi ni kosa tena, jaman watanzania mbona kila kitu mnalalamika, mbona sisi hapa arusha Kanisa kotoliki siku ya j pil tunalindwa japokuwa kanisa letu liko karibu sana na makao makuu ya polisi, polis hutanda kila kona kukukikisha ibada inamalizika kwa usalama na magari ya waumini yako salama,
kwahiyo pia padri anapangiwa nini cha kusema? embu rudia kusoma tena labda hujaelewa
 
rits unapingana na serekali ya ccm!

mkuu umekosea ama ulimaanisha??

Btw siko hapa kuitetea serikali ya ccm manake inatakiwa ijitee yenyewe. Mm nipo hapa kusema lile ambalo ni la kweli kwa mujibu wa upeo wangu wa kufikiri na kumbambanua mambo. Wataka kusema kwamba kosa likiwepo basi tusiseme kisa tu ni ccm??
 
Duh wewe cjui upo dunia ya wapi.KWANI JK HAJARUHUSU MAHAKAMA YA KADHI?MBONA ALISHARUHUSU NA WAISLAMU WENYEWE WAKAANZA UGOMVI JUU YA UTEUZI NA KUMTAMBUA KADHI AU WEWE UNAJIFANYA KUJAZA PAMBA MASIKIONI.WANACHOTAKA WAISLAMU NI MAHAKAMA KUHUDUMIWA NA PESA YA SERIKALI NA SII VINGINEVYO!
unapenda kuandika ila sio mfatiliaji wa mambo, mahakama ya kadhi ambayo waislam wanaitaka iwe inatambulika kikatiba hiyo unayosema wewe ni kwamba muislam anaweza akampeleka muislam mwenzake kumshtaki lakini mshtakiwa akagoma kwenda na asifanywe kitu sasa hapo ni mahakama au kutaniana? ila ingekuwa kwenye katiba ukishashtakiwa huna budi kwenda kusikiliza kesi
 
Mnalindwa na muzidi kulindwa kwa style hio.

Je laki akija Padre kutoka sehemu nyengine huomba ruksa kwa hao "walinzi" kabla ya kuhubiri?
 
Back
Top Bottom