Ponda apinga Mpango wa Serikali kuweka ulinzi misikitini

Ponda apinga Mpango wa Serikali kuweka ulinzi misikitini

Tatizo la Shekh Ponda haelewi anachopigania.Wakati anapinga kamati ya Ulinzi na Usalama Misikitini inayoratibiwa na Serikali,Anataka Mahakama ya Kadhi inayohudumiwa na Serikali.Ponda,Mpe Kaisari yaliyo yake Kaisari na Mungu yaliyo yake Mungu.


'mahakama ya KADHI ina uwezo wa kujihudumia yenyewe na hata waislam wanaweza wakaihudumia wenyewe kama hujui kwa taarifa yako kwenye mchakato wa mahakama ya KADHI serikali ilishaambiwa kama inakataa mahakama ya KADHI kwa kujua kuwa itakuwa iko chini ya serikali ilishaambiwa iwaachie WAISLAM wenyewe na itakuwa iko chini ya WAISLAM na wala HAITATEGEMEA CHOCHOTE kutoka serikalini na bado wauza UNGA wenu wakakataa kuwapa WAISLAM HAKI yao kama sio KUWADHULUMU ni nini,kwa hiyo usiseme SHEIKH PONDA anataka mahakama ya KADHI inayohudumiwa na WAUZA UNGA acha kuropoka mambo usiyoyajua unadandia treni kwa mbele shauri yako utagongwa nyuma...'
 
Sawa ulinzi uwepo lakini hilo la kamati kuanza kupitia kwanza mawaidha siliungi mkono ni kuanza kuingiliana kwenye mambo ya kiimani bwana
 
Aisee CHAMVIGA wewe CHIboko.Yaani anayepinga na Mpango wa serikali wewe unampa LIKE anayeunga mkono mpango huo unamgongea LIKE!
 
Tatizo la Shekh Ponda haelewi anachopigania.Wakati anapinga kamati ya Ulinzi na Usalama Misikitini inayoratibiwa na Serikali,Anataka Mahakama ya Kadhi inayohudumiwa na Serikali.Ponda,Mpe Kaisari yaliyo yake Kaisari na Mungu yaliyo yake Mungu.

Ww ndo hujielew kabsaaa, coz tatzo c uwepo wa kamat ya ulinz, lahasha! ila n Majukum ya hyo Kamat.., tena ukiangalia kwa Makin lengo la Kamati hyo n kucmamia Maslah ya Serikal kutokana na ukwel kwamba wanataka Mashekh na Maimamu waongee hayo wanayotaka.., ss hyo itakua dini tena au Chama cha Siasa? By then ikumbukwe kua Quran ina sheria, na micng imara ya kumuongoza Muislam na c hzo za kufanyiwa amendment na Wanadam!!
 
Mkuu hii tena sio kulinda bali ni kuingilia uhuru wa kuabudu,iweje kamati ipitie hotuba ya imamu kabla hajaisoma kwa waumini,hii maana yake hata mawaidha yanaweza kuwa yanaandaliwa au kupitiwa na hiyo kamati kabla hayajatolewa kwa waumini.....hii emepitiliza.

nieleweke vema!!nazungumzia ulinzi tu kama mmewapa mwanya mpaka wa imamu kukaa na mipolisi/tiss kuandaa mawaidha na taratibu nyingine za ibada ,labda mwanzoni ulikua kautaratibu kenu mmejiwekea saivi kimabadilika ladha ndo mmekuja kutuelezea.
ilianzaje kaka?
 
Namuunga mkono ponda ni vyema serikali ikakaa mbali na hisiji husishe kwa namna hii na huko ni kuwanyima watu uhuru wa kuabudu. Misikiti na makanisa wana utaratibu wao wa kujilinda toka zamani.

Nivyema serikali ikajiweka mbali na isitumie matukio kuwaziba watu midomo.
 
Wangeweka JW au Police kulinda viatu na magari nje, lakini sio kamati ya Ulinzi. Huo ni kuingilia uhuru wa waumini

wao wanakaa tu hata hawashiriki mnayofanya? Ponda saivi kaelekea wapi vile?
 
Mimi binafsi naungana na Sheikh Ponda kwenye ili.

Japo mimi si mwislamu lakini katika hili wanalofanyiwa waislamu naungana kabisa na Ponda kwa msimamo huu.Na hapa narudisha nyuma kumbukumbu ya Lwakatale wa mrejesho toka mahabusu akimwelezea Ponda kama msomi mzuri sana ambaye watu wengi hawajamjua.Kwa hilio msipoikataa CCM nitawashangaa sana maana huwezi kutenganisha kati ya hiki kinachotokea na chama kinachotawala.CCM ilitakiwa iwe ya kwanza kukataa unyanyasaji wa namna hii kabla hata haujaletwa kwa watu.
 
Ww ndo hujielew kabsaaa, coz tatzo c uwepo wa kamat ya ulinz, lahasha! ila n Majukum ya hyo Kamat.., tena ukiangalia kwa Makin lengo la Kamati hyo n kucmamia Maslah ya Serikal kutokana na ukwel kwamba wanataka Mashekh na Maimamu waongee hayo wanayotaka.., ss hyo itakua dini tena au Chama cha Siasa? By then ikumbukwe kua Quran ina sheria, na micng imara ya kumuongoza Muislam na c hzo za kufanyiwa amendment na Wanadam!!

Hata mimi siungi Mkono kamati za ulinzi na Usalama zinazoratibiwa na Serikali Misikitini.Kwa Ujumla Siungi Mkono Wazo lolote la Serikali kujiingiza kwenye Mambo ya Ibada ikiwemo Mahakama ya Kadhi.
 
Aisee CHAMVIGA wewe CHIboko.Yaani anayepinga na Mpango wa serikali wewe unampa LIKE anayeunga mkono mpango huo unamgongea LIKE!

Kumpa mtu like haimanishi kuwa unakubaliana moja kwa moja na hoja bali kuthamini mchango wake katika uzi uliuanzisha.Tambua hilo.Chamviga ni mwanaccm na mimi ni mwana Chadema lakini penye haki lazima tusimamie haki.Mimi kama mkristo siungi mkono wazo hilo la kijinga la kuratibu mawaidha(za) ya maimamu.Kama hivi ndivyo basi hata sisi wakristo mapadre wetu wahaririwe kwanza kabla hawajasema mbele ya waamini.
 
Huyu si Mfungwa mbona hana tofauti na mtu huru?
 
ni wajibu wa serikali kulinda raia wake na mali zao.

etieh? ni waislam 2 walindwe au wakristo pia? cjui wasiona dini watalindwa na nan? hv usalama wataifa msikitini hawaendi au ndo serikali haiwaamini?
 
sasa kwani kuimarisha ulinzi ni kosa tena, jaman watanzania mbona kila kitu mnalalamika, mbona sisi hapa arusha Kanisa kotoliki siku ya j pil tunalindwa japokuwa kanisa letu liko karibu sana na makao makuu ya polisi, polis hutanda kila kona kukukikisha ibada inamalizika kwa usalama na magari ya waumini yako salama,

inamaana wewe unjifanya haujelewa au unataka kumiza vichwa vya watu haya huyo padre wako anapangiwa cha kuhubiri? Auunakuskuma ukristo kuongea pumba hizo?
 
malengo yao hayo hapo.

“Majukumu ya kamati hizo yaliyoainishwa ni kwamba:-
1. kamatiitamhoji muislamu yeyote atakayetaka kuzungumza na Waislamu ndani ya eneo la msikiti na wasiporidhika, watamzuia na kuwasiliana na ofisa usalama wa wilaya.


2.Kamati itamhoji sheikh au imamukutoka msikiti mwingine kabla ya kuruhusiwa kuongea na waumini,

3.pia kamati itapitia hotuba ya sala ya Ijumaa katika msikiti husika kabla imamu hajaisoma kwa waumini.


4.Kamati za ulinzi na usalama ndizo pekee zitakazokuwa na majukumu ya kuomba kibali serikalini kwa ajili ya mikutano yote ya ndani na nje ya Waislamu na mwisho,

5. (watatakiwa kuripoti kwa OCD)aliwaagiza wajumbe wa kikao kuwasilisha taarifa kamili kwa kamati hizo ofisini kwake.

hyo namba tatu kboko.
 
'mahakama ya KADHI ina uwezo wa kujihudumia yenyewe na hata waislam wanaweza wakaihudumia wenyewe kama hujui kwa taarifa yako kwenye mchakato wa mahakama ya KADHI serikali ilishaambiwa kama inakataa mahakama ya KADHI kwa kujua kuwa itakuwa iko chini ya serikali ilishaambiwa iwaachie WAISLAM wenyewe na itakuwa iko chini ya WAISLAM na wala HAITATEGEMEA CHOCHOTE kutoka serikalini na bado wauza UNGA wenu wakakataa kuwapa WAISLAM HAKI yao kama sio KUWADHULUMU ni nini,kwa hiyo usiseme SHEIKH PONDA anataka mahakama ya KADHI inayohudumiwa na WAUZA UNGA acha kuropoka mambo usiyoyajua unadandia treni kwa mbele shauri yako utagongwa nyuma...'

Jaribu kuwa Mdadisi Kidogo.Makadhi wameshateuliwa ila Shekh Ponda na Wenzake wanadai hawawatambui kwa sababu wameteuliwa na Shekh Mkuu wa BAKWATA.
 
'mahakama ya KADHI ina uwezo wa kujihudumia yenyewe na hata waislam wanaweza wakaihudumia wenyewe kama hujui kwa taarifa yako kwenye mchakato wa mahakama ya KADHI serikali ilishaambiwa kama inakataa mahakama ya KADHI kwa kujua kuwa itakuwa iko chini ya serikali ilishaambiwa iwaachie WAISLAM wenyewe na itakuwa iko chini ya WAISLAM na wala HAITATEGEMEA CHOCHOTE kutoka serikalini na bado wauza UNGA wenu wakakataa kuwapa WAISLAM HAKI yao kama sio KUWADHULUMU ni nini,kwa hiyo usiseme SHEIKH PONDA anataka mahakama ya KADHI inayohudumiwa na WAUZA UNGA acha kuropoka mambo usiyoyajua unadandia treni kwa mbele shauri yako utagongwa nyuma...'

Duh wewe cjui upo dunia ya wapi.KWANI JK HAJARUHUSU MAHAKAMA YA KADHI?MBONA ALISHARUHUSU NA WAISLAMU WENYEWE WAKAANZA UGOMVI JUU YA UTEUZI NA KUMTAMBUA KADHI AU WEWE UNAJIFANYA KUJAZA PAMBA MASIKIONI.WANACHOTAKA WAISLAMU NI MAHAKAMA KUHUDUMIWA NA PESA YA SERIKALI NA SII VINGINEVYO!
 
Jaribu kuwa Mdadisi Kidogo.Makadhi wameshateuliwa ila Shekh Ponda na Wenzake wanadai hawawatambui kwa sababu wameteuliwa na Shekh Mkuu wa BAKWATA.

'sasa wee kama mdadisi na kwa uthibitisho unajua KADHI anateuliwa na nani?,unajua hao masheikh akiwepo sheikh..........nani yupo juu kati yao na KADHI?,unajua KADHI ana mamlaka gani?,ile bakwata ni taasisi ya kidini kama zilivyo taasisi nyingine za kidini,unajua WAISLAM wana taasisi ngapi za kidini?,hata kama ni wao kama taasisi wangekuwa na HAKI ya kumchagua KADHI kwanini wasishirikiane na taasisi nyingine za kidini wakamteua KADHI kwa pamoja ikamteua kadhi wanaomjua wao wakatuletea?,huyo wanamtambua wao na wewe WAISLAM HATUMTAMBUI,nijibu hayo MASWALI wee kama kweli mdadisi..............kwanza hilo jina halifanani na wewe wee ulitakiwa uitwe Farujike tu...'
 
Back
Top Bottom