Ponda aachiwe mara moja - Lipumba



Ndo huyu mnayemtegemea kichwa maji huyu. Ni lini huyu bwana ataacha kupayuka?? mbayu wayu ni mbayu wayu tu siku zote.
 
Huyu ni mmoja kati ya viongozi wasio na tija hapa Tanzania. Matukio yasigeuzwe mtaji wa kisiasa.
 
Anamtetee mahakaman ama aaandae maandamano kwenda gerezani alipowekwa
 
Lipumba amekwisha kisiasa hivyo inabidi atafute kila aina ya njia kujipatia umaarufu mbele ya wavaa vipedo wake.
 
haijawahi kutokea chadema wakazungumzia utaifa,wao huwa wanaangalia zaidi uchaga na kanisa.hii mbegu ilipandwa na chadema kwenye uchaguzi mkuu 2010 ambapo walikuwa wanawatenga waumini wa kanisa waliokuwa wanaunga mkono ccm mfano sumbawanga

Useme ya huku S/wanga kama huyajui.
Nini chanzo cha kutenguliwa uchaguzi?Chanzo cha hayo kuanza kanisani?Ukipata majibu ya maswali hayo utaacha kuchangia vitu usivyojua.
 
mwache akae ndani kwanza ajue kwamba hawezi kutuchezea watanzania kama anavyodhani, na wewe lipumba kama kweli umetoa kauli hii basi kuupata urais wa tanzania usahau rasmi.
 

Lipumba is my teacher, but quite an unfortunate political character. In fact is such an unfortunate power opportunist. He was a policy kitchen archtect in the Mwinyi Government, a political demagogue against Mkapa Government, but a damn islamic fundamentalist, not an opposition, of Kikwete Government.
 
Wasingeweza kusema aachiliwe kwa dhamana wakati mahakama imezuia.Sijawahisikia Chadema wakisema mtu aachiwe ikiwa kesi inaendelea.Kama nimesahau naomba nikumbushwe!!!!!
Kama waliwhi, nachelea kusema walikosea.Tusishabikie bila kutumia akili.
 
Useme ya huku S/wanga kama huyajui.
Nini chanzo cha kutenguliwa uchaguzi?Chanzo cha hayo kuanza kanisani?Ukipata majibu ya maswali hayo utaacha kuchangia vitu usivyojua.

hiyo ni topic nyingine,mi nimeongelea waumini wa kanisa kutengwa na kuvuliwa uumini kwa sababu waliunga mkono ccm
 
kwa waislamu sheria ndio inatakiwa kufuata mkondo kwa chadema hapana wanaonewa wacheni propaganda za kichaga[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Chadema katika lipi?
 
Hili jamaa na chama chake si ndio wafadhili wa Radio na imaan na gazeti Al-nuur.

Poor you na ama hawezi kuwa Rais wa Tz may be hii nchi iwe inaongozwa na sharia.

sasa Yule PADRI wa karatu ndo ataupata huo urais ?, 2015 hata akija kanisani hatudanganyiki.
 
Nasikia ni mgombea wao wa 2015 jimbo la Ubungo. ha ha ha ha ha ha ha ha...kweli CUF ni genge la wahuni.

ni Genge la wahuni wa kwenda disco la BIRKANAZ la MBOWE, kumbe mbowe ndo kiranja mkuu wa WAHUNI.
 
chadema christianism hapo sawa au unabisha ulivyo mbinafsi

Sababu ni zipi?CUF ushahidi ni yale ya Arusha mapokezi ya Lipumba kujadiliwa msikitini.
Dr.Slaa ni padre aliasi,hivyo si padre kwa imani ya kikatoliki na wala haruhusiwi hata kufunga ndoa kanisani.
 
Kweli Lipumba ni Pumba mpaka Pumbest. THe most boring Prof
 
bora JK aendelee kukaa madarakani kidikteta baada ya 2015 kuliko LIPUMBA kuwa hata mkuu wa wilaya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…