KAZIMOTO
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 1,073
- 324
kwani chadema ni nani nchi hii?achana na siasa za udini dogo.argument zako ni vapour
hata kauli ya chadema ilikuwa na mashaka wanatoa kauli ambazo zina malengo ya kisiasa kuliko utaifa.
kwani chadema ni nani nchi hii?achana na siasa za udini dogo.argument zako ni vapour
Nasikia ni mgombea wao wa 2015 jimbo la Ubungo. ha ha ha ha ha ha ha ha...kweli CUF ni genge la wahuni.
Nasikia ni mgombea wao wa 2015 jimbo la Ubungo. ha ha ha ha ha ha ha ha...kweli CUF ni genge la wahuni.
Hawa jamaa tusahawajua na mbinu zao hizo za kutaka uislimisha Tz.
Bora hii nchi tumpe philipo Mulugo kuliko hawa jamaa.
Wakati anagombea Urais kwa nini hakuwa muwazi kuomba kwa Waislamu wenzake tu.
Wanasema Nyerere alikuwa mdini lakini na wao wanapita kwenye nyazo zilezile. Ni nani sasa atasahihisha makosa ya Nyerere.
Kama lipumba hakutoa kauli wakati wa kuchoma makanisa hakutakiwa kulitolea kauli suala la ponda kwani ni mwanasiasa tunategemea lengo lake ni kutuongoza kwa usawa.
hata kauli ya chadema ilikuwa na mashaka wanatoa kauli ambazo zina malengo ya kisiasa kuliko utaifa.
.haijawahi kutokea chadema wakazungumzia utaifa,wao huwa wanaangalia zaidi uchaga na kanisa.hii mbegu ilipandwa na chadema kwenye uchaguzi mkuu 2010 ambapo walikuwa wanawatenga waumini wa kanisa waliokuwa wanaunga mkono ccm mfano sumbawanga
Ni kweli gazeti la dini yao lilimtangaza Ponda atachuana na Mnyika uchaguzi ujao Ubungo.Eti wakadai Ubungo ina Waislam wengi kuliko wakristo kwa hiyo ni lazima Ponda ambwage Mnyika
Enheee, hapo chawa kabicha! Udini udini tu, waende Iran na Afghanichtan. Hata Bochinia naa Hezegovina kwichaaacha chiku nying udini uo!mkuu yakitokea machafuko mengine inabidi na Lipumba naye awekwe ndani anyee ndoo.
.
Kwa nini chama hakifutwa badala ya kulalamika na kuwa kama propaganda???
Rais ni wa kwenu kwa nini asikifute?
kama ilivyo kwa chadema ambapo kumejaa wachungaji na maaskofu na watoto wa wachungaji,angalia mchungaji msigwa,mchungaji israel natse,padre slaa na mtoto wa mchungaji joshua nasari
kama ilivyo kwa chadema ambapo kumejaa wachungaji na maaskofu na watoto wa wachungaji,angalia mchungaji msigwa,mchungaji israel natse,padre slaa na mtoto wa mchungaji joshua nasari