- Thread starter
- #21
Ndio wapiNjoo hapa milestone
Ndio wapiNjoo hapa milestone
Ngoja nikunywehuo hapo👆mshangazi.
Angalia usije ukapasuliwa yai. Mwanaume unaanzaje kupenda vitu vya bure?Duh leo nimekaa nimemis pombe za bure leo weekend watu mnakaje nyumbani tokeni ata njee tu mtembee labda utapata pombe za bure mimi nipo hapa kitambaa cheupe nasubilia 😂
Ninyi ndio siiwataki hapa sawa nife na njaa wakat mdomo wa kuongea ninaoAngalia usije ukapasuliwa yai. Mwanaume unaanzaje kupenda vitu vya bure?
Umevaaje nikuje hadi hapoKama uko kitambaa ya sinza sema uko wapi nikununulie
Sehemu gani niko meza ya jirani na jescaNipo hapa nyuma kama unatoka getini
Ndio kuna shidawe ni kamanda
Dume la nguvuWewe ni KE ama DUME?
Bara au pwaniNdio kuna shida
Afande au raia?Bara au pwani
Ataliwa huyu LeoUna hatari Mkuu 😂😂😂
BaraBara au pwani
Kuwa makiniBara
Kuwa makini
SawaKuwa makini
Na mimba atabebaAtaliwa huyu Leo