Pombe na wanawake chepi ni chanzo cha humasikini?

Mi nimeshindwa kukuelewa, kwanini ulinganishe mwanamke (binadamu) na pombe (kinywaji chenye ulevi) katika uletaji wa maendeleo. Mwanamke kama binadamu mwingine, ana mchango mkubwa katika maendeleo yake na taifa. Pombe, kampuni zinalipa kodi, baa zinalipa kodi ya vileo, na watu kupata ajira. Sasa kama una hiyo maana nyingine, basi chanzo ni wewe mwenyewe!
 
nimeuliza over since i have seen and hear most people talking abt alcohol and women who love slope dnt like to work hard and make profits from men who have cash, good time and spending all day n 9t. au hujawahi hona those kind of life same leaves?

Lugha gani unayojua kuandika kwa usahihi?
 
katika fikira na mtazamo pombe na wanawake kipi huludisha maendeleo nyuma, chepi kati yahaa huleta umasikini katika jamii?

Hakuna hata kimoja kinacholeta umasikini kati ya hvyo ulivyovitaja.

»Uoga wako ndio umasikini lakini kumbuka wasiwasi ndio akili
»Uvivu aka Ubwanyenye aka buzwhazii
»Kupenda Ubwete aka mtelemko
»Ujinga
»Magonjwa
 
sio kweli me napenda sana starehe lakini sio maskini.

inategemea na income yako na matumizi yako.kama umeshajipanga basi dnt forget ur family. kama watoto wanasoma vizuri na unatumia hutakavyo n ur wife gets wats she deserves dats cool, spend as much as yo can since sijui bata gani unapendelea.
 
Hakuna hata kimoja kinacholeta umasikini kati ya hvyo ulivyovitaja.

»Uoga wako ndio umasikini lakini kumbuka wasiwasi ndio akili
»Uvivu aka Ubwanyenye aka buzwhazii
»Kupenda Ubwete aka mtelemko
»Ujinga
»Magonjwa
mm mimeona watu maisha yao yanaanguka coz of those stuffs, kaa ukijuwa 70℅ ya kizazi cha wanawake kwetu sisi wanaume ni asset kwao.na hii inaonesha kwamba maisha ya sasa without cash ur useless my men.! do yo agree or not? then i will proceed. !
 
katika fikira na mtazamo pombe na wanawake kipi huludisha maendeleo nyuma, chepi kati yahaa huleta umasikini katika jamii?

Nikuulize na wewe mkuu.Ni wanaume tu ndo hupatwa na umasikini?Au ulitaka kuuliza kati ya pombe na kutapanya mali kwa uzinzi(wote wanaume na wanawake huwa wanahonga na kutumia vilevi),kipi hufukarisha kwa kasi zaidi kikizidishwa?
 
Nikuulize na wewe mkuu.Ni wanaume tu ndo hupatwa na umasikini?Au ulitaka kuuliza kati ya pombe na kutapanya mali kwa uzinzi(wote wanaume na wanawake huwa wanahonga na kutumia vilevi),kipi hufukarisha kwa kasi zaidi?
siyo wanaume tu hata wanawake pia! sorry kwa kuingia to another point!" have' nt yo seen a girl being loved with a rich men who have family and been provided with everything as she wishes in her future dreams and by the end of da day being f**k with other dude who jst gives her pressure?", unathani kinachofata ni nn kwa huyo mwanamke? nyws sorry about my topic nimelenga sana sisi wanaume coz ndio chanzo cha kuaribu mambo mengi katika familia.
 
hebu cheki wadogo zeta vyuoni mambo wanayo fanya saiv! unazani kizazi cha kesho kitakuwaje kama umefatilia mchadala huwo?
 
katika fikira na mtazamo pombe na wanawake kipi huludisha maendeleo nyuma, chepi kati yahaa huleta umasikini katika jamii?

Chanzo cha umasikini ni namna ambavyo mtanzania mmoja mmoja tunashindwa kujiongeza kila mtu kwa nafasi yake,mf wewe ebu angalia ulichoangalia CHEPI,YAHAA,HULUDISHA....
 
Chepi > kipi
humasikini > umasikini
huludisha > hurudisha
yahaa > ya haya

Nadhani ulikuwa na nia nzuri tu ya kuandika hii mada, jaribu kurekebisha hayo maneno uliyokosea hapo juu. Nina wasiwasi huenda ulikuwa "pombe" wakati unaandika huu waraka.
kama sio pombe basi alikuwa na "mwanamke". Akawa anaweweseka wakati wa kuandika.
 
Back
Top Bottom