proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 5,365
- 6,904
Kwako Intelligent businessman dronedrake
Ewe kijana hasa wa kiume kama unataka kufanikiwa katika maisha yako acha mambo yafuatayo;
Kamwe usifanye ngono zembe. Yaani hata kama umeoa fanya kwa ajili ya kuzaa watoto tu si kwa ajili ya starehe. Ngono hukausha mifupa, ngono huleta uvivu, ngono humaliza uwezo wa kufikiri, ngono huleta magonjwa.
Kwa ambaye hujaoa usichuungulie uchi wa mwanamke kwa njia yoyote ile ile video au halisi. Usigusishe kiungo chako ovyo ovyo kwenye uchi wa wanawake. Wanawake wana mabalaa, mikosi, majini ya ukoo yaani ukikaa vibaya unachukua mikosi ya ukoo na yeye akachukua nyota. Kaulize utanipa majibu hapa.
Usivute bangi, sigara, shisha hulemaza ubongo hivyo uwezo wa kufikiri hupungua.
usibeti utakuja kunishukuru ni hasara na wanaofanikiwa ni wachache sana. Kubeti hudumaza akili pia hukupa uvivu wa kutofanya kazi.
Usifikiri kupitiliza juu ya vitu ambavyo huna uwezo navyo (overthinking) ni hatari pia.
Usijilinganishe, wanadamu tuna bahati na uwezo tofauti na njia tofauti za kutupa kipato. Hivyo usijilinganishe utaumia sana kitu ambacho kitakufanya kukata tamaa.
Usinywe pombe ili kupunguza mawazo, ulevi ukiisha mawazo yapo palepale.
Fanya yafuatayo,
kula mlo kamili kama una uwezo, fanya mazoezi, lala usingizi wa kutosha na usichelewe kuamka, tafuta kazi yoyote halali fanya ili mradi mkono uingie kinywani.
Ewe kijana hasa wa kiume kama unataka kufanikiwa katika maisha yako acha mambo yafuatayo;
Kamwe usifanye ngono zembe. Yaani hata kama umeoa fanya kwa ajili ya kuzaa watoto tu si kwa ajili ya starehe. Ngono hukausha mifupa, ngono huleta uvivu, ngono humaliza uwezo wa kufikiri, ngono huleta magonjwa.
Kwa ambaye hujaoa usichuungulie uchi wa mwanamke kwa njia yoyote ile ile video au halisi. Usigusishe kiungo chako ovyo ovyo kwenye uchi wa wanawake. Wanawake wana mabalaa, mikosi, majini ya ukoo yaani ukikaa vibaya unachukua mikosi ya ukoo na yeye akachukua nyota. Kaulize utanipa majibu hapa.
Usivute bangi, sigara, shisha hulemaza ubongo hivyo uwezo wa kufikiri hupungua.
usibeti utakuja kunishukuru ni hasara na wanaofanikiwa ni wachache sana. Kubeti hudumaza akili pia hukupa uvivu wa kutofanya kazi.
Usifikiri kupitiliza juu ya vitu ambavyo huna uwezo navyo (overthinking) ni hatari pia.
Usijilinganishe, wanadamu tuna bahati na uwezo tofauti na njia tofauti za kutupa kipato. Hivyo usijilinganishe utaumia sana kitu ambacho kitakufanya kukata tamaa.
Usinywe pombe ili kupunguza mawazo, ulevi ukiisha mawazo yapo palepale.
Fanya yafuatayo,
kula mlo kamili kama una uwezo, fanya mazoezi, lala usingizi wa kutosha na usichelewe kuamka, tafuta kazi yoyote halali fanya ili mradi mkono uingie kinywani.