mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 543
- 1,874
Wasalaam wakuu!
Mara kadhaa nimesikia watu watu wakiilaumu pombe kama chanzo cha ufukara, mimi nakataa, nasema kuendekeza mayenu ni hatari zaidi ya pombe.
Kwa kifupi hakuna kiungo hatarishi kwa uchumi wa mwanaume kama vipochi manyoya. Sisi watu wa #kataa ndoa na baadhi ya waraibu wa mbunye walioko katika ndoa, tunapambana na visiki katika kuutafuta utelezi, kubali kataa, huo ndio ukweli, na hapa ipo!!
Ili kufanikisha zoezi la kukatiana mayenu na kipochi manyoya kwa mara kwanza gharama kama nauli, pombe, msosi, hoteli, n.k bila kusahau hela ya asante asubuhi lazima vihusike. Na baada ya hapo usipokuwa mjanja, mara nyingi vipochi manyoya hugeuka omba omba na kuanza kulia njaa hovyo hovyo.
Shikamoo uteleziii
Mara kadhaa nimesikia watu watu wakiilaumu pombe kama chanzo cha ufukara, mimi nakataa, nasema kuendekeza mayenu ni hatari zaidi ya pombe.
Kwa kifupi hakuna kiungo hatarishi kwa uchumi wa mwanaume kama vipochi manyoya. Sisi watu wa #kataa ndoa na baadhi ya waraibu wa mbunye walioko katika ndoa, tunapambana na visiki katika kuutafuta utelezi, kubali kataa, huo ndio ukweli, na hapa ipo!!
Ili kufanikisha zoezi la kukatiana mayenu na kipochi manyoya kwa mara kwanza gharama kama nauli, pombe, msosi, hoteli, n.k bila kusahau hela ya asante asubuhi lazima vihusike. Na baada ya hapo usipokuwa mjanja, mara nyingi vipochi manyoya hugeuka omba omba na kuanza kulia njaa hovyo hovyo.
Shikamoo uteleziii