aiseee kwahiyo mkeo alichagua sehemu Salama zaidi yako..sasa ilikuwaje mpka ukamfumania na ulimfumania wapi ??Mimi nilimfumania mke wangu nikamwambia aendelee tuu na huyo mwanaume niliyemfuma naye nipo Dar miaka kadhaa duh namwona mke wangu wanaishi vizuri sana na yule mwanaume japo iliniuma nafurahi jamaa anamtunza kuliko mimi amenenepa kama mbuyu. Bila shaka na wewe utanenepa ila sijajua kama mbuyu au kama sindano.
Mungu anajua na atahukumu kwa haki mimi sitajibu assuptions zako mungu atajibu ukiweza mwulize Mungu juu ya makando kando au mapungufu yangu atakujibu. Siwezi jitetea binafsi Mungu ndiyo mtetezi wangu.aiseee kwahiyo mkeo alichagua sehemu Salama zaidi yako..sasa ilikuwaje mpka ukamfumania na ulimfumania wapi ??
then isijekuwa ulikuwa na makando kando mengi michepuko isiyoisha idadi then mkeo nae akaona atafute mtu wakumfariji
dadeq ..muache mtoto wawatu aende tu..bado hujaitambua thamani yake ..nadhani uliharakia kuoa pasipo kujua mantiki yenyewe halisi ya ndoa..mkuu ombo haijawahi kuridhika hata Sikh moja ukiiendekeza lazima itakupatia majuto tu..imagine waweza toka kumla demu mkali sura nzuri tako hilonimeshaomba msamaha huko nyuma kama mara 100....ameshanichoka
hahaa maombi mengine hata MUNGU huwa anasusa kuyapokea..ngono kwenye gari kisha unabambwa namkeo...what a shame..!!?Mlokole anatakaje talaka kisa pombe tu? Kashindwa kukuombea ubadilike?
hahaaa Jamaa kaniacha hoi hata mm aiseeeEe sijajua yeye atanenepaje uelekeo wa kuwa mbuyu au wa kuwa sindano?
haya mkuu nimekuelewa ..ngoja nisikukumbushe ya kaleMungu anajua na atahukumu kwa haki mimi sitajibu assuptions zako mungu atajibu ukiweza mwulize Mungu juu ya makando kando au mapungufu yangu atakujibu. Siwezi jitetea binafsi Mungu ndiyo mtetezi wangu.
Duh. Acha tu,lakini Hiyo ni kukuonyesha kwamba ulikuwa sehemu sio,I believe everything happens for a reason. Nina amini kuna sababu Mungu amekuepusha.Zimeisha ee?
Huenda...Duh. Acha tu,lakini Hiyo ni kukuonyesha kwamba ulikuwa sehemu sio,I believe everything happens for a reason. Nina amini kuna sababu Mungu amekuepusha.
mwambie unajua kuoa tu,kyacha hujuiNimekuwa nikinywa pombe mfululizo, majuzi mke wangu akanifumania mitaa ya Goba nikiwa nagonga nyapu(jirani yetu) kwenye gari akachukua picha kama ushahidi, mimi nikiwa bwaksi kabisa.
Mke kapeleka ushahidi kwa ndugu na jamaa na wazazi, miongoni mwao wamemshauri abwage manyanga.
Sasa amenitolea macho anataka talaka very serious sababu hii siyo mara ya kwanza tuna watoto, mimi nakaa mkoani familia inakaa hapa Dar.
Bado natafakari kuna mtu imeshamtokeage hii wadau mliishiaje?
UuuuuwiuuuuiiMimi nilimfumania mke wangu nikamwambia aendelee tuu na huyo mwanaume niliyemfuma naye nipo Dar miaka kadhaa duh namwona mke wangu wanaishi vizuri sana na yule mwanaume japo iliniuma nafurahi jamaa anamtunza kuliko mimi amenenepa kama mbuyu. Bila shaka na wewe utanenepa ila sijajua kama mbuyu au kama sindano.
Pole nimekuliza?Uuuuuwiuuuuii
Pole zaid kaka, nahisi ulimpenda mkeo sana, ila hakukupenda.Pole nimekuliza?