Labda kama sijasoma vizuri ila naona hapo kuna mahali kuandika alikuwa anapiga NYAPU. Naamini hilo ndio tatizo kubwa kuliko hiyo pombeMlokole anatakaje talaka kisa pombe tu? Kashindwa kukuombea ubadilike?
Au hajui nyapu ni kitu gani?Labda kama sijasoma vizuri ila naona hapo kuna mahali kuandika alikuwa anapiga NYAPU. Naamini hilo ndio tatizo kubwa kuliko hiyo pombe



kama ni nyapu na aachwe tu kwa kweliHii itakuwa ni tabia yako tunimeshaomba msamaha huko nyuma kama mara 100....ameshanichoka
Anaiandaa mwenyewe talaka.....anataka mimi ni sign tu
Mimi nilimfumania mke wangu nikamwambia aendelee tuu na huyo mwanaume niliyemfuma naye nipo Dar miaka kadhaa duh namwona mke wangu wanaishi vizuri sana na yule mwanaume japo iliniuma nafurahi jamaa anamtunza kuliko mimi amenenepa kama mbuyu. Bila shaka na wewe utanenepa ila sijajua kama mbuyu au kama sindano.
kama mbuyu au sindano?

Umewahi kufanyiwa uhuni wa ngazi ya juu kabisa katika maisha?espy msaidie huyu mkaka jaman amsahau mkewe !
Ee sijajua yeye atanenepaje uelekeo wa kuwa mbuyu au wa kuwa sindano?![]()
![]()
![]()
kama mbuyu au sindano?
![]()
![]()
![]()
![]()
Mimi nilimfumania mke wangu nikamwambia aendelee tuu na huyo mwanaume niliyemfuma naye nipo Dar miaka kadhaa duh namwona mke wangu wanaishi vizuri sana na yule mwanaume japo iliniuma nafurahi jamaa anamtunza kuliko mimi amenenepa kama mbuyu. Bila shaka na wewe utanenepa ila sijajua kama mbuyu au kama sindano.
Ee sijajua yeye atanenepaje uelekeo wa kuwa mbuyu au wa kuwa sindano?
mbavu zangu uuuuwiiihbinafsi huwa namuonea huruma sana sana ! kumbe kunauma namna hyo !alafu bas bora mke apauke km wanavyowish !badala yake mke anang'aa tu ! anachana mby !lazima uumie ! hawez kbs kumove on maskini ya MUnguHahahaaa!! Yaani nikisomaga comment zake naishia kucheka tu.