Umewahi kufanyiwa uhuni wa ngazi ya juu kabisa katika maisha?
Hii kweli ilimgusa pabaya.binafsi huwa namuonea huruma sana sana ! kumbe kunauma namna hyo !alafu bas bora mke apauke km wanavyowish !badala yake mke anang'aa tu ! anachana mby !lazima uumie ! hawez kbs kumove on maskini ya MUngu
That is on you man. Umeharib na kulikoroga mwenyeweNimekuwa nikinywa pombe mfululizo, majuzi mke wangu akanifumania mitaa ya Goba nikiwa nagonga nyapu(jirani yetu) kwenye gari akachukua picha kama ushahidi, mimi nikiwa bwaksi kabisa.
Mke kapeleka ushahidi kwa ndugu na jamaa na wazazi, miongoni mwao wamemshauri abwage manyanga.
Sasa amenitolea macho anataka talaka very serious sababu hii siyo mara ya kwanza tuna watoto, mimi nakaa mkoani familia inakaa hapa Dar.
Bado natafakari kuna mtu imeshamtokeage hii wadau mliishiaje?
mhhh,,, ushauri gani sasa huo?Kwanini huku a unakwenda kunywa na mkeo?
Kumbe sisi ni pambo la nyumba eehhh?mhhh,,, ushauri gani sasa huo?
mke na mme mkianza kulewa wote, basi nyumba itakosa mwelekeo kabisa, hata maadili na heshima vitakosekana nyumbani maana hakutakuwa na mshauri.Kumbe sisi ni pambo la nyumba eehhh?
Akiolewa na wewe olewa umkomoeNimekuwa nikinywa pombe mfululizo, majuzi mke wangu akanifumania mitaa ya Goba nikiwa nagonga nyapu(jirani yetu) kwenye gari akachukua picha kama ushahidi, mimi nikiwa bwaksi kabisa.
Mke kapeleka ushahidi kwa ndugu na jamaa na wazazi, miongoni mwao wamemshauri abwage manyanga.
Sasa amenitolea macho anataka talaka very serious sababu hii siyo mara ya kwanza tuna watoto, mimi nakaa mkoani familia inakaa hapa Dar.
Bado natafakari kuna mtu imeshamtokeage hii wadau mliishiaje?
Utapuuza tuu eti!hapana kwakweli !sijawahi ! hata nikija fanyiwa sitaubeba kwa kiwango km chako !i guess
nitaumia tu ila sio kwa kiwango km chako !nahis una maumiv makubwa moyon jaribu kuyaacha yaendeUtapuuza tuu eti!
Mimi sikuoa ili tuachane kwangu natazama kama ni fedheha iliyopitiliza yaani unalipa mahari halafu unasumbua umma watu na heshima zao wanaacha kazi zao za maaana kuja kusherehekea upumbavu. Kesho unawaambia umemfumania mkeo. Kisha wanakuuliza ulimwokota wapi mwenyewe huyo? Maana yake hata mwoaji ni hovyo unaoaje mwanamke wa hovyo hivyo? Inaniuma sana!nitaumia tu ila sio kwa kiwango km chako !nahis una maumiv makubwa moyon jaribu kuyaacha yaende
Mimi sikuoa ili tuachane kwangu natazama kama ni fedheha iliyopitiliza yaani unalipa mahari halafu unasumbua umma watu na heshima zao wanaacha kazi zao za maaana kuja kusherehekea upumbavu. Kesho unawaambia umemfumania mkeo. Kisha wanakuuliza ulimwokota wapi mwenyewe huyo? Maana yake hata mwoaji ni hovyo unaoaje mwanamke wa hovyo hivyo? Inaniuma sana!
Papuchi zinatofautiana utamu mkuu.Labda nikuulize tu swali, nyapu ya mkeo ina tofauti gani na ya huyo mzinzi mwenzako wa kwny gari?
Pili, unapata faida kiasi gani kwa ulevi na uzinzi wako?
Zimeisha ee?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mbavu zangu uuuuwiiih
Sawa but it's too latenzuri hiyo nimeipenda minavyoonekana kuna vitu ulikua unakosea kwa mwenzako kavipta jaribu kujifunza kwa swala hilo
Asante sipingani na wewe kwa hilo. Huenda...huenda lakini umeepushwa na mengi !again pole sana