ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,235
- 2,123
Nimekuwa nikinywa pombe mfululizo, majuzi mke wangu akanifumania mitaa ya Goba nikiwa nagonga nyapu(jirani yetu) kwenye gari akachukua picha kama ushahidi, mimi nikiwa bwaksi kabisa.
Mke kapeleka ushahidi kwa ndugu na jamaa na wazazi, miongoni mwao wamemshauri abwage manyanga.
Sasa amenitolea macho anataka talaka very serious sababu hii siyo mara ya kwanza tuna watoto, mimi nakaa mkoani familia inakaa hapa Dar.
Bado natafakari kuna mtu imeshamtokeage hii wadau mliishiaje?
Mke kapeleka ushahidi kwa ndugu na jamaa na wazazi, miongoni mwao wamemshauri abwage manyanga.
Sasa amenitolea macho anataka talaka very serious sababu hii siyo mara ya kwanza tuna watoto, mimi nakaa mkoani familia inakaa hapa Dar.
Bado natafakari kuna mtu imeshamtokeage hii wadau mliishiaje?