Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,219
- 1,784
Sema pia ukizidisha ina madhara yake mkuu. Bangi in moderation ni the best kuliko hata pombe.Sasa mkuu kama haujawahi kuvuta bangi nakushauri ujaribu, utapata faida isiyo na kikomo
Nilichokuja kujifunza bangi haina kumisbehave, lakini unaweza ukalewa ukamisbehave. Hapo nikagundua "Mkono wa Mungu hauna makosa kama mkono wa binadamu"