Pombe ilishakupa kitu gani kama faida?

Pombe ilishakupa kitu gani kama faida?

..pombe iliniondolea faham uzuri..nikamfi.ra demu kimasihara...kuamka asubuhi naogelea kwenye dimbwi la mavi ya demu kitandani...nikacheka Sanaa..kabla ya kuoga na kusepa kabla sijashikwa na wenye gesti...
 
..pombe iliniondolea faham uzuri..nikamfi.ra demu kimasihara...kuamka asubuhi naogelea kwenye dimbwi la mavi ya demu kitandani...nikacheka Sanaa..kabla ya kuoga na kusepa kabla sijashikwa na wenye gesti...

Fala kabisa we jamaa [emoji23][emoji23]
 
Me ilinisaidia kupata ajira ya kudumu,tulikuwa watu km mia 500 usaili wa vitendo huku wakihiijika watu 11 tu.Usaili ulikuwa wa kuendesha chombo fulani nami sikuwa na mchongo na mtu yeyote(connection) nilikuwa 90% ya kukosa confidence kwani niliona km nimekuja kuharibu muda coz siwezi pata,akili ikanituma kukimbilia grocery nikapiga tu-konyagi tuwili chap kabla km dk 10 kupanda chomboni,aisee nilimiliki chombo as if nilikuwa nacho miaka kumi.Anyway majibu yanakuja kutoka mimi ndo all of the best operators tena kwa marks za juu nikiwa na 85% na wa pili akiwa ananifata kwa 60%.
Nina haja ya kumshukuru Mungu lkn pia siwezi kusahau hiyo drink iliyonipa ma confidence ya juu sana.

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Ni forklift nini
 
Abuse of alcohol ndio mbaya, ila alcohol consumption in a moderate way itakuepusha na magonjwa ya moyo pamoja na kiharusi cha Ubungo.....
Red wine ni nzur zaid.
Kingine ni silaha nzur kwenye business negotiations.., sio lazima unywe ufanye uzinzi lakini pia husaidia kujenga marafik wa kudumu...( social networking)

Kipindi unazaliwa sikuwepo .. naomba Mimba yako Irudiwe Irudiwe
 
..pombe iliniondolea faham uzuri..nikamfi.ra demu kimasihara...kuamka asubuhi naogelea kwenye dimbwi la mavi ya demu kitandani...nikacheka Sanaa..kabla ya kuoga na kusepa kabla sijashikwa na wenye gesti...
😂 😂 😂
 
Screenshot_20210113-063731_1.jpg

Bia ni tamu jamani.....😋😋😋
 
ila mimi nimywaji wa pombe mzuri tokea miaka hiyo ila shida imeingia mwaka huu kama sijakosea yani napoteza kumbbukubu balaa halafu nikilewa nakuwa mbishi vibaya sio kama zamani, yani nahisi pombe imeanza kunikaataaa kabisa walaiii, yani kila nikijaribu wapi mpaka watu wameanza kunishtukia.

kuna siku nimekunywa nimejikuta nimelala sehemu sijuiii ni wapi kumbe best yangu ndo aliniokoa aiseee yani naomba niache kabisa au nijuee nini tatizoo maana napoelekea sasa sio.

bia zangu ni:-
SAFARI
BALIMI
EAGLE
K VANT
HIGH LIFE
CASTER LAGER
ONLY
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom