Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,504
- 5,539
Sijua kama najua ila najua kwamba sijuiUnajua kusoma kiufasaha weye?
Sijua kama najua ila najua kwamba sijuiUnajua kusoma kiufasaha weye?
Ushauri murua kabisaDaah!! Umenikumbusha mbali sana... Miaka flani ya 2013 nipo chuo.. Nilipalamia manzi flani pekupeku.. Hafu baadae ndo nakuja kugundua kuwa yule manzi ni dada poa (japo alikua mwanachuo)..
Hiyo miezi mitatu ya kusubiri nipime.. Nilikua nina kila dalili za kuungua.. Na nilishuka uzito na kukonda ajabu.. Magonjwa nyemelezi yote yalikua ya kwangu... Hii yote ilisababishwa na hofu
Lakini nilipiga moyo konde nikapima.. Nikakutwa nipo negative .. Ndo kuanza kunenepa tena na magonjwa ya ajabu yakaondoka yenyewe..
Nikutie tu moyo mkuu.. Hiyo ni hofu yako tu.. Wewe ni mzima, hebu kapime... Ninaamini hvo
Kati ya malimbukeni wewe ni mmoja wao!!Mimi sj mzembe kama mleta mada, na sina mahusiano mengi mengi kwa wakari mmoja, one man at a time na huwa tunapima.
Halafu kuupata mdudu ni kazi aiseee mpaka kuchubuana damu zihame, daamn hilo tendo halikomolewi ni kufanya kwa starehe na hisia zaidi.
Mambo ya mdudu sahau kabisaaaaaa yatawakuta nyie wenye multiple relationships na mnakomoana.
Daahh inabidi wife wangu aanze huu utaratibuMwaka flani nilikuwa TA nikapata demu mmoja mgunya wa mombasa mitaa ya sabasaba kuna pub moja kali hivi.Siku moja namdrop pale pub kuna mchiz mmoja akaniambia dah kamanda huyu dem kaungua ushapiga? dah niliteseka kinyama nikiwaza.Nikarudi dar wife kama kawaida yake nikirudi field tu lazima anipime.Nikapima sina na sasa miaka mitatu nadunda nna mtoto mdogo na nimepima tena sina.
Alaf kitu kingine kupata ngwengwe sio kitu kirahisi kiasi hicho.
Kupata ngwengwe ni process, kinachomsumbua mshikaji ni wasiwasi tu, na hiyo hutokeaga kwa watu wengi tu pale ambapo unakuwa umepita njiaisiyo salama.
Mm nashauri jamaa akapime, atakuja hapa mwenyew na kusema hana kitu bali wasiwasi na hofu tu ndo vilikuwa vinamsumbua.
Mkuu huu ni ushauri au masimango?
Mathayo : Mlango 11
28 Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.