Pombe ilichonifanyia: Ndoto zimeyeyuka nahisi ‘nimeukwaa umeme’, nina hofu huenda nisiishuhudie Tanzania ya Viwanda

ntaleta mrejesho wacha nile zoez la kuyapokea majibu
Nije kukusindikiza kupima, mi nilipima Muhimbili. Nilipata bwana alitaka kunioa, nikamwambia tupime kwanza, tukaenda tukawa wote wazima ila nilivyorudi Moro home, nikamuacha urafiki mazima. Nilimchunguza muongomuongo, kujisifia pesa, nafanya kazi, kumbe si lolote nikitoa visenti ananiuliza we pesa unayo mi nanyamaza, namsoma. Kwangu angekuwa muwazi hakuna shida hata kama mchovu.
 
Ule uzi wa "waliokula tunda kimasihara" unaanza kuleta matokeo...by the way hali uliyonayo inaweza ikawa placebo effect,so take it easy
 
Pole mkuu nadhani ni msongo wa mawazo tu.

Nakumbuka nikiwa chuo mwaka wa tatu semester ya mwisho..niliopoa dem wa form 4 wa mtaani. Alikuwa ametoka kumaliza shule. Sasa nakumbuka nikiwa kwenye 6 kwa 6....dogo akawa analalamika condom inamchubua so first round nilimaliza kwa shida sana maana alilalamika condom inamchubua.

Ile nataka kwenda Second round akanikazia kunipa tunda, akawa anataka niingize kavu kavu tena akiwa yupo serious . Nikasema Mmmmhh uyu katumwa nn alaf afya yangu anaijua??? Nikakumbuka mshkaji mmoja Hivi yeye ni medical laboratory technician hospitali flan aliwahi nambia kuwa hivi vibinti vidogo sio poa kabisa wengi wao wamezaliwa nao.

Ilibidi ni- abort mission nikawa tu nakachezea chezea Bana we wakati nakachezea chezea yule dogo akawa yupo wet vibaya mno yani K imeloana sana yani uku kanajinyonga nyonga hakatuliii yani. Ulikuwa mtihani mkubwa kwangu maana dogo hataki kuskia kuhusu condom alaf hivi vibinti miaka 17 mpk 23 vinakuaga na hisia za ajabu

Sikumbuki nilizamishaje mkuyenge wangu ila nakumbuka tu PAAH wazungu tayari pangoni.

Nilikuwa na mawazo sana nilijilaumu why nilishindwa jizuia control hisia zangu...isitoshe yule manzi alikuwa anaishi na bibi ake baada ya kumpeleleza nikaanza kukapeleleza kakasema yeye yupo salama Ila still uwoga ninao. Nikimwambia twende tukapime anasema sina muda. Dahh muhuni nazidi kuumia moyoni. Kuna vibao pale chuoni vimeandikwa “GRADUATE WITH DEGREE NOT WITH NEW HIV INFECTIONS” kila nikiviona hivi nazidi kuumia...


Hatimaye chuo kikaisha nikarud home bi mdashi akaanza mara ooh jaman umepungua pole sana na masomo dahh kumamae nikasema shughuli hamna hapa


Nikaenda kupima baada ya miez mitatu na wiki moja kupita. GOD IS GREAT nikawa NEGATIVE

Hofu mbaya sana inakondesha yan
 
Bosi kama kweli ulipima baada ya miezi miwili tangu ukutane na huyo manzi na ukakuta huna maambukizi basi inawezekana ukawa mzima mkuu siku 60 nyingi sana....pia hiyo hali upiyonayo inawezekana ikawa inasababishwa zaidi na hofu hivyo kila unachokiona unalinganisha na tukio lako kwahiyo hapo njia ya uhakika ni kupima tu.

Halafu pia utuambie je, tangu umeachana na huyo manzi hapo katikati haukuwahi kupiga gemu ya hatari?
kati hapa sjapiga gemu ya hatari,umakin umekuwa maradufu
 
Nije kukusindikiza kupima, mi nilipima Muhimbili. Nilipata bwana alitaka kunioa, nikamwambia tupime kwanza, tukaenda tukawa wote wazima ila nilivyorudi Moro home, nikamuacha urafiki mazima. Nilimchunguza muongomuongo, kujisifia pesa, nafanya kazi, kumbe si lolote nikitoa visenti ananiuliza we pesa unayo mi nanyamaza, namsoma. Kwangu angekuwa muwazi hakuna shida hata kama mchovu.
nko pemba saiv nadhan november tar za kat ntakuwa moro ywn ntakuchek unieskot, nategemea nasha nzur toka kwako pindi nkikutwa nko
 
Kuna kipindi nilikuwa naona dalili zote za mimba kutapika, kulala sana period haikuji he he he he he kumbe ni hofu yangu tu.
Sina kitu.
[/QUOTE

umenikumbusha na mie yalinikuta nilikaa miezi 2 sioni period nikaanza wasi wasi mara naumwa asubuhi,mara kichefuchefu, mara uchovu upt naogopa kununua nicheck mwishoe period hii hapa. mwili una tabia ya kufatisha mawazo
 
Daah!! Umenikumbusha mbali sana. Miaka fulani ya 2013 nipo chuo. Niliparamia manzi fuani pekupeku halafu baadaye ndiyo nakuja kugundua kuwa yule manzi ni dada poa (japo alikua mwanachuo).

Hiyo miezi mitatu ya kusubiri nipime nilikua nina kila dalili za kuungua na nilishuka uzito na kukonda ajabu. Magonjwa nyemelezi yote yalikua ya kwangu. Hii yote ilisababishwa na hofu. Lakini nilipiga moyo konde nikapima, nikakutwa nipo negative. Ndiyo kuanza kunenepa tena na magonjwa ya ajabu yakaondoka yenyewe..

Nikutie tu moyo mkuu, hiyo ni hofu yako tu. Wewe ni mzima, hebu kapime. Ninaamini hivyo.
kama ni mzima hakuna haja ya kwenda kupima
 
44 Reactions
Reply
Back
Top Bottom