Pombe ilichonifanyia: Ndoto zimeyeyuka nahisi ‘nimeukwaa umeme’, nina hofu huenda nisiishuhudie Tanzania ya Viwanda

Sasa ww ulilewa pombe gan mpaka ukayakumbuka mambo yote hayo
Sikulewa pombe ya kuzima kupoteza network but ilikuwa inaniendesha katka kuamua jambo,unaweza ukawa unanunua vitu hovyo unatoa ofa za pmbe hata kwa watu mliokutana nao baa kwa mara kwanza,ukijifarji kesho utafanya mishe fulan utasawazisha mambo, na ndo kilichotokea kutumia mpira nkaona sio ishu sana mbon schelewi nakojoa, kifup maamuz ya pombe siku zote huwa si sahihi.
 
Hahhaha daah jamaa kunguru sana huyo. Umenichekesha hapo ulivyosimulia kwa uhalisia,eti "akasikia mlango njiiiiiii"
acha utani na ngwengwe mzeee
tulimpeleka yeye ila tumefika anakaanza kutufokea

'kwa nn na nyie hataki kupima, mnilete mm tuu?'

tulifika benchi lina watu sita yeye akawa wa saba,
walipobakia watatu ndio mizinga ikaanzaaa.....
Walivyoisha akabaki yy ndio wa kwanza akaanza kusema
'jaman km kuna mwenye haraka aje akae hapa mm sina haraka' watu wakagomaa wakaanza kusukumana kwenye benchi mpk wa mwisho akaona isiwe tabu akasepa(alikua mzee)
sasa akaanza kutulaumu na sisi tuliomleta
'kwa nn nyie hamtaki kupima?' tukamwambia ww ndio ulituamsha asubuh subuh tukulete sisi hatukua na mpango.
Akasema 'kwani nyie mkijua afya zenu kuna shda gani?.......(akanitaja jina) njoo ukae hapa mbele yangu ukapime' nikagoma
mara akaskia mlango njiiiiiii
baaabek chini huyooooo
manesi wakatufukuzaaa..
 
Mkuu pole sana inawezekana wasiwasi uliokuwa nao ndio unakuletea dalili za ugonjwa

Ebu nenda kapime ujue moja
 
nickder

Humu duniani kila mtu anapata anachostahili,vitu vingine havina hata mantiki ya kutolewa ushauri. Rejea usemi "Utavuna ulichopanda"
 
Habari zenu wanajamvi, ni imani yangu kuwa mu wazima afya na mko na uhakika kuendelea kuishi vyema mkipambana kutimiza ndoto zenu mkiwa hamna msongo wowote wa mawazo.

Mimi ni kijana miaka 26 naitimiza mwezi wa12 trh 5, ni kwa muda wa mwezi mmoja sasa nimejikuta nikiikosa furaha niliyokuwa nayo na morali niliyokuwa nayo kushuka kwa kasi kutokana sintofahamu juu ya afya yangu ambapo kwa sasa kuna viashiria ambavyo nimekuwa nikiviona katika mwili moja kwa moja nimekuwa nikihisi tayari wale virus wasiosikia dawa tayari nimewakwaa na wameshaanza kunitafuna.

Dalili za awali nnaziona, kichwa kinauma ni mwezi sasa unaisha hakikomii kinapoa kinarejea tena, joint za magoti, ugoko zinalegea na kuuma fulan kwa mbali, mate yana hali fulan kama mtu mgonjwa aliyemeza vidonge vya kutosha hadi vinamchefua, nachoka bila sababu, kuna siku kama mbili hivi tumbo lilivurugika kukawa na kama hali fulani ya kuharisha lakini ikakata sasa hivi niko powa, hapa nilipo nina kama maumivu fulani kati ya shingo na taya upande wa kushoto nahisi ni tezi lataka tokea, hospitali nilienda nikafanya vipimo mbalimbali (isipokuwa HIV) vipimo vikaonyesha sina malaria, ila ikaonekana ni uchafu kwenye mkojo, nikachukua dawa nazani ni za kutibu UTI, sasa dawa nimemaliza na hali bado inaendelea vile vile, ndio maana najihisi kabisa ninao (UKIMWI) na kinachonipelekea niamini hivo bila hata kwenda ni kwamba miezi tisa iliyopita.

Ilikuwa mwezi wa pili tar 18 maeneo fulani hapo Morogoro nikiwa kitaani kuna manzi nilionana nae kiaina nikawa nimemwelewa yaani nikaamua kusema nae hakuwa na noma akanipa namba zake hivo tuagana ilikuwa saa tisa hivi alasiri, baadaye mishale fulani ya saa moja jioni nikamcheki yupo pande zipi akaniambia yupo home kwao nikamwambia vipi unaweza ukatoka hapo uje hapa maeneo ya ipoipo akasema poa ila nataka kitimoto, nikamwambia poa akasema tena nakuja na mdogo wangu nikamwambia poa njoo nae, bas kwa kuwa alinambia anakuja na mdogo wake ikabidi nimvutie waya mwanangu(mshikaj) mmoja hivi ili aje aweke uzito kidogo sababu washakuwa wawili kwa peke yangu watanipunyua sana, kweli wakaja na mkali wangu nae akafika, wakaagiza walivyovipenda nyama nyama hizi kwa sana.

Mimi nilikuwa natupia ndovu zangu muda huo na mwana bae akaliunga tukaanza kupiga mtungi (naichukia sana pombe imenigharimu maisha) basi wale madem kuona vile bao wakataka kunywa tukawambia kunyweni mtakavyoweza, waliagiza vilitelite, sasa mshikaji kuona kama bia hazipandi ikabidi ashushe mzinga mmoja wa k_vant mkubwa. Hapo mambo ndio yalipoharibika tungi ilikolea mno ikawa yule mwana na mdogo mtu mimi niko na dada mtu sehemu fulani korido kidogo vimulimuli vinatupitia Kwa mbali kidogo, ikawa ni full madhambi.

Sasa wale madem kuona wamelewa sana walipanga kututoroka, ile kwenda kwenda chooni tunashangaa hawarudii ikabidi tutoke nje ya ile pub, kucheki hivi hatuoni mtu mshikaji mmoja bodaboda taujamuliza ni jamaa yetu akatuelekeza Kuwa wamepita wameleekea huku muda si mrefu akatuonyesha ni wapi wameelekea, mimi nikajua watakuwa wameeleka home kwao maanake ile njia waliotumia inaenda moja kwa moja hadi kwao hapakuwa mbali kivile kutoka kwenye ile pub, ikabidi sasa tuchukue bodaboda tuwafukuzie tubahatishe kama tutawakuta na wenge la pombe lile tukanza wafatilia.

Kweli baada ya kama dakika kadhaa hivi tukawaona kwa mbali wakitembea kwa kuyumba kidogo huku wakicheka kuwa wametuacha, basi yule boda akawapita kidogo akasimama takashuka boda akasepa, wale madem kutuona wakastuka wakaanza kucheka (pombe) basi kila mmoja alikamata wake, akibembeleza apate chochote, yule manz alikuwa mbishi lakini baadaye akalegeza(kipombepombe) ilikuwa ni maeneo fulani jirani na reli ndio mitaa ya nyumbani kwao kwa hiyo kulikuwa na ukimya fulani kwa muda ule wa saa nne.

Sasa kulingana na kuwa wenge la pombe na kuzingatia tena na umbali wa kwenda madukani usiku kutafuta kondom(kabla ya hapo kama sina kondom demu na atembee zake dah pombe)hilo likawa swala gumu na kumuachia sitaki japo yeye alisisitiza kesho, nikalazimisha hivo hivo kipombe pombe nikamuinamisha nikajipa moyo bao moja tu tena mbona huwaga nawahi kufika uhurupeak mapema sana kwa bao la kwanza hata dakika mbili haziishi niko kileleni, nishasahau kuwa nilikunywa nikachangaya na k-vant, ahh haikuwa dk mbili hadi dem akachoka anataka asepe mwenzake anamuita waende geti litafungwa mimi ndio kwanza nipo girmany na nataka nitoboe hadi uhurupeak (pombe hizo) basi nikamaliza na mshikaji na dem wake washamalizana kitambo yeye hakubofya demu alikuwa period, tukasepa.

Kesho yake nikampigia yule dem analalamika nilichomfanyia nimemuumiza, nimemchubua. Tobaa hii do ikawa habari mbaya kwangu pombe tena haziko na mimi nilijilaumu kwa nini sikutumia kinga, tukapanga tukutane tena sehem fulani tena ilikuwa mapema na nilitaka niende nae tukapime. Nakumbuka aliniambia sasa tumeshafanya sa kupima tena ya nini, nikamwambia sio kitu inabidi twende tukapime mbona nilipiga kimoja halafu sikuchelewa, akasema, "hukuchelewa na muda ule nakung'ata ulimi ili utoe niende na hadi umenichubua nilivyokuwa nakojoa asubuhi mkojo ulinichoma nikajua kabisa ulinichubua" mi muda huo hoi namuomba muumba yule manzi awe ni mzima.

Tuliingia tena gest fulani maeneo ya mji mpya hapo hapo mji kasoro, basi ilikuwa ni mchana tuu daa nilivyomuona yule mazi mapaja yake yako na vidoti doti vya upele vilipona havikuwa vingi sana lakini vilinipa maswali nilisex safari hii nilitumia mpira, tukaachana nae hatukwenda kupima.

Siku nyingine akaniita ili twende tukapime mi nilikuwa nipo site nawajibika, nikakosa muda wa kupima nae, niliendelea kukaa na wasiwas hususani nikimpigia anasema anaumwa matezi ya shingo yamemkata, nilichokaa ni balaa.

Siku zikaenda hatimae mwezi miezi miwi ikakatika tar 23 mwezi wa 4 nikaamua niende kituo cha afya kilcho karibu nami nkauondoe huu was was, japo nilijua kuwa bado mwezi mmoja zaid ili kwenda kpima kipimo cha uhakika lakn kutokan na hofu iliyokuwa imetanda moyoni mwangu niliona mwezi uliobaki ni mbali nilienda kituo cha afya nkaenda kupima. Wasiwasi ulikuwa kulikuwa mvua mvua siku so kulikuwa na kibaridi flani hivi lakini wakati nasubiria majibu jasho lilinitoka.

Kijana mie loser, majibu yalitoka yakaonesha damu yangu iko (HIV negative) nifurahi kias lakin nkikimbuka kuwa kipimo cha uhakika ili upate majibu ya uhakika ni miezi mitatu ili kuonyesha mtu kaambukizwa ama hajaambukizwa.

Wana jamvi, sasa ni miezi tisa dalili ninazoziona zimenitoa kwenye njia kabisa, naogopa kwenda kupima tena nahisi ntajiua kushi ni hii virus jaman ni kazi najaribu kujpa moyo kwa kuwaangalia wengine ambao nimewaona wanaishi navyo lakin bado nasita mimi kuishi kwa matumaini. Kwanini mii niishi kwa matumain ili hali wanajamvi humu wanaishi kwa uhakika, miaka ishirini mingine nitaifkisha kwa hii hali nliyonayo? Nitaishuhudia kweli SGR Dar to Mwanza, Isaka to Kigali inavyofanya kazi? Nitaushuhudia kweli ule uchumi wa kati unafanana vip mwaka 2040?

Yaani mi na wa kufa tu mbaya zaid sina mtoto. Kuna dem nilikuwa nimepanga niishi naye nimuoe yan yuko Arusha, sasa nafikiria asiponiambia suala la kupima nidet nae tu au sjui nimwache asje kunililia hapo baadae. Ila sasa kama ni kuishi kwa matumain si itabidi na mimi niwe na familia.

Sijapima ila kwa hizi dalili za awali the game is over. Mwanajamvi kama una lolote la kunishauri karibu ila mi ni marehem soon
POSITIVE IS NORMAL
 
Bosi kama kweli ulipima baada ya miezi miwili tangu ukutane na huyo manzi na ukakuta huna maambukizi basi inawezekana ukawa mzima mkuu siku 60 nyingi sana....pia hiyo hali upiyonayo inawezekana ikawa inasababishwa zaidi na hofu hivyo kila unachokiona unalinganisha na tukio lako kwahiyo hapo njia ya uhakika ni kupima tu.

Halafu pia utuambie je, tangu umeachana na huyo manzi hapo katikati haukuwahi kupiga gemu ya hatari?
Habari zenu wanajamvi, ni imani yangu kuwa mu wazima afya na mko na uhakika kuendelea kuishi vyema mkipambana kutimiza ndoto zenu mkiwa hamna msongo wowote wa mawazo.

Mimi ni kijana miaka 26 naitimiza mwezi wa12 trh 5, ni kwa muda wa mwezi mmoja sasa nimejikuta nikiikosa furaha niliyokuwa nayo na morali niliyokuwa nayo kushuka kwa kasi kutokana sintofahamu juu ya afya yangu ambapo kwa sasa kuna viashiria ambavyo nimekuwa nikiviona katika mwili moja kwa moja nimekuwa nikihisi tayari wale virus wasiosikia dawa tayari nimewakwaa na wameshaanza kunitafuna.

Dalili za awali nnaziona, kichwa kinauma ni mwezi sasa unaisha hakikomii kinapoa kinarejea tena, joint za magoti, ugoko zinalegea na kuuma fulan kwa mbali, mate yana hali fulan kama mtu mgonjwa aliyemeza vidonge vya kutosha hadi vinamchefua, nachoka bila sababu, kuna siku kama mbili hivi tumbo lilivurugika kukawa na kama hali fulani ya kuharisha lakini ikakata sasa hivi niko powa, hapa nilipo nina kama maumivu fulani kati ya shingo na taya upande wa kushoto nahisi ni tezi lataka tokea, hospitali nilienda nikafanya vipimo mbalimbali (isipokuwa HIV) vipimo vikaonyesha sina malaria, ila ikaonekana ni uchafu kwenye mkojo, nikachukua dawa nazani ni za kutibu UTI, sasa dawa nimemaliza na hali bado inaendelea vile vile, ndio maana najihisi kabisa ninao (UKIMWI) na kinachonipelekea niamini hivo bila hata kwenda ni kwamba miezi tisa iliyopita.

Ilikuwa mwezi wa pili tar 18 maeneo fulani hapo Morogoro nikiwa kitaani kuna manzi nilionana nae kiaina nikawa nimemwelewa yaani nikaamua kusema nae hakuwa na noma akanipa namba zake hivo tuagana ilikuwa saa tisa hivi alasiri, baadaye mishale fulani ya saa moja jioni nikamcheki yupo pande zipi akaniambia yupo home kwao nikamwambia vipi unaweza ukatoka hapo uje hapa maeneo ya ipoipo akasema poa ila nataka kitimoto, nikamwambia poa akasema tena nakuja na mdogo wangu nikamwambia poa njoo nae, bas kwa kuwa alinambia anakuja na mdogo wake ikabidi nimvutie waya mwanangu(mshikaj) mmoja hivi ili aje aweke uzito kidogo sababu washakuwa wawili kwa peke yangu watanipunyua sana, kweli wakaja na mkali wangu nae akafika, wakaagiza walivyovipenda nyama nyama hizi kwa sana.

Mimi nilikuwa natupia ndovu zangu muda huo na mwana bae akaliunga tukaanza kupiga mtungi (naichukia sana pombe imenigharimu maisha) basi wale madem kuona vile bao wakataka kunywa tukawambia kunyweni mtakavyoweza, waliagiza vilitelite, sasa mshikaji kuona kama bia hazipandi ikabidi ashushe mzinga mmoja wa k_vant mkubwa. Hapo mambo ndio yalipoharibika tungi ilikolea mno ikawa yule mwana na mdogo mtu mimi niko na dada mtu sehemu fulani korido kidogo vimulimuli vinatupitia Kwa mbali kidogo, ikawa ni full madhambi.

Sasa wale madem kuona wamelewa sana walipanga kututoroka, ile kwenda kwenda chooni tunashangaa hawarudii ikabidi tutoke nje ya ile pub, kucheki hivi hatuoni mtu mshikaji mmoja bodaboda taujamuliza ni jamaa yetu akatuelekeza Kuwa wamepita wameleekea huku muda si mrefu akatuonyesha ni wapi wameelekea, mimi nikajua watakuwa wameeleka home kwao maanake ile njia waliotumia inaenda moja kwa moja hadi kwao hapakuwa mbali kivile kutoka kwenye ile pub, ikabidi sasa tuchukue bodaboda tuwafukuzie tubahatishe kama tutawakuta na wenge la pombe lile tukanza wafatilia.

Kweli baada ya kama dakika kadhaa hivi tukawaona kwa mbali wakitembea kwa kuyumba kidogo huku wakicheka kuwa wametuacha, basi yule boda akawapita kidogo akasimama takashuka boda akasepa, wale madem kutuona wakastuka wakaanza kucheka (pombe) basi kila mmoja alikamata wake, akibembeleza apate chochote, yule manz alikuwa mbishi lakini baadaye akalegeza(kipombepombe) ilikuwa ni maeneo fulani jirani na reli ndio mitaa ya nyumbani kwao kwa hiyo kulikuwa na ukimya fulani kwa muda ule wa saa nne.

Sasa kulingana na kuwa wenge la pombe na kuzingatia tena na umbali wa kwenda madukani usiku kutafuta kondom(kabla ya hapo kama sina kondom demu na atembee zake dah pombe)hilo likawa swala gumu na kumuachia sitaki japo yeye alisisitiza kesho, nikalazimisha hivo hivo kipombe pombe nikamuinamisha nikajipa moyo bao moja tu tena mbona huwaga nawahi kufika uhurupeak mapema sana kwa bao la kwanza hata dakika mbili haziishi niko kileleni, nishasahau kuwa nilikunywa nikachangaya na k-vant, ahh haikuwa dk mbili hadi dem akachoka anataka asepe mwenzake anamuita waende geti litafungwa mimi ndio kwanza nipo girmany na nataka nitoboe hadi uhurupeak (pombe hizo) basi nikamaliza na mshikaji na dem wake washamalizana kitambo yeye hakubofya demu alikuwa period, tukasepa.

Kesho yake nikampigia yule dem analalamika nilichomfanyia nimemuumiza, nimemchubua. Tobaa hii do ikawa habari mbaya kwangu pombe tena haziko na mimi nilijilaumu kwa nini sikutumia kinga, tukapanga tukutane tena sehem fulani tena ilikuwa mapema na nilitaka niende nae tukapime. Nakumbuka aliniambia sasa tumeshafanya sa kupima tena ya nini, nikamwambia sio kitu inabidi twende tukapime mbona nilipiga kimoja halafu sikuchelewa, akasema, "hukuchelewa na muda ule nakung'ata ulimi ili utoe niende na hadi umenichubua nilivyokuwa nakojoa asubuhi mkojo ulinichoma nikajua kabisa ulinichubua" mi muda huo hoi namuomba muumba yule manzi awe ni mzima.

Tuliingia tena gest fulani maeneo ya mji mpya hapo hapo mji kasoro, basi ilikuwa ni mchana tuu daa nilivyomuona yule mazi mapaja yake yako na vidoti doti vya upele vilipona havikuwa vingi sana lakini vilinipa maswali nilisex safari hii nilitumia mpira, tukaachana nae hatukwenda kupima.

Siku nyingine akaniita ili twende tukapime mi nilikuwa nipo site nawajibika, nikakosa muda wa kupima nae, niliendelea kukaa na wasiwas hususani nikimpigia anasema anaumwa matezi ya shingo yamemkata, nilichokaa ni balaa.

Siku zikaenda hatimae mwezi miezi miwi ikakatika tar 23 mwezi wa 4 nikaamua niende kituo cha afya kilcho karibu nami nkauondoe huu was was, japo nilijua kuwa bado mwezi mmoja zaid ili kwenda kpima kipimo cha uhakika lakn kutokan na hofu iliyokuwa imetanda moyoni mwangu niliona mwezi uliobaki ni mbali nilienda kituo cha afya nkaenda kupima. Wasiwasi ulikuwa kulikuwa mvua mvua siku so kulikuwa na kibaridi flani hivi lakini wakati nasubiria majibu jasho lilinitoka.

Kijana mie loser, majibu yalitoka yakaonesha damu yangu iko (HIV negative) nifurahi kias lakin nkikimbuka kuwa kipimo cha uhakika ili upate majibu ya uhakika ni miezi mitatu ili kuonyesha mtu kaambukizwa ama hajaambukizwa.

Wana jamvi, sasa ni miezi tisa dalili ninazoziona zimenitoa kwenye njia kabisa, naogopa kwenda kupima tena nahisi ntajiua kushi ni hii virus jaman ni kazi najaribu kujpa moyo kwa kuwaangalia wengine ambao nimewaona wanaishi navyo lakin bado nasita mimi kuishi kwa matumaini. Kwanini mii niishi kwa matumain ili hali wanajamvi humu wanaishi kwa uhakika, miaka ishirini mingine nitaifkisha kwa hii hali nliyonayo? Nitaishuhudia kweli SGR Dar to Mwanza, Isaka to Kigali inavyofanya kazi? Nitaushuhudia kweli ule uchumi wa kati unafanana vip mwaka 2040?

Yaani mi na wa kufa tu mbaya zaid sina mtoto. Kuna dem nilikuwa nimepanga niishi naye nimuoe yan yuko Arusha, sasa nafikiria asiponiambia suala la kupima nidet nae tu au sjui nimwache asje kunililia hapo baadae. Ila sasa kama ni kuishi kwa matumain si itabidi na mimi niwe na familia.

Sijapima ila kwa hizi dalili za awali the game is over. Mwanajamvi kama una lolote la kunishauri karibu ila mi ni marehem soon
 
Mi ninachojua HIV kuipata siyo simple kama jamaa unavyofikiri, uutafute haswaaa! Hayo magonjwa unayoyaita nyemelezi ni mapema sana kuonekana katika kipindi hicho cha miezi kadhaa tangu ULOWEKE a.k.a UUZE MECHI. Kupata virusi ni suala moja, kuanza kuonekana UKIMWI ni suala linalochukua muda sana, siyo miezi labda kama afya yako tayari ilikuwa ya mgogoro. Dalili kubwa miezi michache baada ya kuloweka ni kupungua ghafla kwa uzito; unapoteza kilo kadhaa kuanzia 5 mpaka 10 bila sababu. Ukiona hivyo mzee baba, hapo tayari kwaherini kwaherini inakuhusu, otherwise relax , kapime tu ujue 1. Katika hilo genge la pembeni hapo hebu anza kula machungwa na maembe, bili juu yangu. 🥴 🥴 🥴
 
Acha utoto,ukimwi siku hizi umezeeka hauna madhara kama zamani.

Kapime uwe na uhakika ,utaoa,utazaa,na kila kitu kitakuwa sawa.

Onyo: Acha nyege mshindo wakati kunguru. Hapo wewe hujaambukizwa ni hofu na kukosa maarifa tu.
Ukimwi bado ni janga wadau. Msidanganyane, nilishuhudia binti mdogo tu Form Two akipotea kisa HIV ya kuzaliwa nayo na aliugua in less than a week akaenda na afya yake na uzuri wake.
 
Back
Top Bottom