Pombe haijawahi kusema uongo hata siku moja😂

Pombe haijawahi kusema uongo hata siku moja😂

ndo narud hapaa wacha nipitie liqour mimi bar siwezag hekaheka na genz
Brother angu kabisa.

Mm niko hoi 😊😊😊. Dah! Ila ndio napandisha zangu Goba.
Tmr ni kulala sana tu.

Salimia dada wa Hapo Liqour store.
Mwambie akuheshim na akusilikize.
Ww unawakilisha JF kwa TZ nzima.

na umwambie kuwa ww tunakuheshimu sana.
Kwahiyo na yeye akuheshimu.
Akupe unachotaka. 😊😊😊😊..

Akibisha muonyeshe sms .
 
Brother angu kabisa.

Mm niko hoi 😊😊😊. Dah! Ila ndio napandisha zangu Goba.
Tmr ni kulala sana tu.

Salimia dada wa Hapo Liqour store.
Mwambie akuheshim na akusilikize.
Ww unawakilisha JF kwa TZ nzima.

na umwambie kuwa ww tunakuheshimu sana.
Kwahiyo na yeye akuheshimu.
Akupe unachotaka. 😊😊😊😊..

Akibisha muonyeshe sms .
nashukuru mzee wangu, eka mbe japo wewe mchaga wa town,

mdg wangu Rose hana shida mtu poa sana meku
 
Mlevi hana uwezo wa kuongea ukweli , maana akili yake inakuwa haipo soba , wengi hutoa mpaka ahadi ila Ahsubui husema zilikuwa ni pombe wasemehewe.
 
Back
Top Bottom