Poll: Kitafunio kipi bomba kwa chai?

Poll: Kitafunio kipi bomba kwa chai?

kikiwa na kichwa cha samaki wa kiporo ndo aibu zaidi. Ukikutwa unaanza kujishaua 'mie silagi kiporo ujue. Yaani leo tu sijui kwa nini'
hahaha, raha kweli.

Yani nakwambia Unabaki shuu aibu imekutawala.
Oh mimi kiporo hki nimeomba kwa jirani,wakati pembeni kuna bonge la msufuria wa Ukoko na kisamvu.
 
ukishakula kisamvu inabidi ukapge tena mswaki, hakina adabu kile

Afu ndo unajidai kuchekacheka mbele za watu,
utashushuliwa na vipande vyako vya kisamvu kwenye meno.
Ila kisamvu,majani ya maboga au maharage yakiganda kwenye meno unakuwa kama Joti na kijino chake.
 
kitafunio ni meno.
Kitafunwa ugali

Hayo ni makosa ya kisarufi.
Jifunze leo ili usirudie kukosea. Sentesi inaizungumzia chai,
hii chai ni kimiminika,
ki mantiki kimiminika hakitafuniki,

msingi wa lengo la chai ni kutafunwa,
kwa kuwa haitafuniki! tunaiambatanisha na kinachotafunika, ndio maana kiambata hicho kinakuwa "KITAFUNIO" CHA CHAI!!!!!!
 
...ila viporo vinatia aibu mbele za watu,
unabembea tu,jicho nyanya.

si unajua wanasema njaa mwana malevya...we check check mida mida ya asubuhi jinsi raia wanavyobembea kwenye madaladala sio kwamba wote hawakumaliza usingizi nyumbani...
 
si unajua wanasema njaa mwana malevya...we check check mida mida ya asubuhi jinsi raia wanavyobembea kwenye madaladala sio kwamba wote hawakumaliza usingizi nyumbani...

Umeua!!
 
elly & rachel 373.JPG nikishapata hii ndo naweza fanya kazi bara bara hadi saa kumi na moja bila kusinzia. Hii ndo braeakfast yangu kila jumatatu
 
View attachment 66134 nikishapata hii ndo naweza fanya kazi bara bara hadi saa kumi na moja bila kusinzia. Hii ndo braeakfast yangu kila jumatatu

Acha utani wewe hii siyo breakfast ya kidume anayetegemea kupiga kazi nzito..
Labda kama unafanya kazi ya kulamba stamp au kupiga signature kwenye makaratasi.
 
Acha utani wewe hii siyo breakfast ya kidume anayetegemea kupiga kazi nzito..
Labda kama unafanya kazi ya kulamba stamp au kupiga signature kwenye makaratasi.

umenena vyema, kazi nzito ni ipi?

hii nimeisema kwa mimi na kila jumatatu na inatumiwa na watu weengi maofisini wanaokaa kwenye kiti kuanzia asubuhi hadi jioni, ila kama kazi ni kutembea kutwa nzima au ina mizunguko ya hapa na pale au kubeba zege au kufyatua tofali kiporo na mihogo vinahusika loooh

na hii ni kila jumanne
 

Attachments

  • P1040468.JPG
    P1040468.JPG
    730.2 KB · Views: 62
Back
Top Bottom