Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,823
- 93,519
kiporo kiwe na kisamvu kilicholala na chenyewe!dah af ukipige usawa wa saa tano hivi!ah huamki hapo ulipokaa!tena ukitaka ukifaiid ukae chini kabisa ,manake kiporo utakulaje mezani eti na table mat juu?kasema nani!kiporo raha yake ushushie na maji sio juice delamonte!
sipati picha nakukuta SW umekaa chini unafakamia kiporo tena kwenye chungu kina masizi balaah!