2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,458
Simoni Siro je Polisi imekosa kabisa mbinu ya kudhibiti panya road na wahalifu wengine? Kama polisi imeshindwa hawa vijana wachache wasiokuwa na mafunzo vipi ishu ya ugaidi wataweza kweli?
DC TMK Joketi anataka wananchi waunde vikundi vya ulinzi shirikishi,sa kazi ya polisi ni nini? Kama wameshindwa basi agawe na silaha wananchi wajilinde.
Kuna hoja kuwa polisi hawatoshi kulinda mitaa yote, sa kama serikali imechukua hatua gani kama polisi hawatoshi? Wakati kuna migambo? Yani polisi walale nyumbani na mwisho wa mwezi apokee mshahara huku mlipa kodi akifanya kazi mchana na usiku akalinde?
Hili swala binafsi haliingii akilini sababu ndani ya miaka 6 ya Magufuli hatujawahi kusikia hivi vikundi vya kijinga. Kama Siro umeshindwa kazi jiuzulu tu.
DC TMK Joketi anataka wananchi waunde vikundi vya ulinzi shirikishi,sa kazi ya polisi ni nini? Kama wameshindwa basi agawe na silaha wananchi wajilinde.
Kuna hoja kuwa polisi hawatoshi kulinda mitaa yote, sa kama serikali imechukua hatua gani kama polisi hawatoshi? Wakati kuna migambo? Yani polisi walale nyumbani na mwisho wa mwezi apokee mshahara huku mlipa kodi akifanya kazi mchana na usiku akalinde?
Hili swala binafsi haliingii akilini sababu ndani ya miaka 6 ya Magufuli hatujawahi kusikia hivi vikundi vya kijinga. Kama Siro umeshindwa kazi jiuzulu tu.