Ni kwamba polisi walikuwa wanapita na msafari wao tu. Mara, karibu na kijiji fulani, wakamuona mwanakijiji, aliyeonekana kama anatoka shamba, akishambuliwa vibaya na nyuki.
Wakiaa hawana uzoefu wa hao wadudu, wakaona wasijihatarishe na wao bali wakimbie haraka wakawahabarishe wanakijiji wenzake ili waje kutoa msaada kwa mwanakijiji mwenzao.
Walipofika kijijini na kusimamisha gari tu, wanakijiji wote wakaanza kutimua mbio bila hata kungoja polisi wanataka kusema nini.
Polisi wakabaki kwenye mshangao wasijue la kufanya na kuondoka kurejea kule alikoshambuliwa yule mwananchi. Walifanikiwa kumkuta hai lakini akiwz hoooi musa wowote, kwa hali yake, linaweza kutokea lolote.
Hivi kwanini hivi?!! Nini kidanyike?
Wakiaa hawana uzoefu wa hao wadudu, wakaona wasijihatarishe na wao bali wakimbie haraka wakawahabarishe wanakijiji wenzake ili waje kutoa msaada kwa mwanakijiji mwenzao.
Walipofika kijijini na kusimamisha gari tu, wanakijiji wote wakaanza kutimua mbio bila hata kungoja polisi wanataka kusema nini.
Polisi wakabaki kwenye mshangao wasijue la kufanya na kuondoka kurejea kule alikoshambuliwa yule mwananchi. Walifanikiwa kumkuta hai lakini akiwz hoooi musa wowote, kwa hali yake, linaweza kutokea lolote.
Hivi kwanini hivi?!! Nini kidanyike?