Wameachiwa na nani wakati katiba inawaruhusu?Sasa nyinyi CHADEMA hamueleweki mkiachiwa mfanye mikutano mnatoa maneno ya kukashifu polisi...jaribuni kuelimika ndugu zangu.
Kumbe mkutano wenyewe unaendeshwa na hako kakijana kakutoka usukumanii?? Wakaachie tuuu kajipigie story na vijaana wenziee.Baada ya kelele za kuwakumbusha kuwa hatuko tena awamu ya tano, kwa aibu na fedheha kubwa kama kuku aliyenyeshewa mvua Polisi wamekubali mkutano wa ndani wa Chadema ufanyike.
Fedheha nyingine Polisi mnazitaka wenyewe, sasa mmebadilisha kile mlichokua mnakiamini. Mkajua mko awamu ya kusifiwa na kujipendekeza.
View attachment 1777206
Hata hizo ni za kipumbavu tuTambo za CCM siyo za kijinga?
Hikikundi mjitaidi kuelimikaa. Kwani akiamua raisi chochote anaweza zuia.Wameachiwa na nani wakati katiba inawaruhusu?
Tuwalaani hao polisi waovu wanaotaka kuvunja katiba. Mwovu dhidi ya katiba na sheria zetu ameondoka, tunataka aondoke na uovu wote aliouasisi. Hii nchi ni ya watu wasitaarabu. Hao polisi primitive wajue hawana nafasi katika Tanzania iliyostaarabika.
Kwa nini wabane? Alafu wakibanwa ndio wanaachia. Acha ubwege we dogo.Hakuna anayesema ubembeleze haki yako. Ila ukiipata acha nongwa; ati wamebana wakaachia; huo ni utoto
Umenena kweli tupuWameachiwa na nani wakati katiba inawaruhusu?
Tuwalaani hao polisi waovu wanaotaka kuvunja katiba. Mwovu dhidi ya katiba na sheria zetu ameondoka, tunataka aondoke na uovu wote aliouasisi. Hii nchi ni ya watu wasitaarabu. Hao polisi primitive wajue hawana nafasi katika Tanzania iliyostaarabika.
Polisi wakiwaacha wamewaigopa sio?Baada ya kelele za kuwakumbusha kuwa hatuko tena awamu ya tano, kwa aibu na fedheha kubwa kama kuku aliyenyeshewa mvua Polisi wamekubali mkutano wa ndani wa Chadema ufanyike.
Fedheha nyingine Polisi mnazitaka wenyewe, sasa mmebadilisha kile mlichokua mnakiamini. Mkajua mko awamu ya kusifiwa na kujipendekeza.
Haka ka kijana bwaanaa. Kanachekesha kweliiii.Hii nayo imewastuaView attachment 1777341
siasa sio vita. kama waliaminishwa ni vita basi waende huko Somalia ka Mohamed FarmaajoBaada ya kelele za kuwakumbusha kuwa hatuko tena awamu ya tano, kwa aibu na fedheha kubwa kama kuku aliyenyeshewa mvua Polisi wamekubali mkutano wa ndani wa Chadema ufanyike.
Fedheha nyingine Polisi mnazitaka wenyewe, sasa mmebadilisha kile mlichokua mnakiamini. Mkajua mko awamu ya kusifiwa na kujipendekeza.
wakiwazuia kwa hila??Polisi wakiwaacha wamewaigopa sio?