Wameachiwa na nani wakati katiba inawaruhusu?Sasa nyinyi CHADEMA hamueleweki mkiachiwa mfanye mikutano mnatoa maneno ya kukashifu polisi...jaribuni kuelimika ndugu zangu.
Tuwalaani hao polisi waovu wanaotaka kuvunja katiba. Mwovu dhidi ya katiba na sheria zetu ameondoka, tunataka aondoke na uovu wote aliouasisi. Hii nchi ni ya watu wasitaarabu. Hao polisi primitive wajue hawana nafasi katika Tanzania iliyostaarabika.