Unajitoa akili.Kwani lini haki haikutendeka?
Unajitoa akili.Kwani lini haki haikutendeka?
Nenda kaandike Mgongoni kwako kama hutaki kujibiwaDogo vipi? unashobokea Kila mtu mi si wa level yako, tuliza kitobo hicho
Wanapenda kutengeneza matukio ili kuonekana wanaonewaShida Chadema wanatumia mbinu za kitoto kuhakikisha wanaleta taharuki ili kutafuta Umaarufu
CCM ni kama kahaba mzee, pamoja na kuwa mzoefu wa siku nyingi lakini anakuwa amepoteza mvuto hata na "ladha" pia.Tatizo la Mbeya ni jinsi ya ubebwaji wa yule MAZA wa uspika inakuwa ntiani nkubwa.. ....
CCM inatia huruma mida mingine!!...tuwe wakweli.
Ninachosema TULIA hajapitishwa na chama chochote kugombeaWe kipofu Google misafara yake
Ndiyo tunaongoza Serikali. Kwahiyo unawezaje kuongozwa na Kahaba na wewe usiwe kahaba? Ndege wanaofanana ndiyo huruka pamoja, bundi unataka nini kwenye kundi la njiwa?CCM ni kama kahaba mzee, pamoja na kuwa mzoefu wa siku nyingi lakini anakuwa amepoteza mvuto hata na "ladha" pia.
Nadhani nimeeleweka
Kumbe na huku vilaza Kama wewe mpoCCM ni kama kahaba mzee, pamoja na kuwa mzoefu wa siku nyingi lakini anakuwa amepoteza mvuto hata na "ladha" pia.
Nadhani nimeeleweka
Police wa Belarus wanavua na kuzitupilia mbali sare za jeshi la polisi baada ya kuchoka kutetea ujinga wa serikali iliyopo madarakani, hawa wa kwetu sijui watapata wokovu.Ukitafakari kwa makini si kwamba polisi wanaipenda ccm Bali wanafarakanisha watz na ccm kwa kuwashughulikia wapinzani ili lawama zote ziende kwa CCM. Mfano check hili la Mbeya Ackson Tulia alienda na msururu wa wasindikizaji kuchukua fomu but Sugu wamemzuia eti anafanya maandamano, hizi Ni kupandikiza chuki ili watz waichukie ccm na serikali yao
Tena Mwambie aangalie likizo isije ikaishia kwakeDogo vipi? unashobokea Kila mtu mi si wa level yako, tuliza kitobo hicho
Huyu mama mnambebesha msalaba ambao sio wake na kwa hi move ya sugu ni mkakati ambao sugu mwenye aliupanga na huyo afande aliyemkamata.MPZ WA MUNGU ana roho mbaya sana coz huwezi shindana mbio huku mpinzani wako umemfunga miguu
Hu mpango wa polisi wa mbeya na sugu unakwenda kulichafua jeshi zima la polisi.Police wa Belarus wanavua na kuzitupilia mbali sare za jeshi la polisi baada ya kuchoka kutetea ujinga wa serikali iliyopo madarakani, hawa wa kwetu sijui watapata wokovu.
Wewe shika adabu yako. Tutashindana majukwaani mitaani na tutawapiga kwenye box la kuraWanawaza kumuweka ndani Hadi muda wa kuchukua fomu uishe,ili Bibi kiloboto apitw bila kupingwa,huo ni mpango ulioandaliwa kutoka kwa Ndugai mdogo.
Ndiyo jibu la swali langu?Unajitoa akili.
wao wanatii amri wakipinga watakufa njaa kwa kufukuzwa kazi.Police wa Belarus wanavua na kuzitupilia mbali sare za jeshi la polisi baada ya kuchoka kutetea ujinga wa serikali iliyopo madarakani, hawa wa kwetu sijui watapata wokovu.
Sijakusoma kiongoziPolice wa Belarus wanavua na kuzitupilia mbali sare za jeshi la polisi baada ya kuchoka kutetea ujinga wa serikali iliyopo madarakani, hawa wa kwetu sijui watapata wokovu.
Sidhani kama wanaweza pewa maelekezo ya hivyowao wanatii amri wakipinga watakufa njaa kwa kufukuzwa kazi.
ila ukiongea nao hawa wa chini ambao ndio watendaji wanatulaumu sisi wananchi ndio tunawaangusha kwani wanakosa pa kuanzia wao hawawezi bila sie kuanza