Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Nimesikitika sana kutazama kipindi kilichorushwa na channel 10 - mimi na Tanzania.kijana anadai alibambikizwa kesi ya kuvunja na kuiba. But according 2 yeye ni kwamba alikuwa na uhasama na askari aliyekuwa akimtuhumu kutembea na mkewe.Kama jambo hili ni lakweli, inabidi hatua za haraka zichukuliwe kusafisha jeshi letu la polisi. Kila siku tunasikia habari za polisi kuua na kujeruhi, hii itakwisha lini?Kwa sasa Suala lake linashughulikiwa na kituo cha sheria na haki za binadamu.