Fahamu kiini na undani wa sakata la wanafunzi wa ualimu wa UDOM

Kingmairo

JF-Expert Member
Apr 7, 2012
4,936
3,533
#Hoja_Ya_Wanafunzi_wa_UDOM
( By Mh. Halima Mdee, MB)

Watu wengi wanaohoji nini kiini cha tatizo la wanafunzi wa UDOM? Wamefanya nini? Kwanini wamefukuzwa? Kwanini iwe usiku wa manane? Nini hatma yao?

#Majibu
Mgogoro huu una historia ndefu kidogo. Miaka michache iliyopita aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete alizindua program maalumu ya kusomesha waalimu wa masomo ya sayansi ktk shule za sekondari nchini. Hii ilikua ni program maalumu ya kukabiliana na changamoto ya uhaba wa waalimu wa sayansi nchini.

Ilionekana kuwa wastani wa waalimu 8,000 wa masomo ya Sayansi wanaweza kusaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la ukosefu wa waalimu wa Sayansi nchini. Lakini hakukua na chuo cha waalimu chenye kuweza kudahili walimu wote hao. Hata wizara ingeamua kuwagawanya kwny vyuo vya ualimu vya diploma wasipata nafasi za kutosha.

Hivyo basi Rais Kikwete kwa kushirikiana na mamlaka ya Elimu (TEA), Tume ya vyuo vikuu(TCU), Mamlaka ya elimu ya ufundi (NACTE) na wadau wengine wakafikia maazimio ya kudahili wanafunzi hao chuo kikuu cha Dodoma baada ya kufanyika assesment na kuonekana nafasi zipo za kutosha wanafunzi wote hao.

Lakini ili kuepuka kupata walimu "wasio na sifa" serikali ikaset standards za udahili, kwamba itakua ni kwa wahitimu wa kidato cha 4 waliopata daraja la kwanza hadi la tatu (division 1 hadi 3) na pia wawe wana ufaulu wa alama "A" au "B" katoka masomo ya sayansi. .

Lakini je unawezaje kumshawishi Mwanafunzi aliyepata Division 1 au 2 aende kusomea Ualimu wa sayansi ngazi ya Diploma? Wengi wana malengo tofauti na wangependa kuendelea na kidato cha 5 na hatimaye chuo kikuu kama "priority number 1".

Kwahiyo serikali ikaona njia rahisi ni kuwapatia mikopo ya 100% wanafunzi hao na kuwaahidi ajira pindi wamalizapo masomo. Kwa hali hii wakafanikiwa kuwashawishi hasa wale watoto wa maskini wasio na uwezo wa kujisomesha "private". Hawa wajajikuta wamekua wahanga wakuu wa mfumo huu.

Wakakubali kujiunga na Program hii maalumu kwa kuwa wana uhakika watapata mkopo na wamehakikishiwa ajira baada kuhitimu. Lakini wale watoto wa vigogo waliofaulu kwa division 1 na 2 hawakua na muda wa kupoteza kwny programu hii. Wakaenda kidato cha 5 na 6 kwenye shule nzuri za binafsi zenye kulipiwa mamilioni.

Watoto wa mama Ntilie waliofaulu vizuri wakadahiliwa UDOM tayari kuianza safari yao ya kuwa waalimu (Diploma in Education - Special Program). Program hii ilizinduliwa na Rais Kikwete kwa pesa zilizoombwa bungeni kisheria. Bunge liliridhia kuwasomesha vijana hao kwa gharama za serikali ili wakafundishe O-level katika shule za serikali ktk kulabiliana na changamoto ya walimu wa Sayansi nchini. Programu hii ilienda vizuri tangu kuanzishwa kwake hadi serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani.

#Kiini_cha_Mgogoro
Serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani kwanza ikasitisha kupeleka fedha kwenye program hii, hali iliyopelekea wahadhiri waliokua wakifundisha kukosa, posho walizokuwa wakipata. Hali hii ilipelekea wahadhiri hawa kukagoma kufundisha. Walidai kwamba mikataba ya ajira zao haihusishi ufundishaji wa course hiyo, kwa hiyo inabidi walipwe posho ya ziada. Serikali ikakataa. Wahadhiri wakagoma na wanafunzi wakaungana nao kugoma.

Punde si punde serikali ikasitisha mikopo kwa wanafunzi hawa kwa madai kuwa wanafunzi wa kidato cha nne hawana sifa ya kwenda chuo kikuu, na hata wakienda kwa "equivalent pass" hawastahili kupewa mkopo kwa mujibu wa sera ya mikopo. Yani hoja ikahama kutoka kugoma hadi kukosa sifa zakusoma.

Mgogoro ukawa mkubwa zaidi pale serikali ilipowafukuza kazi viongozi wakuu wa TCU eti kwa kudahili wanafunzi "wasio na sifa" chuo kikuu. Serikali ikastaajabu eti wanafunzi wa kidato cha 4 wamefikaje chuo kikuu na kupata mkopo asilimia 100%??

Serikali ikaenda Bodi ya Mikopo na kufukuza Watendaji wote walioshiriki kuwapa mikopo vijana hawa. Vyombo vya habari navyo vikaandika kishabiki bila hata kufanya utafiti eti "Wanafunzi vihiyo chuo kikuu waanza kukiona", wengine wakaandika "Waliowapa mkopo wanafunzi vihiyo wafukuzwa". Yani kila mwandishi akaandika lake kuonesha kufurahishwa na uamuzi huo wa serikali.

Lakini ni waandishi hawahawa walioandika miaka miwili iliyopita kuwa "Waliofaulu vizuri sekondari kupewa mkopo 100% kusomea ualimu wa sayansi". Leo vijana walewale waliotajwa kufaulu vizuri na serikali ya JK ikapongezwa kuwaanzishia program maalumu, ndio wanaitwa "vihiyo" na waandishi walewale waliowasifia.

Hivi mtu aliyepata division 1 au 2 na akafaulu masomo ya Sayansi kwa alama A au B miaka miwili iliyopita leo anakuaje "kihiyo??". Wanafunzi hawa waliofaulu vizuri masomo yao ya O-level wakaitwa "magenius" na kuombwa wakasomee ualimu leo wanaitwa "vihiyo" na serikali ileile.

Leo serikali ya chama kilekile iliyokuja na mpango huu, kupitia wizara ileile inawafukuza viongozi wa TCU waliowadahili wanafunzi hawa. This is typical unfair.

Mbaya zaidi hawakuishia hapo; wakakwenda chuoni na kusitisha mishahara ya wahadhiri. Hawakuishia hapo wakazuia mikopo ya wanafunzi hawa kutoka familia duni. Hawakuishia hapo, hatimaye jana usiku wakawafukuza wanafunzi hawa wasio na hatia.

Hakika nimeshindwa kuelewa kabisa jambo hili. Yani serikali ya JPM inataka dunia iamini kuwa serikali iliyopita ni nyingine kabisa na haina mazuri iliyoyafanya na ilikua inaongozwa wajinga?? Ina maana mtangulizi wake hakumueleza juu ya programu hii maalumu ya kuongeza idadi ya walimu wa sayansi nchini? Kama alielezwa mbona anafanya maamuzi kwa kukurupuka?

Yericko Nyerere anahoji kuwa; inawezekanaje Katika bunge lilelile na spika wa chama kilekile wanazuia hoja binafsi ya Mbunge Joshua Nassari aliyetaka bunge lijadili mgogoro huu na kunusuru hatari inayowakumba watoto wetu hapo UDOM?? Badala yake mbunge huyo ananyanyuliwa mzobemzobe na polisi na kutupwa nje ya lango la bunge.

Vijana hawa wamefukuzwa jana usiku na kupewa notice ya masaa 24 wawe wameondoka ndani ya eneo la chuo, huku magari ya polisi, na polisi wenye silaha, mabomu ya machozi na maji ya kuwasha wakiwa wamezingira maeneo ya chuo hicho tangu usiku.

Wamefukuzwa kama mbwa bila hata kusikilizwa. Wamelazimishwa warudi makwao bila kupewa hata nauli. Watarudije?

Baadhi ya wanafunzi kutokana na kuhofia usalama wao walifungasha mizigo yao na kwenda kujilundika stand ya mabasi Dodoma wakiwasiliana na ndugu zao wawatumie nauli. Polisi wakawavamia leo asubuhi na kuanza kuwapiga wakiwashinikiza waondoke Dodoma haraka. Lakini wataondokaje bila nauli? Kama serikali inajali utu kwanini isiwakodishie mabasi yawarudishe kwao? Mbona Mwalimu Nyerere alipowafukuza kina Samuel Sitta UDSM alitoa mabasi yaliyowapeleka hadi majumbani kwao? Serikali hii ya JPM inashindwa nini?

Mwanafunzi aliyeamua kujisitiri stand ya mabasi akihofia asije kufia chuoni peke yake, hana ndugu Dodoma, hana nauli ya kurudi kwao, anapiga simu kwa ndugu zake wamtumie nauli. Amelala kwa kusimama na kuumwa mbu hadi asubuhi inafika hajapata nauli. Polisi wanamkuta na kuanza kumpiga eti kwanini yuko stand na hataki kusafiri. Huu ni ukatili mkubwa sana dhidi ya binadamu.

Mahali pekee ambapo wanafunzi hawa wanaweza kupata haki yao kwa sasa ni Bungeni tu. Serikali imeshawakana wakati ndio iliyoanzisha hiyo programu. Maafisa wa TCU waliowadahili wameshafukuzwa. Viongozi wa Bodi ya Mikopo waliowapa mikopo nao wamefukuzwa. Tumaini pekee la maisha yao limebaki bungeni.

Halafu Mbunge Nassari analeta hoja ya kujadili suala hili kwa dharura Naibu Spika anakataa, anaagiza Polisi wamtoe nje Nassari. This is very unfair. Wanafunzi hawa wamekua "valnurable" na wako kwenye hatari nyingi ikiwa ni pamoja na kubakwa (kwa wale wa kike) au kufanyiwa vitendo vya kihuni hata kuuawa.

Wanahitaji msaada wa dharura ili waweze kujua hatma yao. Na mahali pekee pa kupata msaada huo ni bungeni, lakini Naibu Spika hataki. Anasema hoja hiyo siyo ya dharura. Huu ni unyama. Ni ukatili. Ni Ukosefu wa utu. Ni ushetani. Yani wadogo zetu wafie Dodoma halafu tuambiwe si dharura? Hivi huyu mama amezaa? Ingekua wanae ndio wapo kwenye mazingira hayo angefanya hivyo?

Kwanini tunawaadhibu watoto hawa kwa makosa ambayo hawajafanya. Kama ni kukosea basi aliyekosea ni JK na serikali yake, kwanini Magufuli awaadhibu hawa watoto wasio na hatia? Nini hatma yao? Wengine wako mwaka wao wa mwisho kumaliza elimu yao ina maana wamepoteza muda bure? Nani atawalipa muda waliopoteza?

Leo ni vijana hao hao kama wangeamua kwenda kidato cha tano wangekuwa wamemaliza form six mwaka jana na sasa wapo first year chuo kikuu na wengine wangekua wanasubiri kujiunga first year mwaka huu. Wapo waliokua na ndoto za kuwa maribani, madaktari, wahandisi lakini walijitolea maisha yao na kuamua kwenda kusomea ualimu kwa ajili ya Tanzania; licha ya kufaulu kwa division one na two. Leo wanafukuzwa kama mbwa.
 
kama hali halisi ipo hivyo basi kwa hili MAGUFURI na serikari yake husika wanetereza kwa kiasi kikubwa kuna haja ya kutupa ufafanuzi yakinifu
hata kibinadamu aifai haiwezekani mtu umpe masaa 24 aondoke yaan nchi yako na unabuluzwabuluzwa kama gogo
SERIKALI inapofanya maamuzi kama haya kwa wananchi wake hata kama ipo 7bu ya maana basi iwe inaangalia mpango mbadala
7bu sisi ni wananchi tanzania nchi yetu na MAGUFURI wewe ndo rais wetu sasa ikiwa wewe mkuu wa nchi unatutupa wananchi wako namna tutakimbilia wapi na sisi maskini
na wazazi utakuta pengine wanawategemea hao watoto wamalize wapate ajira ili kuwasaidia
yaani ni kama vile unacheza UPATU kwa miezi 10 ukijibana na kutegemea upokee zamu yako mwenzi mmoja kabla hujapokea unapata taarifa kijumbe kakimbia na ela hivi maumivu yake yanakuaje
yaani namna hii mapenzi na serikali yako yanapotea hata kile kitu kinaitwa UZARENDO kinayeyuka taratibu moyoni
 
Ukweli ni kwamba hawa vijana wengi hawana ndoto wala moyo wa kuwa walimu program ingekuja kufeli huko mbeleni kama ile program ya walimu wa mwaka mmoja kipindi kile maarufu ilikua Voda fasta. Wengi wao wangekuja kukimbia fani maana wanaofaulu vizuri sayansi wanakua na ndoto za kuwa madaktari, mainjinia na fani zingine zenye muelekeo wa pesa. Kimsingi serikali iboreshe maslahi ya walimu. Mwalimu alipwe vizuri na maslahi yao mengine yaboroshwe wataona matunda kuliko kuwalazimisha watu kusoma fani wasizozitaka.
Ingawa kusitisha program pia sio busara ni bora wangeachwa wamalize bila kudahili wanafunzi wapya. Haya ndio matokeo ya kutokua na mfumo maana kila anaeingia ikulu anaingia na mamlaka yake kamili. Anageuza na kupindua vile anavyotaka tutabaki kulia kama panya nani atamfunga paka kengele.
 
Kwanza nianomba tuwekane sawa. Kabla sijachangia juu ya mada ninataka tulione hili la nchi kuongozwa kwa maamuzi ya mtu binafsi, hisia zake na utashi wake. Tunapodai katiba mpya ccm wanakataa wakihofia uhuru na kukosa ubabe wa kulazimisha maamuzi na utawala wao wa kimabavu. Haaya ndiyo matunda ya muundo wa nchi kuongozwa na katiba mbovu. CCM wasilalamike kabisa hata kama una mtoto wako yamemsibu haya, furahia na kushangilia kwa kuwa ndiyo muundo wa uongozi wa nchi mnaoutaka. Marakaka makubwa yasiyokuwa na mipaka wala kikombo kuwekwa kwa mtu mmoja ndiyo yaliyomfanya Jk kuamua atakavyo na watu kwa uanfiki wakapiga kelele za shangwe!. Hawakuona mbele wala hapakuwa na ushirikishi wa wataalam kwa kuwa hata wataalam hawakuthaminiwa. Zidumu fikra za mulugo.

leo kaja raisi mwingine na utaratibu mpya, ndani ya madaraka yasiyo na mipaka wala kikomo, anaamua kile anaona kinafaa na wanafiki wale wale wanashangilia kwa kelele za shangwe!. Kesho atakuja mwingine sijui ndio membe, sijui riziwani sijui nini, naye ataamua la kwake, na tunategemea wanafiki vile vile wataendelea kushangilia kwa kelele za shangwe!.

BILA MABADILIKO YA KATIBA, HUU NDIO UTARATIBU WA MAISHA TANZANIA. ACHENI KULIALIA BADALA YAKE SHANGILIENI.

Tunarudi kwwenye mada. Hivi mtoto wa form 4, anafundishaje form 4 wenzake? Hapa siyo ULE UALIMU PASIPO ELIMU? Huu mpango ulikuwa ni wa kuinua elimu ama kuhitimisha mazishi ya elimu? Shida ya kuwapa madaraka makubwa yasiyokuwa na mipaka watu wasiojua thamani wala umuhimu wa limu na utalaam waamue kuhusu elimu ya taifa. Ccm yaoneni wenyewe. Acheni kulialia, badala yake shangilieni kwa kelele za shangwe.


Nani asiyejua ufaulu fake uliokuwa uanatengenezwa na awamu ilyopita? Kutoa pass za bure ili ufaulu uongezeke eti kuficha aibu ya serikali huku idadi ya wasiojua kusoma na kuandika ikiongezeka pamoja na ongezeko la vituo vilivokuwa vikiitwa shule. Katika mfumo wa elimu kama ile, utaaminije hata hao waliosemwa wana GPA5 KAMA HATA SIFA ZA HIZO GPA 5 sijui 4 na ma A kibao wanajua hata hicho walichopewa A au kudaiwa kukifaulu?

Acheni utani. Ellimu ni mzizi wa taifa. Magufuli yuko sahihi sana katika hili. Ninachoomba ni kwamba tumpe ushirkiano ya yeye atupe ushirikiano. Atupatia Katiba ya Warioba, na sisi tuende naye katika marekebisho ya uozo unaonuka kila kona ya nchi. Marekebisho hayo hayatakwepa ubomoaji wa misingi mibovu na kuanza upaya kama hili la watoto wa form 4, tena BRN eti wakafundishe secondary. Uliona wapi hiyo?

Ninachoomba sasa ni serikali kuwa na taratibu nzuri za utekelezaji wa marekebisho hayo kwamba yasiwe tena mauaji ya wahanga. Taratibu zingine zifanyike ili hao waliokuwa wanaandaliwa kufundisha UALIMU PASIPO ELIMU YA SECONDARY (UPE), wapate mwelekezo mwingine utakaowapa nafasi ya kufanya kile kilicho katika uwezo wa elimu yao au kuwafanya waendelezwe kufikia kiwango kinachostahili kufundisha secondary kama wana uwezo na makubaliano rasmi yafanywe juu ya mwelekeo wao na gharama za matayarisho hayo.

HABARI YA JK NA ELIMU YAKE YA KUUA TAIFA HAPANA. MAGUFULI ANAKAZI KUBWA YA KUZOA MARUNDO YA UOZO, UBOMOAJI NA UJENZI UPYA HAUTAEPUKIKA. APEWE USHIRIKIANO KATIKA MIPANGO SAFI YA UTEKELEZAJI MAAZIMIO YAKE, APEWE USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI MAKINI, LAKINI KIKUBWA TUNAOMBA NAYE ATUPE USHIRIKIANO WA KUTUPA KATIBA YA JAJI WARIOBA ILI ANACHOKIFANYA KIWE ENDELEVU. KISIJE KUONDOKA NAYE MUDA WAKE UKIISHA.

NINAJUA CCM HAWAMPENDI ILA KUMWABIA HAWANA UBAVU KWA KUWA NI WANAFIKI ASILIA. HAWAMPI USHIRIKIANO KWA KUWA NDIO UOZO WENYEWE ANAOSHUGHULIKA NAO NA HIVYO ASITEGEMEE KUFANIKISHA KWA KUANGALIA WANA CCM TU. ACHAGUE WATANZANIA NJE YA CCM ILI AJENGE NCHI NA KUWEKA MISINGI ENDELEVU KWA NGUZO YA KATIBA.

ILA NINACHUKIA SANA CCM WANAOLIALIA WAKATI NDIO WAMETENGENEZA UJINGA WOTE UNAOSUMBUA HII NCHI!.
 
Swali la msingi....kati ya hao wanafunzi waliodahiliwa wangapi wana division 1 & 2 ??

Unapoamua kuja na ukweli usiache kitu!
 
#Hoja_Ya_Wanafunzi_wa_UDOM
( By Mh. Halima Mdee, MB)

Watu wengi wanaohoji nini kiini cha tatizo la wanafunzi wa UDOM? Wamefanya nini? Kwanini wamefukuzwa? Kwanini iwe usiku wa manane? Nini hatma yao?

#Majibu
Mgogoro huu una historia ndefu kidogo. Miaka michache iliyopita aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete alizindua program maalumu ya kusomesha waalimu wa masomo ya sayansi ktk shule za sekondari nchini. Hii ilikua ni program maalumu ya kukabiliana na changamoto ya uhaba wa waalimu wa sayansi nchini.

Ilionekana kuwa wastani wa waalimu 8,000 wa masomo ya Sayansi wanaweza kusaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la ukosefu wa waalimu wa Sayansi nchini. Lakini hakukua na chuo cha waalimu chenye kuweza kudahili walimu wote hao. Hata wizara ingeamua kuwagawanya kwny vyuo vya ualimu vya diploma wasipata nafasi za kutosha.

Hivyo basi Rais Kikwete kwa kushirikiana na mamlaka ya Elimu (TEA), Tume ya vyuo vikuu(TCU), Mamlaka ya elimu ya ufundi (NACTE) na wadau wengine wakafikia maazimio ya kudahili wanafunzi hao chuo kikuu cha Dodoma baada ya kufanyika assesment na kuonekana nafasi zipo za kutosha wanafunzi wote hao.

Lakini ili kuepuka kupata walimu "wasio na sifa" serikali ikaset standards za udahili, kwamba itakua ni kwa wahitimu wa kidato cha 4 waliopata daraja la kwanza hadi la tatu (division 1 hadi 3) na pia wawe wana ufaulu wa alama "A" au "B" katoka masomo ya sayansi. .

Lakini je unawezaje kumshawishi Mwanafunzi aliyepata Division 1 au 2 aende kusomea Ualimu wa sayansi ngazi ya Diploma? Wengi wana malengo tofauti na wangependa kuendelea na kidato cha 5 na hatimaye chuo kikuu kama "priority number 1".

Kwahiyo serikali ikaona njia rahisi ni kuwapatia mikopo ya 100% wanafunzi hao na kuwaahidi ajira pindi wamalizapo masomo. Kwa hali hii wakafanikiwa kuwashawishi hasa wale watoto wa maskini wasio na uwezo wa kujisomesha "private". Hawa wajajikuta wamekua wahanga wakuu wa mfumo huu.

Wakakubali kujiunga na Program hii maalumu kwa kuwa wana uhakika watapata mkopo na wamehakikishiwa ajira baada kuhitimu. Lakini wale watoto wa vigogo waliofaulu kwa division 1 na 2 hawakua na muda wa kupoteza kwny programu hii. Wakaenda kidato cha 5 na 6 kwenye shule nzuri za binafsi zenye kulipiwa mamilioni.

Watoto wa mama Ntilie waliofaulu vizuri wakadahiliwa UDOM tayari kuianza safari yao ya kuwa waalimu (Diploma in Education - Special Program). Program hii ilizinduliwa na Rais Kikwete kwa pesa zilizoombwa bungeni kisheria. Bunge liliridhia kuwasomesha vijana hao kwa gharama za serikali ili wakafundishe O-level katika shule za serikali ktk kulabiliana na changamoto ya walimu wa Sayansi nchini. Programu hii ilienda vizuri tangu kuanzishwa kwake hadi serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani.

#Kiini_cha_Mgogoro
Serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani kwanza ikasitisha kupeleka fedha kwenye program hii, hali iliyopelekea wahadhiri waliokua wakifundisha kukosa, posho walizokuwa wakipata. Hali hii ilipelekea wahadhiri hawa kukagoma kufundisha. Walidai kwamba mikataba ya ajira zao haihusishi ufundishaji wa course hiyo, kwa hiyo inabidi walipwe posho ya ziada. Serikali ikakataa. Wahadhiri wakagoma na wanafunzi wakaungana nao kugoma.

Punde si punde serikali ikasitisha mikopo kwa wanafunzi hawa kwa madai kuwa wanafunzi wa kidato cha nne hawana sifa ya kwenda chuo kikuu, na hata wakienda kwa "equivalent pass" hawastahili kupewa mkopo kwa mujibu wa sera ya mikopo. Yani hoja ikahama kutoka kugoma hadi kukosa sifa zakusoma.

Mgogoro ukawa mkubwa zaidi pale serikali ilipowafukuza kazi viongozi wakuu wa TCU eti kwa kudahili wanafunzi "wasio na sifa" chuo kikuu. Serikali ikastaajabu eti wanafunzi wa kidato cha 4 wamefikaje chuo kikuu na kupata mkopo asilimia 100%??

Serikali ikaenda Bodi ya Mikopo na kufukuza Watendaji wote walioshiriki kuwapa mikopo vijana hawa. Vyombo vya habari navyo vikaandika kishabiki bila hata kufanya utafiti eti "Wanafunzi vihiyo chuo kikuu waanza kukiona", wengine wakaandika "Waliowapa mkopo wanafunzi vihiyo wafukuzwa". Yani kila mwandishi akaandika lake kuonesha kufurahishwa na uamuzi huo wa serikali.

Lakini ni waandishi hawahawa walioandika miaka miwili iliyopita kuwa "Waliofaulu vizuri sekondari kupewa mkopo 100% kusomea ualimu wa sayansi". Leo vijana walewale waliotajwa kufaulu vizuri na serikali ya JK ikapongezwa kuwaanzishia program maalumu, ndio wanaitwa "vihiyo" na waandishi walewale waliowasifia.

Hivi mtu aliyepata division 1 au 2 na akafaulu masomo ya Sayansi kwa alama A au B miaka miwili iliyopita leo anakuaje "kihiyo??". Wanafunzi hawa waliofaulu vizuri masomo yao ya O-level wakaitwa "magenius" na kuombwa wakasomee ualimu leo wanaitwa "vihiyo" na serikali ileile.

Leo serikali ya chama kilekile iliyokuja na mpango huu, kupitia wizara ileile inawafukuza viongozi wa TCU waliowadahili wanafunzi hawa. This is typical unfair.

Mbaya zaidi hawakuishia hapo; wakakwenda chuoni na kusitisha mishahara ya wahadhiri. Hawakuishia hapo wakazuia mikopo ya wanafunzi hawa kutoka familia duni. Hawakuishia hapo, hatimaye jana usiku wakawafukuza wanafunzi hawa wasio na hatia.

Hakika nimeshindwa kuelewa kabisa jambo hili. Yani serikali ya JPM inataka dunia iamini kuwa serikali iliyopita ni nyingine kabisa na haina mazuri iliyoyafanya na ilikua inaongozwa wajinga?? Ina maana mtangulizi wake hakumueleza juu ya programu hii maalumu ya kuongeza idadi ya walimu wa sayansi nchini? Kama alielezwa mbona anafanya maamuzi kwa kukurupuka?

Yericko Nyerere anahoji kuwa; inawezekanaje Katika bunge lilelile na spika wa chama kilekile wanazuia hoja binafsi ya Mbunge Joshua Nassari aliyetaka bunge lijadili mgogoro huu na kunusuru hatari inayowakumba watoto wetu hapo UDOM?? Badala yake mbunge huyo ananyanyuliwa mzobemzobe na polisi na kutupwa nje ya lango la bunge.

Vijana hawa wamefukuzwa jana usiku na kupewa notice ya masaa 24 wawe wameondoka ndani ya eneo la chuo, huku magari ya polisi, na polisi wenye silaha, mabomu ya machozi na maji ya kuwasha wakiwa wamezingira maeneo ya chuo hicho tangu usiku.

Wamefukuzwa kama mbwa bila hata kusikilizwa. Wamelazimishwa warudi makwao bila kupewa hata nauli. Watarudije?

Baadhi ya wanafunzi kutokana na kuhofia usalama wao walifungasha mizigo yao na kwenda kujilundika stand ya mabasi Dodoma wakiwasiliana na ndugu zao wawatumie nauli. Polisi wakawavamia leo asubuhi na kuanza kuwapiga wakiwashinikiza waondoke Dodoma haraka. Lakini wataondokaje bila nauli? Kama serikali inajali utu kwanini isiwakodishie mabasi yawarudishe kwao? Mbona Mwalimu Nyerere alipowafukuza kina Samuel Sitta UDSM alitoa mabasi yaliyowapeleka hadi majumbani kwao? Serikali hii ya JPM inashindwa nini?

Mwanafunzi aliyeamua kujisitiri stand ya mabasi akihofia asije kufia chuoni peke yake, hana ndugu Dodoma, hana nauli ya kurudi kwao, anapiga simu kwa ndugu zake wamtumie nauli. Amelala kwa kusimama na kuumwa mbu hadi asubuhi inafika hajapata nauli. Polisi wanamkuta na kuanza kumpiga eti kwanini yuko stand na hataki kusafiri. Huu ni ukatili mkubwa sana dhidi ya binadamu.

Mahali pekee ambapo wanafunzi hawa wanaweza kupata haki yao kwa sasa ni Bungeni tu. Serikali imeshawakana wakati ndio iliyoanzisha hiyo programu. Maafisa wa TCU waliowadahili wameshafukuzwa. Viongozi wa Bodi ya Mikopo waliowapa mikopo nao wamefukuzwa. Tumaini pekee la maisha yao limebaki bungeni.

Halafu Mbunge Nassari analeta hoja ya kujadili suala hili kwa dharura Naibu Spika anakataa, anaagiza Polisi wamtoe nje Nassari. This is very unfair. Wanafunzi hawa wamekua "valnurable" na wako kwenye hatari nyingi ikiwa ni pamoja na kubakwa (kwa wale wa kike) au kufanyiwa vitendo vya kihuni hata kuuawa.

Wanahitaji msaada wa dharura ili waweze kujua hatma yao. Na mahali pekee pa kupata msaada huo ni bungeni, lakini Naibu Spika hataki. Anasema hoja hiyo siyo ya dharura. Huu ni unyama. Ni ukatili. Ni Ukosefu wa utu. Ni ushetani. Yani wadogo zetu wafie Dodoma halafu tuambiwe si dharura? Hivi huyu mama amezaa? Ingekua wanae ndio wapo kwenye mazingira hayo angefanya hivyo?

Kwanini tunawaadhibu watoto hawa kwa makosa ambayo hawajafanya. Kama ni kukosea basi aliyekosea ni JK na serikali yake, kwanini Magufuli awaadhibu hawa watoto wasio na hatia? Nini hatma yao? Wengine wako mwaka wao wa mwisho kumaliza elimu yao ina maana wamepoteza muda bure? Nani atawalipa muda waliopoteza?

Leo ni vijana hao hao kama wangeamua kwenda kidato cha tano wangekuwa wamemaliza form six mwaka jana na sasa wapo first year chuo kikuu na wengine wangekua wanasubiri kujiunga first year mwaka huu. Wapo waliokua na ndoto za kuwa maribani, madaktari, wahandisi lakini walijitolea maisha yao na kuamua kwenda kusomea ualimu kwa ajili ya Tanzania; licha ya kufaulu kwa division one na two. Leo wanafukuzwa kama mbwa.
nimekupata vyema mkuu
 
#Hoja_Ya_Wanafunzi_wa_UDOM
( By Mh. Halima Mdee, MB)

Watu wengi wanaohoji nini kiini cha tatizo la wanafunzi wa UDOM? Wamefanya nini? Kwanini wamefukuzwa? Kwanini iwe usiku wa manane? Nini hatma yao?

#Majibu
Mgogoro huu una historia ndefu kidogo. Miaka michache iliyopita aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete alizindua program maalumu ya kusomesha waalimu wa masomo ya sayansi ktk shule za sekondari nchini. Hii ilikua ni program maalumu ya kukabiliana na changamoto ya uhaba wa waalimu wa sayansi nchini.

Ilionekana kuwa wastani wa waalimu 8,000 wa masomo ya Sayansi wanaweza kusaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la ukosefu wa waalimu wa Sayansi nchini. Lakini hakukua na chuo cha waalimu chenye kuweza kudahili walimu wote hao. Hata wizara ingeamua kuwagawanya kwny vyuo vya ualimu vya diploma wasipata nafasi za kutosha.

Hivyo basi Rais Kikwete kwa kushirikiana na mamlaka ya Elimu (TEA), Tume ya vyuo vikuu(TCU), Mamlaka ya elimu ya ufundi (NACTE) na wadau wengine wakafikia maazimio ya kudahili wanafunzi hao chuo kikuu cha Dodoma baada ya kufanyika assesment na kuonekana nafasi zipo za kutosha wanafunzi wote hao.

Lakini ili kuepuka kupata walimu "wasio na sifa" serikali ikaset standards za udahili, kwamba itakua ni kwa wahitimu wa kidato cha 4 waliopata daraja la kwanza hadi la tatu (division 1 hadi 3) na pia wawe wana ufaulu wa alama "A" au "B" katoka masomo ya sayansi. .

Lakini je unawezaje kumshawishi Mwanafunzi aliyepata Division 1 au 2 aende kusomea Ualimu wa sayansi ngazi ya Diploma? Wengi wana malengo tofauti na wangependa kuendelea na kidato cha 5 na hatimaye chuo kikuu kama "priority number 1".

Kwahiyo serikali ikaona njia rahisi ni kuwapatia mikopo ya 100% wanafunzi hao na kuwaahidi ajira pindi wamalizapo masomo. Kwa hali hii wakafanikiwa kuwashawishi hasa wale watoto wa maskini wasio na uwezo wa kujisomesha "private". Hawa wajajikuta wamekua wahanga wakuu wa mfumo huu.

Wakakubali kujiunga na Program hii maalumu kwa kuwa wana uhakika watapata mkopo na wamehakikishiwa ajira baada kuhitimu. Lakini wale watoto wa vigogo waliofaulu kwa division 1 na 2 hawakua na muda wa kupoteza kwny programu hii. Wakaenda kidato cha 5 na 6 kwenye shule nzuri za binafsi zenye kulipiwa mamilioni.

Watoto wa mama Ntilie waliofaulu vizuri wakadahiliwa UDOM tayari kuianza safari yao ya kuwa waalimu (Diploma in Education - Special Program). Program hii ilizinduliwa na Rais Kikwete kwa pesa zilizoombwa bungeni kisheria. Bunge liliridhia kuwasomesha vijana hao kwa gharama za serikali ili wakafundishe O-level katika shule za serikali ktk kulabiliana na changamoto ya walimu wa Sayansi nchini. Programu hii ilienda vizuri tangu kuanzishwa kwake hadi serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani.

#Kiini_cha_Mgogoro
Serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani kwanza ikasitisha kupeleka fedha kwenye program hii, hali iliyopelekea wahadhiri waliokua wakifundisha kukosa, posho walizokuwa wakipata. Hali hii ilipelekea wahadhiri hawa kukagoma kufundisha. Walidai kwamba mikataba ya ajira zao haihusishi ufundishaji wa course hiyo, kwa hiyo inabidi walipwe posho ya ziada. Serikali ikakataa. Wahadhiri wakagoma na wanafunzi wakaungana nao kugoma.

Punde si punde serikali ikasitisha mikopo kwa wanafunzi hawa kwa madai kuwa wanafunzi wa kidato cha nne hawana sifa ya kwenda chuo kikuu, na hata wakienda kwa "equivalent pass" hawastahili kupewa mkopo kwa mujibu wa sera ya mikopo. Yani hoja ikahama kutoka kugoma hadi kukosa sifa zakusoma.

Mgogoro ukawa mkubwa zaidi pale serikali ilipowafukuza kazi viongozi wakuu wa TCU eti kwa kudahili wanafunzi "wasio na sifa" chuo kikuu. Serikali ikastaajabu eti wanafunzi wa kidato cha 4 wamefikaje chuo kikuu na kupata mkopo asilimia 100%??

Serikali ikaenda Bodi ya Mikopo na kufukuza Watendaji wote walioshiriki kuwapa mikopo vijana hawa. Vyombo vya habari navyo vikaandika kishabiki bila hata kufanya utafiti eti "Wanafunzi vihiyo chuo kikuu waanza kukiona", wengine wakaandika "Waliowapa mkopo wanafunzi vihiyo wafukuzwa". Yani kila mwandishi akaandika lake kuonesha kufurahishwa na uamuzi huo wa serikali.

Lakini ni waandishi hawahawa walioandika miaka miwili iliyopita kuwa "Waliofaulu vizuri sekondari kupewa mkopo 100% kusomea ualimu wa sayansi". Leo vijana walewale waliotajwa kufaulu vizuri na serikali ya JK ikapongezwa kuwaanzishia program maalumu, ndio wanaitwa "vihiyo" na waandishi walewale waliowasifia.

Hivi mtu aliyepata division 1 au 2 na akafaulu masomo ya Sayansi kwa alama A au B miaka miwili iliyopita leo anakuaje "kihiyo??". Wanafunzi hawa waliofaulu vizuri masomo yao ya O-level wakaitwa "magenius" na kuombwa wakasomee ualimu leo wanaitwa "vihiyo" na serikali ileile.

Leo serikali ya chama kilekile iliyokuja na mpango huu, kupitia wizara ileile inawafukuza viongozi wa TCU waliowadahili wanafunzi hawa. This is typical unfair.

Mbaya zaidi hawakuishia hapo; wakakwenda chuoni na kusitisha mishahara ya wahadhiri. Hawakuishia hapo wakazuia mikopo ya wanafunzi hawa kutoka familia duni. Hawakuishia hapo, hatimaye jana usiku wakawafukuza wanafunzi hawa wasio na hatia.

Hakika nimeshindwa kuelewa kabisa jambo hili. Yani serikali ya JPM inataka dunia iamini kuwa serikali iliyopita ni nyingine kabisa na haina mazuri iliyoyafanya na ilikua inaongozwa wajinga?? Ina maana mtangulizi wake hakumueleza juu ya programu hii maalumu ya kuongeza idadi ya walimu wa sayansi nchini? Kama alielezwa mbona anafanya maamuzi kwa kukurupuka?

Yericko Nyerere anahoji kuwa; inawezekanaje Katika bunge lilelile na spika wa chama kilekile wanazuia hoja binafsi ya Mbunge Joshua Nassari aliyetaka bunge lijadili mgogoro huu na kunusuru hatari inayowakumba watoto wetu hapo UDOM?? Badala yake mbunge huyo ananyanyuliwa mzobemzobe na polisi na kutupwa nje ya lango la bunge.

Vijana hawa wamefukuzwa jana usiku na kupewa notice ya masaa 24 wawe wameondoka ndani ya eneo la chuo, huku magari ya polisi, na polisi wenye silaha, mabomu ya machozi na maji ya kuwasha wakiwa wamezingira maeneo ya chuo hicho tangu usiku.

Wamefukuzwa kama mbwa bila hata kusikilizwa. Wamelazimishwa warudi makwao bila kupewa hata nauli. Watarudije?

Baadhi ya wanafunzi kutokana na kuhofia usalama wao walifungasha mizigo yao na kwenda kujilundika stand ya mabasi Dodoma wakiwasiliana na ndugu zao wawatumie nauli. Polisi wakawavamia leo asubuhi na kuanza kuwapiga wakiwashinikiza waondoke Dodoma haraka. Lakini wataondokaje bila nauli? Kama serikali inajali utu kwanini isiwakodishie mabasi yawarudishe kwao? Mbona Mwalimu Nyerere alipowafukuza kina Samuel Sitta UDSM alitoa mabasi yaliyowapeleka hadi majumbani kwao? Serikali hii ya JPM inashindwa nini?

Mwanafunzi aliyeamua kujisitiri stand ya mabasi akihofia asije kufia chuoni peke yake, hana ndugu Dodoma, hana nauli ya kurudi kwao, anapiga simu kwa ndugu zake wamtumie nauli. Amelala kwa kusimama na kuumwa mbu hadi asubuhi inafika hajapata nauli. Polisi wanamkuta na kuanza kumpiga eti kwanini yuko stand na hataki kusafiri. Huu ni ukatili mkubwa sana dhidi ya binadamu.

Mahali pekee ambapo wanafunzi hawa wanaweza kupata haki yao kwa sasa ni Bungeni tu. Serikali imeshawakana wakati ndio iliyoanzisha hiyo programu. Maafisa wa TCU waliowadahili wameshafukuzwa. Viongozi wa Bodi ya Mikopo waliowapa mikopo nao wamefukuzwa. Tumaini pekee la maisha yao limebaki bungeni.

Halafu Mbunge Nassari analeta hoja ya kujadili suala hili kwa dharura Naibu Spika anakataa, anaagiza Polisi wamtoe nje Nassari. This is very unfair. Wanafunzi hawa wamekua "valnurable" na wako kwenye hatari nyingi ikiwa ni pamoja na kubakwa (kwa wale wa kike) au kufanyiwa vitendo vya kihuni hata kuuawa.

Wanahitaji msaada wa dharura ili waweze kujua hatma yao. Na mahali pekee pa kupata msaada huo ni bungeni, lakini Naibu Spika hataki. Anasema hoja hiyo siyo ya dharura. Huu ni unyama. Ni ukatili. Ni Ukosefu wa utu. Ni ushetani. Yani wadogo zetu wafie Dodoma halafu tuambiwe si dharura? Hivi huyu mama amezaa? Ingekua wanae ndio wapo kwenye mazingira hayo angefanya hivyo?

Kwanini tunawaadhibu watoto hawa kwa makosa ambayo hawajafanya. Kama ni kukosea basi aliyekosea ni JK na serikali yake, kwanini Magufuli awaadhibu hawa watoto wasio na hatia? Nini hatma yao? Wengine wako mwaka wao wa mwisho kumaliza elimu yao ina maana wamepoteza muda bure? Nani atawalipa muda waliopoteza?

Leo ni vijana hao hao kama wangeamua kwenda kidato cha tano wangekuwa wamemaliza form six mwaka jana na sasa wapo first year chuo kikuu na wengine wangekua wanasubiri kujiunga first year mwaka huu. Wapo waliokua na ndoto za kuwa maribani, madaktari, wahandisi lakini walijitolea maisha yao na kuamua kwenda kusomea ualimuserikali kwa ajili ya Tanzania; licha ya kufaulu kwa division one na two. Leo wanafukuzwa kama mbwa.
Hii serikali ya JPM ni majanga matupu, yani ubabe mtupu
 
#Hoja_Ya_Wanafunzi_wa_UDOM
( By Mh. Halima Mdee, MB)

Watu wengi wanaohoji nini kiini cha tatizo la wanafunzi wa UDOM? Wamefanya nini? Kwanini wamefukuzwa? Kwanini iwe usiku wa manane? Nini hatma yao?

#Majibu
Mgogoro huu una historia ndefu kidogo. Miaka michache iliyopita aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete alizindua program maalumu ya kusomesha waalimu wa masomo ya sayansi ktk shule za sekondari nchini. Hii ilikua ni program maalumu ya kukabiliana na changamoto ya uhaba wa waalimu wa sayansi nchini.

Ilionekana kuwa wastani wa waalimu 8,000 wa masomo ya Sayansi wanaweza kusaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la ukosefu wa waalimu wa Sayansi nchini. Lakini hakukua na chuo cha waalimu chenye kuweza kudahili walimu wote hao. Hata wizara ingeamua kuwagawanya kwny vyuo vya ualimu vya diploma wasipata nafasi za kutosha.

Hivyo basi Rais Kikwete kwa kushirikiana na mamlaka ya Elimu (TEA), Tume ya vyuo vikuu(TCU), Mamlaka ya elimu ya ufundi (NACTE) na wadau wengine wakafikia maazimio ya kudahili wanafunzi hao chuo kikuu cha Dodoma baada ya kufanyika assesment na kuonekana nafasi zipo za kutosha wanafunzi wote hao.

Lakini ili kuepuka kupata walimu "wasio na sifa" serikali ikaset standards za udahili, kwamba itakua ni kwa wahitimu wa kidato cha 4 waliopata daraja la kwanza hadi la tatu (division 1 hadi 3) na pia wawe wana ufaulu wa alama "A" au "B" katoka masomo ya sayansi. .

Lakini je unawezaje kumshawishi Mwanafunzi aliyepata Division 1 au 2 aende kusomea Ualimu wa sayansi ngazi ya Diploma? Wengi wana malengo tofauti na wangependa kuendelea na kidato cha 5 na hatimaye chuo kikuu kama "priority number 1".

Kwahiyo serikali ikaona njia rahisi ni kuwapatia mikopo ya 100% wanafunzi hao na kuwaahidi ajira pindi wamalizapo masomo. Kwa hali hii wakafanikiwa kuwashawishi hasa wale watoto wa maskini wasio na uwezo wa kujisomesha "private". Hawa wajajikuta wamekua wahanga wakuu wa mfumo huu.

Wakakubali kujiunga na Program hii maalumu kwa kuwa wana uhakika watapata mkopo na wamehakikishiwa ajira baada kuhitimu. Lakini wale watoto wa vigogo waliofaulu kwa division 1 na 2 hawakua na muda wa kupoteza kwny programu hii. Wakaenda kidato cha 5 na 6 kwenye shule nzuri za binafsi zenye kulipiwa mamilioni.

Watoto wa mama Ntilie waliofaulu vizuri wakadahiliwa UDOM tayari kuianza safari yao ya kuwa waalimu (Diploma in Education - Special Program). Program hii ilizinduliwa na Rais Kikwete kwa pesa zilizoombwa bungeni kisheria. Bunge liliridhia kuwasomesha vijana hao kwa gharama za serikali ili wakafundishe O-level katika shule za serikali ktk kulabiliana na changamoto ya walimu wa Sayansi nchini. Programu hii ilienda vizuri tangu kuanzishwa kwake hadi serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani.

#Kiini_cha_Mgogoro
Serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani kwanza ikasitisha kupeleka fedha kwenye program hii, hali iliyopelekea wahadhiri waliokua wakifundisha kukosa, posho walizokuwa wakipata. Hali hii ilipelekea wahadhiri hawa kukagoma kufundisha. Walidai kwamba mikataba ya ajira zao haihusishi ufundishaji wa course hiyo, kwa hiyo inabidi walipwe posho ya ziada. Serikali ikakataa. Wahadhiri wakagoma na wanafunzi wakaungana nao kugoma.

Punde si punde serikali ikasitisha mikopo kwa wanafunzi hawa kwa madai kuwa wanafunzi wa kidato cha nne hawana sifa ya kwenda chuo kikuu, na hata wakienda kwa "equivalent pass" hawastahili kupewa mkopo kwa mujibu wa sera ya mikopo. Yani hoja ikahama kutoka kugoma hadi kukosa sifa zakusoma.

Mgogoro ukawa mkubwa zaidi pale serikali ilipowafukuza kazi viongozi wakuu wa TCU eti kwa kudahili wanafunzi "wasio na sifa" chuo kikuu. Serikali ikastaajabu eti wanafunzi wa kidato cha 4 wamefikaje chuo kikuu na kupata mkopo asilimia 100%??

Serikali ikaenda Bodi ya Mikopo na kufukuza Watendaji wote walioshiriki kuwapa mikopo vijana hawa. Vyombo vya habari navyo vikaandika kishabiki bila hata kufanya utafiti eti "Wanafunzi vihiyo chuo kikuu waanza kukiona", wengine wakaandika "Waliowapa mkopo wanafunzi vihiyo wafukuzwa". Yani kila mwandishi akaandika lake kuonesha kufurahishwa na uamuzi huo wa serikali.

Lakini ni waandishi hawahawa walioandika miaka miwili iliyopita kuwa "Waliofaulu vizuri sekondari kupewa mkopo 100% kusomea ualimu wa sayansi". Leo vijana walewale waliotajwa kufaulu vizuri na serikali ya JK ikapongezwa kuwaanzishia program maalumu, ndio wanaitwa "vihiyo" na waandishi walewale waliowasifia.

Hivi mtu aliyepata division 1 au 2 na akafaulu masomo ya Sayansi kwa alama A au B miaka miwili iliyopita leo anakuaje "kihiyo??". Wanafunzi hawa waliofaulu vizuri masomo yao ya O-level wakaitwa "magenius" na kuombwa wakasomee ualimu leo wanaitwa "vihiyo" na serikali ileile.

Leo serikali ya chama kilekile iliyokuja na mpango huu, kupitia wizara ileile inawafukuza viongozi wa TCU waliowadahili wanafunzi hawa. This is typical unfair.

Mbaya zaidi hawakuishia hapo; wakakwenda chuoni na kusitisha mishahara ya wahadhiri. Hawakuishia hapo wakazuia mikopo ya wanafunzi hawa kutoka familia duni. Hawakuishia hapo, hatimaye jana usiku wakawafukuza wanafunzi hawa wasio na hatia.

Hakika nimeshindwa kuelewa kabisa jambo hili. Yani serikali ya JPM inataka dunia iamini kuwa serikali iliyopita ni nyingine kabisa na haina mazuri iliyoyafanya na ilikua inaongozwa wajinga?? Ina maana mtangulizi wake hakumueleza juu ya programu hii maalumu ya kuongeza idadi ya walimu wa sayansi nchini? Kama alielezwa mbona anafanya maamuzi kwa kukurupuka?

Yericko Nyerere anahoji kuwa; inawezekanaje Katika bunge lilelile na spika wa chama kilekile wanazuia hoja binafsi ya Mbunge Joshua Nassari aliyetaka bunge lijadili mgogoro huu na kunusuru hatari inayowakumba watoto wetu hapo UDOM?? Badala yake mbunge huyo ananyanyuliwa mzobemzobe na polisi na kutupwa nje ya lango la bunge.

Vijana hawa wamefukuzwa jana usiku na kupewa notice ya masaa 24 wawe wameondoka ndani ya eneo la chuo, huku magari ya polisi, na polisi wenye silaha, mabomu ya machozi na maji ya kuwasha wakiwa wamezingira maeneo ya chuo hicho tangu usiku.

Wamefukuzwa kama mbwa bila hata kusikilizwa. Wamelazimishwa warudi makwao bila kupewa hata nauli. Watarudije?

Baadhi ya wanafunzi kutokana na kuhofia usalama wao walifungasha mizigo yao na kwenda kujilundika stand ya mabasi Dodoma wakiwasiliana na ndugu zao wawatumie nauli. Polisi wakawavamia leo asubuhi na kuanza kuwapiga wakiwashinikiza waondoke Dodoma haraka. Lakini wataondokaje bila nauli? Kama serikali inajali utu kwanini isiwakodishie mabasi yawarudishe kwao? Mbona Mwalimu Nyerere alipowafukuza kina Samuel Sitta UDSM alitoa mabasi yaliyowapeleka hadi majumbani kwao? Serikali hii ya JPM inashindwa nini?

Mwanafunzi aliyeamua kujisitiri stand ya mabasi akihofia asije kufia chuoni peke yake, hana ndugu Dodoma, hana nauli ya kurudi kwao, anapiga simu kwa ndugu zake wamtumie nauli. Amelala kwa kusimama na kuumwa mbu hadi asubuhi inafika hajapata nauli. Polisi wanamkuta na kuanza kumpiga eti kwanini yuko stand na hataki kusafiri. Huu ni ukatili mkubwa sana dhidi ya binadamu.

Mahali pekee ambapo wanafunzi hawa wanaweza kupata haki yao kwa sasa ni Bungeni tu. Serikali imeshawakana wakati ndio iliyoanzisha hiyo programu. Maafisa wa TCU waliowadahili wameshafukuzwa. Viongozi wa Bodi ya Mikopo waliowapa mikopo nao wamefukuzwa. Tumaini pekee la maisha yao limebaki bungeni.

Halafu Mbunge Nassari analeta hoja ya kujadili suala hili kwa dharura Naibu Spika anakataa, anaagiza Polisi wamtoe nje Nassari. This is very unfair. Wanafunzi hawa wamekua "valnurable" na wako kwenye hatari nyingi ikiwa ni pamoja na kubakwa (kwa wale wa kike) au kufanyiwa vitendo vya kihuni hata kuuawa.

Wanahitaji msaada wa dharura ili waweze kujua hatma yao. Na mahali pekee pa kupata msaada huo ni bungeni, lakini Naibu Spika hataki. Anasema hoja hiyo siyo ya dharura. Huu ni unyama. Ni ukatili. Ni Ukosefu wa utu. Ni ushetani. Yani wadogo zetu wafie Dodoma halafu tuambiwe si dharura? Hivi huyu mama amezaa? Ingekua wanae ndio wapo kwenye mazingira hayo angefanya hivyo?

Kwanini tunawaadhibu watoto hawa kwa makosa ambayo hawajafanya. Kama ni kukosea basi aliyekosea ni JK na serikali yake, kwanini Magufuli awaadhibu hawa watoto wasio na hatia? Nini hatma yao? Wengine wako mwaka wao wa mwisho kumaliza elimu yao ina maana wamepoteza muda bure? Nani atawalipa muda waliopoteza?

Leo ni vijana hao hao kama wangeamua kwenda kidato cha tano wangekuwa wamemaliza form six mwaka jana na sasa wapo first year chuo kikuu na wengine wangekua wanasubiri kujiunga first year mwaka huu. Wapo waliokua na ndoto za kuwa maribani, madaktari, wahandisi lakini walijitolea maisha yao na kuamua kwenda kusomea ualimu kwa ajili ya Tanzania; licha ya kufaulu kwa division one na two. Leo wanafukuzwa kama mbwa.
#Hoja_Ya_Wanafunzi_wa_UDOM
( By Mh. Halima Mdee, MB)

Watu wengi wanaohoji nini kiini cha tatizo la wanafunzi wa UDOM? Wamefanya nini? Kwanini wamefukuzwa? Kwanini iwe usiku wa manane? Nini hatma yao?

#Majibu
Mgogoro huu una historia ndefu kidogo. Miaka michache iliyopita aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete alizindua program maalumu ya kusomesha waalimu wa masomo ya sayansi ktk shule za sekondari nchini. Hii ilikua ni program maalumu ya kukabiliana na changamoto ya uhaba wa waalimu wa sayansi nchini.

Ilionekana kuwa wastani wa waalimu 8,000 wa masomo ya Sayansi wanaweza kusaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la ukosefu wa waalimu wa Sayansi nchini. Lakini hakukua na chuo cha waalimu chenye kuweza kudahili walimu wote hao. Hata wizara ingeamua kuwagawanya kwny vyuo vya ualimu vya diploma wasipata nafasi za kutosha.

Hivyo basi Rais Kikwete kwa kushirikiana na mamlaka ya Elimu (TEA), Tume ya vyuo vikuu(TCU), Mamlaka ya elimu ya ufundi (NACTE) na wadau wengine wakafikia maazimio ya kudahili wanafunzi hao chuo kikuu cha Dodoma baada ya kufanyika assesment na kuonekana nafasi zipo za kutosha wanafunzi wote hao.

Lakini ili kuepuka kupata walimu "wasio na sifa" serikali ikaset standards za udahili, kwamba itakua ni kwa wahitimu wa kidato cha 4 waliopata daraja la kwanza hadi la tatu (division 1 hadi 3) na pia wawe wana ufaulu wa alama "A" au "B" katoka masomo ya sayansi. .

Lakini je unawezaje kumshawishi Mwanafunzi aliyepata Division 1 au 2 aende kusomea Ualimu wa sayansi ngazi ya Diploma? Wengi wana malengo tofauti na wangependa kuendelea na kidato cha 5 na hatimaye chuo kikuu kama "priority number 1".

Kwahiyo serikali ikaona njia rahisi ni kuwapatia mikopo ya 100% wanafunzi hao na kuwaahidi ajira pindi wamalizapo masomo. Kwa hali hii wakafanikiwa kuwashawishi hasa wale watoto wa maskini wasio na uwezo wa kujisomesha "private". Hawa wajajikuta wamekua wahanga wakuu wa mfumo huu.

Wakakubali kujiunga na Program hii maalumu kwa kuwa wana uhakika watapata mkopo na wamehakikishiwa ajira baada kuhitimu. Lakini wale watoto wa vigogo waliofaulu kwa division 1 na 2 hawakua na muda wa kupoteza kwny programu hii. Wakaenda kidato cha 5 na 6 kwenye shule nzuri za binafsi zenye kulipiwa mamilioni.

Watoto wa mama Ntilie waliofaulu vizuri wakadahiliwa UDOM tayari kuianza safari yao ya kuwa waalimu (Diploma in Education - Special Program). Program hii ilizinduliwa na Rais Kikwete kwa pesa zilizoombwa bungeni kisheria. Bunge liliridhia kuwasomesha vijana hao kwa gharama za serikali ili wakafundishe O-level katika shule za serikali ktk kulabiliana na changamoto ya walimu wa Sayansi nchini. Programu hii ilienda vizuri tangu kuanzishwa kwake hadi serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani.

#Kiini_cha_Mgogoro
Serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani kwanza ikasitisha kupeleka fedha kwenye program hii, hali iliyopelekea wahadhiri waliokua wakifundisha kukosa, posho walizokuwa wakipata. Hali hii ilipelekea wahadhiri hawa kukagoma kufundisha. Walidai kwamba mikataba ya ajira zao haihusishi ufundishaji wa course hiyo, kwa hiyo inabidi walipwe posho ya ziada. Serikali ikakataa. Wahadhiri wakagoma na wanafunzi wakaungana nao kugoma.

Punde si punde serikali ikasitisha mikopo kwa wanafunzi hawa kwa madai kuwa wanafunzi wa kidato cha nne hawana sifa ya kwenda chuo kikuu, na hata wakienda kwa "equivalent pass" hawastahili kupewa mkopo kwa mujibu wa sera ya mikopo. Yani hoja ikahama kutoka kugoma hadi kukosa sifa zakusoma.

Mgogoro ukawa mkubwa zaidi pale serikali ilipowafukuza kazi viongozi wakuu wa TCU eti kwa kudahili wanafunzi "wasio na sifa" chuo kikuu. Serikali ikastaajabu eti wanafunzi wa kidato cha 4 wamefikaje chuo kikuu na kupata mkopo asilimia 100%??

Serikali ikaenda Bodi ya Mikopo na kufukuza Watendaji wote walioshiriki kuwapa mikopo vijana hawa. Vyombo vya habari navyo vikaandika kishabiki bila hata kufanya utafiti eti "Wanafunzi vihiyo chuo kikuu waanza kukiona", wengine wakaandika "Waliowapa mkopo wanafunzi vihiyo wafukuzwa". Yani kila mwandishi akaandika lake kuonesha kufurahishwa na uamuzi huo wa serikali.

Lakini ni waandishi hawahawa walioandika miaka miwili iliyopita kuwa "Waliofaulu vizuri sekondari kupewa mkopo 100% kusomea ualimu wa sayansi". Leo vijana walewale waliotajwa kufaulu vizuri na serikali ya JK ikapongezwa kuwaanzishia program maalumu, ndio wanaitwa "vihiyo" na waandishi walewale waliowasifia.

Hivi mtu aliyepata division 1 au 2 na akafaulu masomo ya Sayansi kwa alama A au B miaka miwili iliyopita leo anakuaje "kihiyo??". Wanafunzi hawa waliofaulu vizuri masomo yao ya O-level wakaitwa "magenius" na kuombwa wakasomee ualimu leo wanaitwa "vihiyo" na serikali ileile.

Leo serikali ya chama kilekile iliyokuja na mpango huu, kupitia wizara ileile inawafukuza viongozi wa TCU waliowadahili wanafunzi hawa. This is typical unfair.

Mbaya zaidi hawakuishia hapo; wakakwenda chuoni na kusitisha mishahara ya wahadhiri. Hawakuishia hapo wakazuia mikopo ya wanafunzi hawa kutoka familia duni. Hawakuishia hapo, hatimaye jana usiku wakawafukuza wanafunzi hawa wasio na hatia.

Hakika nimeshindwa kuelewa kabisa jambo hili. Yani serikali ya JPM inataka dunia iamini kuwa serikali iliyopita ni nyingine kabisa na haina mazuri iliyoyafanya na ilikua inaongozwa wajinga?? Ina maana mtangulizi wake hakumueleza juu ya programu hii maalumu ya kuongeza idadi ya walimu wa sayansi nchini? Kama alielezwa mbona anafanya maamuzi kwa kukurupuka?

Yericko Nyerere anahoji kuwa; inawezekanaje Katika bunge lilelile na spika wa chama kilekile wanazuia hoja binafsi ya Mbunge Joshua Nassari aliyetaka bunge lijadili mgogoro huu na kunusuru hatari inayowakumba watoto wetu hapo UDOM?? Badala yake mbunge huyo ananyanyuliwa mzobemzobe na polisi na kutupwa nje ya lango la bunge.

Vijana hawa wamefukuzwa jana usiku na kupewa notice ya masaa 24 wawe wameondoka ndani ya eneo la chuo, huku magari ya polisi, na polisi wenye silaha, mabomu ya machozi na maji ya kuwasha wakiwa wamezingira maeneo ya chuo hicho tangu usiku.

Wamefukuzwa kama mbwa bila hata kusikilizwa. Wamelazimishwa warudi makwao bila kupewa hata nauli. Watarudije?

Baadhi ya wanafunzi kutokana na kuhofia usalama wao walifungasha mizigo yao na kwenda kujilundika stand ya mabasi Dodoma wakiwasiliana na ndugu zao wawatumie nauli. Polisi wakawavamia leo asubuhi na kuanza kuwapiga wakiwashinikiza waondoke Dodoma haraka. Lakini wataondokaje bila nauli? Kama serikali inajali utu kwanini isiwakodishie mabasi yawarudishe kwao? Mbona Mwalimu Nyerere alipowafukuza kina Samuel Sitta UDSM alitoa mabasi yaliyowapeleka hadi majumbani kwao? Serikali hii ya JPM inashindwa nini?

Mwanafunzi aliyeamua kujisitiri stand ya mabasi akihofia asije kufia chuoni peke yake, hana ndugu Dodoma, hana nauli ya kurudi kwao, anapiga simu kwa ndugu zake wamtumie nauli. Amelala kwa kusimama na kuumwa mbu hadi asubuhi inafika hajapata nauli. Polisi wanamkuta na kuanza kumpiga eti kwanini yuko stand na hataki kusafiri. Huu ni ukatili mkubwa sana dhidi ya binadamu.

Mahali pekee ambapo wanafunzi hawa wanaweza kupata haki yao kwa sasa ni Bungeni tu. Serikali imeshawakana wakati ndio iliyoanzisha hiyo programu. Maafisa wa TCU waliowadahili wameshafukuzwa. Viongozi wa Bodi ya Mikopo waliowapa mikopo nao wamefukuzwa. Tumaini pekee la maisha yao limebaki bungeni.

Halafu Mbunge Nassari analeta hoja ya kujadili suala hili kwa dharura Naibu Spika anakataa, anaagiza Polisi wamtoe nje Nassari. This is very unfair. Wanafunzi hawa wamekua "valnurable" na wako kwenye hatari nyingi ikiwa ni pamoja na kubakwa (kwa wale wa kike) au kufanyiwa vitendo vya kihuni hata kuuawa.

Wanahitaji msaada wa dharura ili waweze kujua hatma yao. Na mahali pekee pa kupata msaada huo ni bungeni, lakini Naibu Spika hataki. Anasema hoja hiyo siyo ya dharura. Huu ni unyama. Ni ukatili. Ni Ukosefu wa utu. Ni ushetani. Yani wadogo zetu wafie Dodoma halafu tuambiwe si dharura? Hivi huyu mama amezaa? Ingekua wanae ndio wapo kwenye mazingira hayo angefanya hivyo?

Kwanini tunawaadhibu watoto hawa kwa makosa ambayo hawajafanya. Kama ni kukosea basi aliyekosea ni JK na serikali yake, kwanini Magufuli awaadhibu hawa watoto wasio na hatia? Nini hatma yao? Wengine wako mwaka wao wa mwisho kumaliza elimu yao ina maana wamepoteza muda bure? Nani atawalipa muda waliopoteza?

Leo ni vijana hao hao kama wangeamua kwenda kidato cha tano wangekuwa wamemaliza form six mwaka jana na sasa wapo first year chuo kikuu na wengine wangekua wanasubiri kujiunga first year mwaka huu. Wapo waliokua na ndoto za kuwa maribani, madaktari, wahandisi lakini walijitolea maisha yao na kuamua kwenda kusomea ualimu kwa ajili ya Tanzania; licha ya kufaulu kwa division one na two. Leo wanafukuzwa kama mbwa.
Aisee inauma sana huu ni udhalimu hata kama ni wa olevel the government itself iliwadahili it hurts huu ni mwelekeo mbaya coz ni uimla udikteta kabisa
 
Asante kwa taarifa nzuri na ya kuhuzunisha kama ni kweli unayoyasema,lakini kabla sijachangia chochote ngoja niendelee kusubiria sources nyingine kuhusiana na hili sakata nisije nikakurupuka,kwasababu serikali kufanya jambo kama hili lazima itakuwa imeliangalia kwa mapana na marefu.
 
Ubaya sasa hivi kila mtu anataka sifa na kuonekana bila kujali nani anaumia! Tulitegemea serikal itakayojali na kuthamini wananchi wake bila kuwaonea! Vitu mmevianzisha wenyewe leo hii mnawatesa wenyewe wale mliowachagua wenyewe! Haya yote maisha mungu atawalipia! Ukiwasikiliza wanajifanya wana huruma kwel kumbe makatili!
 
#Hoja_Ya_Wanafunzi_wa_UDOM
( By Mh. Halima Mdee, MB)

Watu wengi wanaohoji nini kiini cha tatizo la wanafunzi wa UDOM? Wamefanya nini? Kwanini wamefukuzwa? Kwanini iwe usiku wa manane? Nini hatma yao?

#Majibu
Mgogoro huu una historia ndefu kidogo. Miaka michache iliyopita aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete alizindua program maalumu ya kusomesha waalimu wa masomo ya sayansi ktk shule za sekondari nchini. Hii ilikua ni program maalumu ya kukabiliana na changamoto ya uhaba wa waalimu wa sayansi nchini.

Ilionekana kuwa wastani wa waalimu 8,000 wa masomo ya Sayansi wanaweza kusaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la ukosefu wa waalimu wa Sayansi nchini. Lakini hakukua na chuo cha waalimu chenye kuweza kudahili walimu wote hao. Hata wizara ingeamua kuwagawanya kwny vyuo vya ualimu vya diploma wasipata nafasi za kutosha.

Hivyo basi Rais Kikwete kwa kushirikiana na mamlaka ya Elimu (TEA), Tume ya vyuo vikuu(TCU), Mamlaka ya elimu ya ufundi (NACTE) na wadau wengine wakafikia maazimio ya kudahili wanafunzi hao chuo kikuu cha Dodoma baada ya kufanyika assesment na kuonekana nafasi zipo za kutosha wanafunzi wote hao.

Lakini ili kuepuka kupata walimu "wasio na sifa" serikali ikaset standards za udahili, kwamba itakua ni kwa wahitimu wa kidato cha 4 waliopata daraja la kwanza hadi la tatu (division 1 hadi 3) na pia wawe wana ufaulu wa alama "A" au "B" katoka masomo ya sayansi. .

Lakini je unawezaje kumshawishi Mwanafunzi aliyepata Division 1 au 2 aende kusomea Ualimu wa sayansi ngazi ya Diploma? Wengi wana malengo tofauti na wangependa kuendelea na kidato cha 5 na hatimaye chuo kikuu kama "priority number 1".

Kwahiyo serikali ikaona njia rahisi ni kuwapatia mikopo ya 100% wanafunzi hao na kuwaahidi ajira pindi wamalizapo masomo. Kwa hali hii wakafanikiwa kuwashawishi hasa wale watoto wa maskini wasio na uwezo wa kujisomesha "private". Hawa wajajikuta wamekua wahanga wakuu wa mfumo huu.

Wakakubali kujiunga na Program hii maalumu kwa kuwa wana uhakika watapata mkopo na wamehakikishiwa ajira baada kuhitimu. Lakini wale watoto wa vigogo waliofaulu kwa division 1 na 2 hawakua na muda wa kupoteza kwny programu hii. Wakaenda kidato cha 5 na 6 kwenye shule nzuri za binafsi zenye kulipiwa mamilioni.

Watoto wa mama Ntilie waliofaulu vizuri wakadahiliwa UDOM tayari kuianza safari yao ya kuwa waalimu (Diploma in Education - Special Program). Program hii ilizinduliwa na Rais Kikwete kwa pesa zilizoombwa bungeni kisheria. Bunge liliridhia kuwasomesha vijana hao kwa gharama za serikali ili wakafundishe O-level katika shule za serikali ktk kulabiliana na changamoto ya walimu wa Sayansi nchini. Programu hii ilienda vizuri tangu kuanzishwa kwake hadi serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani.

#Kiini_cha_Mgogoro
Serikali ya Magufuli ilipoingia madarakani kwanza ikasitisha kupeleka fedha kwenye program hii, hali iliyopelekea wahadhiri waliokua wakifundisha kukosa, posho walizokuwa wakipata. Hali hii ilipelekea wahadhiri hawa kukagoma kufundisha. Walidai kwamba mikataba ya ajira zao haihusishi ufundishaji wa course hiyo, kwa hiyo inabidi walipwe posho ya ziada. Serikali ikakataa. Wahadhiri wakagoma na wanafunzi wakaungana nao kugoma.

Punde si punde serikali ikasitisha mikopo kwa wanafunzi hawa kwa madai kuwa wanafunzi wa kidato cha nne hawana sifa ya kwenda chuo kikuu, na hata wakienda kwa "equivalent pass" hawastahili kupewa mkopo kwa mujibu wa sera ya mikopo. Yani hoja ikahama kutoka kugoma hadi kukosa sifa zakusoma.

Mgogoro ukawa mkubwa zaidi pale serikali ilipowafukuza kazi viongozi wakuu wa TCU eti kwa kudahili wanafunzi "wasio na sifa" chuo kikuu. Serikali ikastaajabu eti wanafunzi wa kidato cha 4 wamefikaje chuo kikuu na kupata mkopo asilimia 100%??

Serikali ikaenda Bodi ya Mikopo na kufukuza Watendaji wote walioshiriki kuwapa mikopo vijana hawa. Vyombo vya habari navyo vikaandika kishabiki bila hata kufanya utafiti eti "Wanafunzi vihiyo chuo kikuu waanza kukiona", wengine wakaandika "Waliowapa mkopo wanafunzi vihiyo wafukuzwa". Yani kila mwandishi akaandika lake kuonesha kufurahishwa na uamuzi huo wa serikali.

Lakini ni waandishi hawahawa walioandika miaka miwili iliyopita kuwa "Waliofaulu vizuri sekondari kupewa mkopo 100% kusomea ualimu wa sayansi". Leo vijana walewale waliotajwa kufaulu vizuri na serikali ya JK ikapongezwa kuwaanzishia program maalumu, ndio wanaitwa "vihiyo" na waandishi walewale waliowasifia.

Hivi mtu aliyepata division 1 au 2 na akafaulu masomo ya Sayansi kwa alama A au B miaka miwili iliyopita leo anakuaje "kihiyo??". Wanafunzi hawa waliofaulu vizuri masomo yao ya O-level wakaitwa "magenius" na kuombwa wakasomee ualimu leo wanaitwa "vihiyo" na serikali ileile.

Leo serikali ya chama kilekile iliyokuja na mpango huu, kupitia wizara ileile inawafukuza viongozi wa TCU waliowadahili wanafunzi hawa. This is typical unfair.

Mbaya zaidi hawakuishia hapo; wakakwenda chuoni na kusitisha mishahara ya wahadhiri. Hawakuishia hapo wakazuia mikopo ya wanafunzi hawa kutoka familia duni. Hawakuishia hapo, hatimaye jana usiku wakawafukuza wanafunzi hawa wasio na hatia.

Hakika nimeshindwa kuelewa kabisa jambo hili. Yani serikali ya JPM inataka dunia iamini kuwa serikali iliyopita ni nyingine kabisa na haina mazuri iliyoyafanya na ilikua inaongozwa wajinga?? Ina maana mtangulizi wake hakumueleza juu ya programu hii maalumu ya kuongeza idadi ya walimu wa sayansi nchini? Kama alielezwa mbona anafanya maamuzi kwa kukurupuka?

Yericko Nyerere anahoji kuwa; inawezekanaje Katika bunge lilelile na spika wa chama kilekile wanazuia hoja binafsi ya Mbunge Joshua Nassari aliyetaka bunge lijadili mgogoro huu na kunusuru hatari inayowakumba watoto wetu hapo UDOM?? Badala yake mbunge huyo ananyanyuliwa mzobemzobe na polisi na kutupwa nje ya lango la bunge.

Vijana hawa wamefukuzwa jana usiku na kupewa notice ya masaa 24 wawe wameondoka ndani ya eneo la chuo, huku magari ya polisi, na polisi wenye silaha, mabomu ya machozi na maji ya kuwasha wakiwa wamezingira maeneo ya chuo hicho tangu usiku.

Wamefukuzwa kama mbwa bila hata kusikilizwa. Wamelazimishwa warudi makwao bila kupewa hata nauli. Watarudije?

Baadhi ya wanafunzi kutokana na kuhofia usalama wao walifungasha mizigo yao na kwenda kujilundika stand ya mabasi Dodoma wakiwasiliana na ndugu zao wawatumie nauli. Polisi wakawavamia leo asubuhi na kuanza kuwapiga wakiwashinikiza waondoke Dodoma haraka. Lakini wataondokaje bila nauli? Kama serikali inajali utu kwanini isiwakodishie mabasi yawarudishe kwao? Mbona Mwalimu Nyerere alipowafukuza kina Samuel Sitta UDSM alitoa mabasi yaliyowapeleka hadi majumbani kwao? Serikali hii ya JPM inashindwa nini?

Mwanafunzi aliyeamua kujisitiri stand ya mabasi akihofia asije kufia chuoni peke yake, hana ndugu Dodoma, hana nauli ya kurudi kwao, anapiga simu kwa ndugu zake wamtumie nauli. Amelala kwa kusimama na kuumwa mbu hadi asubuhi inafika hajapata nauli. Polisi wanamkuta na kuanza kumpiga eti kwanini yuko stand na hataki kusafiri. Huu ni ukatili mkubwa sana dhidi ya binadamu.

Mahali pekee ambapo wanafunzi hawa wanaweza kupata haki yao kwa sasa ni Bungeni tu. Serikali imeshawakana wakati ndio iliyoanzisha hiyo programu. Maafisa wa TCU waliowadahili wameshafukuzwa. Viongozi wa Bodi ya Mikopo waliowapa mikopo nao wamefukuzwa. Tumaini pekee la maisha yao limebaki bungeni.

Halafu Mbunge Nassari analeta hoja ya kujadili suala hili kwa dharura Naibu Spika anakataa, anaagiza Polisi wamtoe nje Nassari. This is very unfair. Wanafunzi hawa wamekua "valnurable" na wako kwenye hatari nyingi ikiwa ni pamoja na kubakwa (kwa wale wa kike) au kufanyiwa vitendo vya kihuni hata kuuawa.

Wanahitaji msaada wa dharura ili waweze kujua hatma yao. Na mahali pekee pa kupata msaada huo ni bungeni, lakini Naibu Spika hataki. Anasema hoja hiyo siyo ya dharura. Huu ni unyama. Ni ukatili. Ni Ukosefu wa utu. Ni ushetani. Yani wadogo zetu wafie Dodoma halafu tuambiwe si dharura? Hivi huyu mama amezaa? Ingekua wanae ndio wapo kwenye mazingira hayo angefanya hivyo?

Kwanini tunawaadhibu watoto hawa kwa makosa ambayo hawajafanya. Kama ni kukosea basi aliyekosea ni JK na serikali yake, kwanini Magufuli awaadhibu hawa watoto wasio na hatia? Nini hatma yao? Wengine wako mwaka wao wa mwisho kumaliza elimu yao ina maana wamepoteza muda bure? Nani atawalipa muda waliopoteza?

Leo ni vijana hao hao kama wangeamua kwenda kidato cha tano wangekuwa wamemaliza form six mwaka jana na sasa wapo first year chuo kikuu na wengine wangekua wanasubiri kujiunga first year mwaka huu. Wapo waliokua na ndoto za kuwa maribani, madaktari, wahandisi lakini walijitolea maisha yao na kuamua kwenda kusomea ualimu kwa ajili ya Tanzania; licha ya kufaulu kwa division one na two. Leo wanafukuzwa kama mbwa.
Inasikitisha ila ndo ishakua hivyo. Hakuna namna nyingine zaidi ya hicho wanachokipata. Maana waliambiwa mabadiliko ni ya lazima, lakini wakashabikia nyimbo za wasanii na pushup jukwaani. Wavumilie miaka mitano tu sio mingi. Naamini watafanya maamuzi sahihi wakiwa na uchungu wa dhati
 
Waziri wa Elimu, pr, Ndelichakop na Magufuli mna nini? plus yule naibu spika? mbona mimi sielewi jaman, ASante jembe langu Mdee for the good source of information i normally trust what you normally say! hawa watu wa kukurupuka ni janga la taifa i can tell! zama za mwisho za ccm yataibuka mengi!
 
tatizo pale wanapoweka itikadi za chama kwa mambo ya maendeleo, kwanini kwenye kudai kodi pasiwekwe itikadi kwenye kutumia kodi itikadi zinakuja!!?? chama ni wakati wa uchaguzi, maendeleo na maslahi ya taifa ni wakati wote..hili la wanafunzi litatumbuka..
 
Ukweli ni kwamba hawa vijana wengi hawana ndoto wala moyo wa kuwa walimu program ingekuja kufeli huko mbeleni kama ile program ya walimu wa mwaka mmoja kipindi kile maarufu ilikua Voda fasta. Wengi wao wangekuja kukimbia fani maana wanaofaulu vizuri sayansi wanakua na ndoto za kuwa madaktari, mainjinia na fani zingine zenye muelekeo wa pesa. Kimsingi serikali iboreshe maslahi ya walimu. Mwalimu alipwe vizuri na maslahi yao mengine yaboroshwe wataona matunda kuliko kuwalazimisha watu kusoma fani wasizozitaka.
Ingawa kusitisha program pia sio busara ni bora wangeachwa wamalize bila kudahili wanafunzi wapya. Haya ndio matokeo ya kutokua na mfumo maana kila anaeingia ikulu anaingia na mamlaka yake kamili. Anageuza na kupindua vile anavyotaka tutabaki kulia kama panya nani atamfunga paka kengele.
Hapo kwenye red nimekusoma vizuri mkuu.
Kama kweli Serikali, NACTE, TCU, TEA walikaa wakapitisha maamuzi na rais akayabariki (nafikiri baada ya kushauriwa na washauri wake) ni wazi hatuna watu wa kufikiri, kufanya tafiti na forecasts. Hayo mambo yalipaswa kuwa calculated mapema sana na serikali yenyewe kabla ya kuwaita watoto wa binadamu (hata kama ni masikini) kwa heshima na ahadi ya 100% ya mkopo then unawapa masaa 24% watoweke machoni pako bila hata heshima ya kuwaaga.
 
Back
Top Bottom