Wanacheza upatu daily 100k..Litakuwa jambo jema. Maana wamejazana barabarani kwa ajili ya kula rushwa tu.
Inasemekana hilo ni miongoni mwa yaliyowaharibiaWanacheza upatu daily 100k..
Sure Nina demu anacheza huo upatu.. Na pesa balaaInasemekana hilo ni miongoni mwa yaliyowaharibia
Kweli policeccm ni mali ya ccm,tumewasikia wakitii amri ya igp kinanaHii ndio Taarifa mpya iliyotufikia hivi punde , Kwamba baada ya Mzee Kinana kupendekeza polisi wa Trafiki kupunguzwa barabarani , kwa vile ni wengi mno kiasi cha kuwa kero (rushwa), Mchakato wa upunguzaji ushaanza .
Hii ni baada ya Msemaji wa Jeshi la Polisi kukiri kupokea ushauri wa Mzee Kinana na kwamba ushauri huo unafanyiwa kazi .
Hakuna atakayefutwa kazi bali wengi watapangiwa Ulinzi wa Mabenki , fukwe , madaraja na masoko , ni masuala ya kubadilishiwa maeneo ya kazi tu .
Wastaafu waache kiherehere - Ally HapiWawatoe wote tu.
Labda walidaka mzigo wa meno wa Mzee.[emoji16].
Swali hili liende kwanza kwa Kinana halafu kwa IGPHivi kwani ratio za uraia kwa trafiki zipo?
Au ratio ratio za trafiki kwa polisi zenyewe zipoje?
Au ratio trafiki na magari zipoje?
Maana bila kujua hizi standard ratio ni vigumu kusema waongezwe au wapunguzwe
Binafsi najua hata ratio za ujenzi pia ndio maana tumasema mchanga umezidi su siment imepungua
Tungeanzia hapo kazi ilikuwa rahisi sana
Kwa hiyo nawewe Ni walewale mnaonyanyasa raia siyo?Subirini mtaona impacts... Tukutane hapahapa!!
[emoji38][emoji38][emoji38]Polisi wenyewe ndo wengi kuliko wahalifu. Tukifikishwa vituoni wanatugombania kama mzoga
Hakuna atakayefutwa kazi bali wengi watapangiwa Ulinzi wa Mabenki , fukwe , madaraja na masoko , ni masuala ya kubadilishiwa maeneo ya kazi tu .Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia hivi punde , Kwamba baada ya Mzee Kinana kupendekeza polisi wa Trafiki kupunguzwa barabarani , kwa vile ni wengi mno kiasi cha kuwa kero (rushwa), Mchakato wa upunguzaji ushaanza .
Hii ni baada ya Msemaji wa Jeshi la Polisi kukiri kupokea ushauri wa Mzee Kinana na kwamba ushauri huo unafanyiwa kazi .
Hakuna atakayefutwa kazi bali wengi watapangiwa Ulinzi wa Mabenki , fukwe , madaraja na masoko , ni masuala ya kubadilishiwa maeneo ya kazi tu .
Wakija kwangu nitawafurushaWalaiiiiiiiiiii waganga wiki hiiiiii watapata fedha nyingi hao trafiki watapishana usiku kuchaa
Hili linaenda sambamba na uteuzi mpya.. Kinana ni supika tuuNimeamini kuwa chama ndiyo kinashika hatamu hapa nchini.
Kufuatia ushauri wa Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Kinana kwa Polisi kupunguza idadi ya Askari wa Traffic barabarani.
Leo hii Polisi wamesema kuwa watatekeleza maagizo hayo mara moja.
Hakika CCM imejichimbia sana kwenye taasisi zetu za Serikali.
Ndiyo maana leo hii tunawaona wastaafu wa Jeshi hilo wapo kwenye uongozi wa chama hicho kikongwe.View attachment 2308152
Kero....ndomana wengine waliamua kutotumia vyombo vya moto...ni kero tu barabarani