Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,255
Nimeamini kuwa chama ndiyo kinashika hatamu hapa nchini.
Kufuatia ushauri wa Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Kinana kwa Polisi kupunguza idadi ya Askari wa Traffic barabarani.
Leo hii Polisi wamesema kuwa watatekeleza maagizo hayo mara moja.
Hakika CCM imejichimbia sana kwenye taasisi zetu za Serikali.
Ndiyo maana leo hii tunawaona wastaafu wa Jeshi hilo wapo kwenye uongozi wa chama hicho kikongwe.
Kufuatia ushauri wa Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Kinana kwa Polisi kupunguza idadi ya Askari wa Traffic barabarani.
Leo hii Polisi wamesema kuwa watatekeleza maagizo hayo mara moja.
Hakika CCM imejichimbia sana kwenye taasisi zetu za Serikali.
Ndiyo maana leo hii tunawaona wastaafu wa Jeshi hilo wapo kwenye uongozi wa chama hicho kikongwe.