Aisee..Aisee ukitoka Arusha kuelekea KIA wapo traffic wa kutosha wanakuvizia uovatake tu kwenye mstari mnyoofu wanawewe tayari
TUNAPOSEMA POLICCM ndio Tafsiri yake hiyo Wenye Akili kubwa Tunajua Siku nyingi ndio Maana Tunataka KATIBA MPYANimeamini kuwa chama ndiyo kinashika hatamu hapa nchini.
Kufuatia ushauri wa Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Kinana kwa Polisi kupunguza idadi ya Askari wa Traffic barabarani.
Leo hii Polisi wamesema kuwa watatekeleza maagizo hayo mara moja.
Hakika CCM imejichimbia sana kwenye taasisi zetu za Serikali.
Ndiyo maana leo hii tunawaona wastaafu wa Jeshi hilo wapo kwenye uongozi wa chama hicho kikongwe.View attachment 2308152
Subirini mtaona impacts... Tukutane hapahapa!!Hongera Kijana, Leo kwa Mara ya kwanza nimeendesha gari kwa utulivu Sana, hizi jamaa zinaboa Sana, kazi zao wanafanya with no logic
Yaani utakuta gari wanaijua Kila siku inapita lakini lazima Kila siku wakusimamisheVema maana wapo utitiri mno kwenye njia hii
Barbara ya arusha to moshi nilidhani ndiyo eneo Lao la kufanya mazoezi! Maana utadhani traffic wote Tanzania wapo hapoAisee..
Kweli..Barbara ya arusha to moshi nilidhani ndiyo eneo Lao la kufanya mazoezi! Maana utadhani traffic wote Tanzania wapo hapo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
kwa mrefu..tengeru..usa..maji ya chai..kikatiti...kia..boma..mailisita..changbay.. [emoji119][emoji119][emoji23]Barbara ya arusha to moshi nilidhani ndiyo eneo Lao la kufanya mazoezi! Maana utadhani traffic wote Tanzania wapo hapo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Daaah mimi nawaachiaga buku 5 tu..aiseeMimi huwaga nawaambia andikeni notification tu maana wanatia hasira sana.
Vipi mlima wa nyoka malori yale kuyapita haujakamatwa..?Tunduma to dar njia nyeupe , wapo ila wapo kama nyoka wa wasio na simu. Hawaumi