Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu

Kwa lugha iliyotumika hapa .....sijui hata Ile C ya ngeli niliipataje wallah...🙌
 
Serikali ya kipuuzi sana hii, inamwaga maelfu ya ajira kwa failures, badala ya kuwapa wasomi wasio na ajira.

Afu badae hiyohiyo serikali inakuja kujisifu imemwaga ajira kwa wasomi.

Upumbavu wa kiwango cha SGR, mazafucker.
 
Natoa wito kwa Wazazi kutozaa polisi ambao wanatuletea Majanga kama haya unavukaje mpaka kwenda nchi jirani bila vibali tena na silaha... Kesi yao hao askari ni ugaidi na kutaka kuteka Serikali ya Malawi... Walitaka kwenda ku occupier
 
Heading ilitakiwa kuwa Nduli wa Tanzania atuma majeshi kuivamia kijeshi nchi jirani ya Malawi.. Wanajeshi wote wakamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi na raia tu... Je jeshi lao itakuwaje?
 
Sijasema lolote juu kujua au kutokujua Kiingereza.Nina Cho jua Polisi wa Tanzania ni zero kabisa Kwenye lugha tukiachana hayo waambie siku moja wavuke mpaka wa Sirari wafike Migori waone au wavuke mpaka wa Namanga waone.
Acha upumbavu mbona polisi wengi wa kenya wanavuka kuja sirari na wengine wanabana pale mpakani wanangoja mtanzania akatize wamkamate hana barakoa atoe rushwa na hawataki waone wallet imetuna pumbavu
 
Vipi hao watuhumiwa wa mauaji wako wapi?
 
Usiwatetee polisi wamefanya uzembe, kwenye gari umebeba watuhumiwa wa mauaji unaenda kuhangaika na pikipiki ili iweje? Yote hiyo ni kutaka rushwa tu, sasa unajua hao watuhumiwa wa mauaji walipo? Je kama wametoroka kutokana na hilo sekeseke
 
wao walivuka mipaka wanategemea nini? au ndo walikuwa wanaringishia na uniform zao, kwamba na wao wanaajira YEHODAYA.
Hongera sana polisi wetu kutuwakilisha vizuri kwa kuipeleka Tanzania kimataifa, kuwathibitishia kuwa utendaji wenu unaovuka mipaka kufikiri kiweredi na kulalamikiwa na watanzania ni wa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…