Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,883
- 2,374
anayehitaji contacts zake, nitumie PM haraka... vigezo na masharti kuzingatiwa
Naomba hizo contacts
anayehitaji contacts zake, nitumie PM haraka... vigezo na masharti kuzingatiwa
Demu mwenyewe bomba hivyo, anayejua email yake anipe nimuunganishe na mwanaume mwenye pepo kama yeye.
Jessica Parfrey outside court.
Mrembo kama huyu angekuwa hapa Bongo mbona maafisa wetu wenge mfaidi sana na punde tu engepadishwa daraja.
Mahakama hiyo iliunga mkono hukumu iliyotolewa awali ya kumfukuza kazi Jessica kwa kukiuka maadili ya kazi na kuwasumbua maafisa wenzake.
duh Kaitaba ongeza uwezo kidogo wa kufikiri, hata kama unaishia hapo basi jaribu kuulazimishaAmeonewa sana, kwani maandiko yanasemaje? mmepewa bure nanyi toeni bure, kosa lake nini?