Polisi Mwanamke Mwenye Pepo la Ngono Asimamishwa Kazi

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,319
33,125
4190510.jpg

Jessica Parfrey Sunday, March 07, 2010 4:00 AM
Afisa mmoja wa polisi mwanamke wa nchini Australia amesimamishwa kazi kutokana na usumbufu anaowapa maafisa wa polisi wa kiume kwa kuwabembeleza afanye nao mapenzi. Afisa wa polisi Jessica Parfrey mwenye umri wa miaka 19, amesimamishwa kazi kutokana na usumbufu anaowapa maafisa wenzake wa kiume kwa kuwataka afanye nao mapenzi.

Ndani ya siku chache za kuanza kazi kama afisa wa polisi wa mjini Sydney nchini Australia, Jessica alimtongoza bosi wake akimwambia kuwa "Kila mtu anajua kuwa unatakiwa uwe na uhusiano wa kimapenzi na mfanyakazi mwenzako".

Mwezi mmoja baada ya kuona bosi wake hana dalili zozote za kukubali, Jessica alimfuata na kumwambia "Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 19, unaonaje tukifanya mapenzi tu, hivi wewe una matatizo gani?"

Mahakama ya mambo ya kazi iliambiwa pia kuwa Jessica alifanya mapenzi na afisa mwingine wa polisi kwenye choo cha baa.

Jessica hakuishia hapo, alimsumbua afisa mwingine mwanaume wa polisi kwa kumpigia simu mara 12 na kumtumia meseji sita kabla ya kumuahidi kumsaidia afisa huyo kwenye mtihani wake wa mambo ya polisi. Jessica alimwambia afisa huyo kuwa kwa kila swali moja atakalopata basi yeye atasaula nguo yake moja. Afisa huyo alikataa dili hilo.

Awali Jessica alisimamishwa kazi mwishoni mwa mwaka 2007 lakini alikata rufaa akisema kuwa matukio ya yeye kuwataka maafisa wenzake yalitokea wakati wakiwa baa nje ya muda wa kazi.

Mahakama ya kazi ya mjini Sydney ilitoa uamuzi wake juzi na kuitupilia mbali rufaa ya Jessica.

Mahakama hiyo iliunga mkono hukumu iliyotolewa awali ya kumfukuza kazi Jessica kwa kukiuka maadili ya kazi na kuwasumbua maafisa wenzake.
 
Huyo dada ni hatari, maana katika dunia ya leo hata kama sayansi na teknolojia imebadilisha mambo mengi lakini Jessica amepitiliza sasa jamani Du, hadi nahisi aibu!
 
Angekuwa bongo huyo sidhani kama angefukuzwa kazi, ungeshangaa kukuta anakaribia kuwa IGP.
 
Unatakiwa uwe na tabia njema hata nje ya kazi zako,kwa namna fulani huko nje unamwakilisha mwajiri/ofisi/kampuni
 
506692-sex-offer-claims-039-all-lies-039-.jpg





01194251.jpg

01154543.jpg


Jessica Parfrey outside court.


Mrembo kama huyu angekuwa hapa Bongo mbona maafisa wetu wenge mfaidi sana na punde tu engepadishwa daraja.
 
DAH Nadhani angekuwa Bongo ofisi yeyote ile angekuwa deputy director/manager/msemaji wa Kampuni na safari kila siku za nje, wabongo wamemeza mkia wa fisi maji.
 
natamani angekuwepo kituo kidogo cha polisi pale kwa ali maua njia ya kwenda home kwangu..daaaaah ningemdandia mimi huyu
 
Demu mwenyewe bomba hivyo, anayejua email yake anipe nimuunganishe na mwanaume mwenye pepo kama yeye.
 
Ameonewa sana, kwani maandiko yanasemaje? mmepewa bure nanyi toeni bure, kosa lake nini?
 
Afisa huyu aletwe kwa kina Mwema na Kova mwenyewe atakiona cha moto! Nyama ya Afande..
 
Huyo demu ana pepo la ngono anafaa kupepewa.Laiti angekuwa hapa bongo,angeteuliwa kushika wadhifa wa kamanda Kova.
 
Back
Top Bottom