kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
Kama hujui au huelewi muda nao ni tiba tosha.Jifarijini kwa nahau za kijinga,hata kicha ana mwisho wa ukichaa wake atapona tu bila dawa kwa sababu kila kitu kina mwisho,aliyewaloga?
Kama hujui au huelewi muda nao ni tiba tosha.Jifarijini kwa nahau za kijinga,hata kicha ana mwisho wa ukichaa wake atapona tu bila dawa kwa sababu kila kitu kina mwisho,aliyewaloga?
Ugonjwa unatibiwa kwa dawa au muda?Kama hujui au huelewi muda nao ni tiba tosha.
Basi sawa.ndiyo mwisho wako huo!
Wakumbuke ya misiri,vifaru vilishindwa kwa ngugu ya umaWanayoyafanya Polisi wa Tanzania ni zaidi ya ddhuluma. Siro, sijui utaficha wapi sura yako na nafsi yako watanzania watakaposema basi na dhulma unazowatendea watanzania.
Mnafanya matendo yenye laana bila woga. Mna waua raia wasio na hatia. Mna wanyanganganya watanzania haki zao mchana kweupe. Kazi zenu ni kuwalinda. Punde mtasaga meno bila kujua pa kukimbilia.
Kwa matendo yenu, tambueni, kwamba hakuna jeshi ambalo limewahi kuwashinda raia. Jeshi la raia lisilo na bunduki lina nguvu kuliko bunduki zenu.
Ukombozi huko njiani watu wamechoshwa na dhuluma zenu
Misri kulikuwa na nguvu ya umma kweli kweli TZ kuna nguvu ya midomo sana,hakuna wa kupambana hata na stick.Wakumbuke ya misiri,vifaru vilishindwa kwa ngugu ya uma
Unatumia kichwa au?Polisi wakikimbia na kuacha silaha nini kitafuata?ok hiyo chadema haitakuwa na polisi?kama ikitokea bahati mbaya wakafanikiwa kuongoza nchi unafikiri hawatakuwa na upinzani?Polisi wameuziwa skendo tena iliyopangwa maksudi na mwenyekiti wa Chadema Polisi lazima wapongezwe kwa kuokoa mauaji maana ingekuwa nchi fulani tungekuwa tunazungumzia mauaji lukuki.
Ila ya CCM ni mauajiAgenda ya upinzani Tanzania haijulikani!
Sio magonjwa yote yanahitaji tiba, mengine yanahitaji muda tu kuweza kupona yenyewe km bawasiri.Ugonjwa unatibiwa kwa dawa au muda?
ungetaja na location ulipo..ili.iwapo itatokea tuje tukupongeze
Kuna Siku hao washenzi utawatafuta hutawaona wakati yamekukuta yaliokuwa yanawakuta hao washenziHongera makonda kwa kuyakarabati magari ya polisi, hawa washenzi ingekuwa ngumu sana kuwadhibiti,
Ukiwaita washenzi nina uhakika ukoo wako wote ni cdm na hata baadhi ya wazazi na marafiki zako wengi ni cdm au cuf! Kwa maana nyingine unaassocite na washenzi basi nawe ni mshenzi! Jifunze kuliattack kundi na sio kulivamia kiccm, utakuja juta hasa ukipata shida ya kuwahitaji uliowaita washenzi kukupiga tafu!Hongera makonda kwa kuyakarabati magari ya polisi, hawa washenzi ingekuwa ngumu sana kuwadhibiti,
Na siku ikitokea kwa binti yako au ndugu yako uje useme that was a freak accident!Kama unamzungumzia malaika Aquilina, that was a freak accident.
Chill NYANGA'U.
Da Mange kasemajeMuda utaongea tu mkuu.