Wanayoyafanya Polisi wa Tanzania ni zaidi ya ddhuluma. Siro, sijui utaficha wapi sura yako na nafsi yako watanzania watakaposema basi na dhulma unazowatendea watanzania.
Mnafanya matendo yenye laana bila woga. Mna waua raia wasio na hatia. Mna wanyanganganya watanzania haki zao mchana kweupe. Kazi zenu ni kuwalinda. Punde mtasaga meno bila kujua pa kukimbilia.
Kwa matendo yenu, tambueni, kwamba hakuna jeshi ambalo limewahi kuwashinda raia. Jeshi la raia lisilo na bunduki lina nguvu kuliko bunduki zenu.
Ukombozi huko njiani watu wamechoshwa na dhuluma zenu
Mnafanya matendo yenye laana bila woga. Mna waua raia wasio na hatia. Mna wanyanganganya watanzania haki zao mchana kweupe. Kazi zenu ni kuwalinda. Punde mtasaga meno bila kujua pa kukimbilia.
Kwa matendo yenu, tambueni, kwamba hakuna jeshi ambalo limewahi kuwashinda raia. Jeshi la raia lisilo na bunduki lina nguvu kuliko bunduki zenu.
Ukombozi huko njiani watu wamechoshwa na dhuluma zenu