Ukabila wa kisiasa utazaa matunda muda si mrefu Tanzania

tikatika

JF-Expert Member
May 6, 2011
2,330
4,115
Majirani zetu Rwanda hwataki kusikia mtu akijiita mimi ni mhutu au mtusi bali wanajiita wanyarwanda. Hii imetokea baada ya mauji ya wao kwa wao yaliotokea hapo 1994. Tunawashaangaa sana kwann waliuwana kwasababu ya ukabila huku kwetu sisi hatuulizani wewe kabila gani. Tunaoana na yeyote na kufanya kaz na mtu yeyote yule. Lakn kuna balaa kubwa tunalipalilia na kiukweli limeiva kabisa.

Balaa hilo ni ubaguzi wa kisiasa. Warwanda waliuwana kwasababu zinazofanana na sisi . Kabila moja lilijiona ni bora kuliko kabila lingine. Liliona kabila lingine halipaswi kupewa madaraka. Halipaswi kupata elimu. Halipaswi kuwa juu kuliko wao. Waliodharauliwa walipojitutumua matokeo yake yakaja kuwa ni mauaji tunayoyaita ya kimbari.

Katika siasa za Tanzania chama kinachotawala yaan ccm na viongozi wao wanaona vyama vingine hawapaswi kupewa nchi, bali wanaostahili kutawala ni ccm tu. Hilo limejitokeza zanzibar na hata hapa bara. Vyama vya upinzani wanaonekana hawastahili kuongea chochote na wala kupewa madaraka. Sawa hamtaki kuwapa madaraka, lakn hata kuongea hawastahili. Ukiongea chochote katika nchi hii unaitwa mchochezi. Utapewa majina ya kila aina . Tena majina hayo yanatoka kwa viongoz wa ngaz za juu kabisa. Jaman hata sisi ni Watanzania.

Ubaguzi huo umeanza kuzaa matunda kwa baadhi ya maeneo, hususani zanzibar. Watu wameanza kutengana hadi misikitini. Hutengana hata kupeana huduma za jamii yakiwemo maduka kubagua wa kumuuzia bidhaa. Kubwa zaid had kuzikana. Badala ya kuangalia namna ya kurekebisha hali hiyo ndio kwanza viongoz wa kitaifa huzid kuongeza dharau kwa vyama vya upinzani na kuwaona wao si lolote si chochote. Nawashukuru sana viongoz wa upinzani kwa uvumilivu wao. Bila wao nchi hii tungekua tumeleteana noma.

Kuna watu wanawabeza wanachama wa upinzani kwamba waoga. Lakn ni uvumilivu uliowajaa ndio tunaona huu utulivu. Lakn huu uvumilivu una mwisho . Wakija kusema ina tosha hakuna wa kuwazuia. Si majeshi wala hawa polisi . Sijaona popote majeshi yalipowashinda raia wake waliochoka dhuruma na dhihaka dhidi yao. Hawa viongoz wa upinzani siku wakiachia wanachama wajichukulie sheria mkonon hapatakalika.

Wosio wangu kwa wana ccm na viongoz wa kitaifa tenden haki . Muda si mrefu chuki mnayopandikiza italipuka. Hamtakua salama na familia zenu. Maana tunaishi nao mtaan. Wananchi wataanza na wao maana ndio wanaowamudu wakati nyie mnalindwa na majeshi. Mkifikiri ni mbali sana kutengana kisiasa mimi nawaambia tushaanza kutengana ila hatujafungulia kabisa.

Endeleen kutudharau, subilieni matokeo yake. Sisi hatuna cha kupoteza. huku nyie mna mali na vyeo!!
 
Hivi Kolomije yupo?? Bashite mtawala wa himaya ya Kolomije! Ikiisha awamu hii sijui atajificha wapi masikini Bashite
 
Mleta mada uwasilishaji huu ni mzuri lakini kama kawaida watakubeza na kukukejeli. Tatizo tulibadili katiba kuingia mfumo wa vyama vingi lakini kwa uhalisia tuliviacha vyombo vya dola na serikali ktk mfumo wa chama kimoja ki uendeshaji . Na hii ilifanyika maksudikaly ili kuki favor ccm dhidi ya vyama vingine.

Cairo's
 
Nchi hii hauwezi fananisha na Rwanda. Watanzania wanaipenda Nchi yao wao wenyewe kuliko wanavyoweza ipenda chadema. Vurugu unazoziongelea za kisiasa labda Zanzibar, lakini hata utambikie kwa bibi yako Bara hawawezi gombana kisa tu wameambiwa hamna siasa mpaka 2020.
 
Sasa hivi bavicha ni kama wamechanganyikiwa,hawawezi tena kuibua siasa mbadala,wanarukia hoja ya ukabila.
Ni sefu aliewaamuuru wafuasi wake wasizike wala kununua kwenye maduka ya ccm.
Ni sefu aliekataa kupewa mkono msibani na Rais wa zanzibar,matanapa mkashangilia sana,
Muundo wa chadema na uongozi wa juu 90%,wote wanatoka kaskazini.
CCM ni chama ambacho hakizingatii kabisa ukabila wala ukanda
 
Ukabila kisiasa haupaliliwi na CCM bali chama cha CHADEMA ndicho kinacholazimisha kuanzisha ugomvi wa ukabila kutokana na matamshi na matendo ya viongozi wao, ambapo ushahidi wa hili ni Matamshi ya Tundu Lusu kwa kumsingizia Mhe. Rais Magufuli eti anafanya uteuzi kwa upendeleo wa kikabila, jambo ambalo halina ukweli wowote. Hebu tuchambue ukabila wa viongozi wa Chadema; Mwenyeti Mbowe ni mchaga, Lowasa ni mchaga, Sumaye ni mchaga, Halima Mdee ni mchaga, Wabunge viti maalum asilimia zaidi ya 90% ni wachaga, Viongozi na watumishi wa TRA zaidi ya asilimia 95% ni wachaga; Majority ya Maprofesa na Doctors (Phd) holders vyuoni na Serilalini ni wachaga; Majority ya RDDs, DDDs, Mameneja na Watendaji wa vyeo vya juu katika ma banks na Serikalini ni wachaga; Majority ya Walimu wakuu Shuleni na Vyuoni nchi ni wachaga; Matajiri wakubwa nchi hii ni wachaga; halikadhalika na Taasisi nyengine zote za Umma na binafsi bado majority ni wachaga.

Chadema wanaimba wimbo wa ukabila kwa vile tu, Kabila la wachaga hawataki waone makabila mengine yanapata maendeleo. Wachaga wanapenda kuona makabila mengine yote yako chini yao na yawe yanwapigia magoti ktk nyanja zote za maisha na maendeleo.

Na ndio sababu wamevidhibiti vyanga vyengine vya sisa nchini kwa koti la ukawa ili wachaga wafikishwe Ikulu kwa migongo ya makabila mengine ndani ya Ukawa.

Wangefanikiwa kuingia Ikulu 2015, basi Rais, Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Jaji Mkuu, Speaker wa Bunge, IGP, DCI na wengineo wote wangekuwa wachaga.

Na wewe Tundu Lisu, Seif Sharif Hamad (CUF) na wengine msiokuwa wachaga kwenye Ukawa mjue kuwa mnatumiwa kawa mishumaa tu wachaga wakifika safari yao nyote mtatoswa baharini. Jiulizeni waasisi wa Chadema na familia zao, akina Bob Makani na Zito Kabwe wametupwa wapi na wachaga?

Wakati umefika wa Chadema kuacha michezo yenu michafu ya kikabila katika nchi hii, sio kila mtu ni mjinga au msukule wenu.

Mwacheni Mhe. Rais Magufuli awatumikie Watanzania kwa amani, hofu yenu ya kukosa agenda ya kuwapelekea wapiga kura 2020 isiwe kisingizio cha kutuvurugia amani ya nchi yetu kwa kutumia ukabila au hujuma nyengie yoyote ile.

M/Mungu tunakuomba Umlinde Rais wetu mpendwa na mtetezi wa wanyonge, Mhe. Magufuli dhidi ya njama zozote zile za maadui wa ndani nje, kwa uwezo Wako Allah umpe umri mrefu wenye afya tele. Aamyn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi bavicha ni kama wamechanganyikiwa,hawawezi tena kuibua siasa mbadala,wanarukia hoja ya ukabila.
Ni sefu aliewaamuuru wafuasi wake wasizike wala kununua kwenye maduka ya ccm.
Ni sefu aliekataa kupewa mkono msibani na Rais wa zanzibar,matanapa mkashangilia sana,
Muundo wa chadema na uongozi wa juu 90%,wote wanatoka kaskazini.
CCM ni chama ambacho hakizingatii kabisa ukabila wala ukanda

Tatizo uelewa wako. Mimi siongelei Ukabila wa wachaga au wasukuma. Mimi naongelea ubaguzi wa kisiasa. Kujiona wanacvm ndio wanafaa katika nchi hii. Ukiwa wa chama kingine ww ni takataka kabisa. Ipo siku hali hiyo itachokwa na watu kuamua kudai haki sawa katika nchi yao. Kwa sasa huwez kupata cheo cha juu kuanzia serikali kuu mpaka kisiasa kama sio mwana ccm.hilo si jambo jema hata kidogo
 
Umeona wapinzani wanaingia serikali taratibu?

Hizi ngonjera tumeshazizoea tokea 1995

Tatizo hujui historia. Mauji ya Rwanda yakianza kuongelewa tangu 1957 yalikuja kutokea 1994. Mdharau mwimba unajua kilichompata
 
Tanzania kutokea hicho unachokihuburi mleta Uzi ni ndoto ya mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo jikoni ndg,,,,,, tatizo ni pesa tu na wakuanzisha,,,,vijana wengi hawana matumaini,,,,, hivyo ushauri kama huu usipuuzie ni vyema kuwepo na maridhiano ya kisiasa ndio busara,,,,, kujifariji kwa kuona nguo za police barabarani si sahihi,,,,,,, usalama wa ndani ya mioyo ya watanzania ni muhimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukabila kisiasa haupaliliwi na CCM bali chama cha CHADEMA ndicho kinacholazimisha kuanzisha ugomvi wa ukabila kutokana na matamshi na matendo ya viongozi wao, ambapo ushahidi wa hili ni Matamshi ya Tundu Lusu kwa kumsingizia Mhe. Rais Magufuli eti anafanya uteuzi kwa upendeleo wa kikabila, jambo ambalo halina ukweli wowote. Hebu tuchambue ukabila wa viongozi wa Chadema; Mwenyeti Mbowe ni mchaga, Lowasa ni mchaga, Sumaye ni mchaga, Halima Mdee ni mchaga, Wabunge viti maalum asilimia zaidi ya 90% ni wachaga, Viongozi na watumishi wa TRA zaidi ya asilimia 95% ni wachaga; Majority ya Maprofesa na Doctors (Phd) holders vyuoni na Serilalini ni wachaga; Majority ya RDDs, DDDs, Mameneja na Watendaji wa vyeo vya juu katika ma banks na Serikalini ni wachaga; Majority ya Walimu wakuu Shuleni na Vyuoni nchi ni wachaga; Matajiri wakubwa nchi hii ni wachaga; halikadhalika na Taasisi nyengine zote za Umma na binafsi bado majority ni wachaga.

Chadema wanaimba wimbo wa ukabila kwa vile tu, Kabila la wachaga hawataki waone makabila mengine yanapata maendeleo. Wachaga wanapenda kuona makabila mengine yote yako chini yao na yawe yanwapigia magoti ktk nyanja zote za maisha na maendeleo.

Na ndio sababu wamevidhibiti vyanga vyengine vya sisa nchini kwa koti la ukawa ili wachaga wafikishwe Ikulu kwa migongo ya makabila mengine ndani ya Ukawa.

Wangefanikiwa kuingia Ikulu 2015, basi Rais, Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Jaji Mkuu, Speaker wa Bunge, IGP, DCI na wengineo wote wangekuwa wachaga.

Na wewe Tundu Lisu, Seif Sharif Hamad (CUF) na wengine msiokuwa wachaga kwenye Ukawa mjue kuwa mnatumiwa kawa mishumaa tu wachaga wakifika safari yao nyote mtatoswa baharini. Jiulizeni waasisi wa Chadema na familia zao, akina Bob Makani na Zito Kabwe wametupwa wapi na wachaga?

Wakati umefika wa Chadema kuacha michezo yenu michafu ya kikabila katika nchi hii, sio kila mtu ni mjinga au msukule wenu.

Mwacheni Mhe. Rais Magufuli awatumikie Watanzania kwa amani, hofu yenu ya kukosa agenda ya kuwapelekea wapiga kura 2020 isiwe kisingizio cha kutuvurugia amani ya nchi yetu kwa kutumia ukabila au hujuma nyengie yoyote ile.

M/Mungu tunakuomba Umlinde Rais wetu mpendwa na mtetezi wa wanyonge, Mhe. Magufuli dhidi ya njama zozote zile za maadui wa ndani nje, kwa uwezo Wako Allah umpe umri mrefu wenye afya tele. Aamyn

Sent using Jamii Forums mobile app
Dr. Mashinji naye Mchaga

Aluta Continua
 
Usirudie kufananisha Rwanda na Tanzania
Kwani si ni sawa na wewe kufananishwa na sokwe! Acha kujitoa ujingani ili hali umo. Rwanda ni nchi na Tanzania nayo ni nchi pia. Tupe sababu za kutokulinganishwa kwake.
 
Back
Top Bottom