binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,904
- 22,292
aisee!Sasa kumpiga mwanamke akiwa mja mzito ndio nini,si unachagua pa kupiga au
aisee!Sasa kumpiga mwanamke akiwa mja mzito ndio nini,si unachagua pa kupiga au
Labda kama huna watoto nae, vinginevyo bond inakuwa kali sana, sio rahisi rahisi kihivyoMtu anakukera si uachane naye
Umefanya vizuri lakini ungeweza kufanya vizuri zaidi. Mngeshirikisha serikali balozi, serikali za mtaa na ustawi wa jamii. Hata mkuu wa wilaya mngeweza kumuuona na kutoa dukuduku lenu.Kwa kipigo anachopewa huyu Dada atasema kweli.
Mtoa taarifa kama unakimbizwa iringa ipi wilaya gani?kijiji gani??namba imeishia kati anasaidiwaje toa maelezo ya kina mtuhumiwa anaitwa nani??yupo wilaya gani?kijiji gani?Jeshi la polisi mkoa wa Iringa tunaomba mumuokoe huyu mama hapa Mkimbizi, mama huyu anateswa sana na mume wake kwa vipigo; mbaya zaidi huyu mama anaogopa kushitaki kulingana na vitisho anavyopewa. Majirani tumemsihi sana huyu baba lakini hashauriki wala hamuelewi mtu.
Watetezi wa wanawake mwanamke mwenzenu anavunda kwa vipigo msaidieni.
Huyu baba ni mkatili sana kwa kweli kwa familia yake.
Namba ya huyo mama ni 0676361*** mtafuteni muone
Mbaya zaidi huyu baba anasema haogopi chochote.
OCD tafadhali mtafuteni mtu huyu muone wenyewe.
Namba za huyo mume wake ni 0753248****
Labda kama huna watoto nae, vinginevyo bond inakuwa kali sana, sio rahisi rahisi kihivyo
Ha ha ha nataka nimpeleke dawati la jinsia kwa afande Rukia. Ila itabidi nimchukue maelezo kwanza hapo New Pub.Naona mkuu umeshageuza fursa...!
Ndipo uwezo wake wa maamuzi ulipo ishia.aisee!
Kuna watu wana akili za ajabu hadi kero.aisee!
Hiyo sio shida toa siluhisho!Kwa nini iwe sahihi kuweka namba ya simu ya mtu bila ridhaa yake hapa JF?
Na unajuaje hiyo namba ni namba ya huyo mama kweli?
Mtu akianzisha uzi na kuweka namba yako ya simu hapa ukasumbuliwa na wamachinga wote wa JF utaona sawa?
We unajua kwamba, hata kama ni kweli, sasa hivi namba imewekwa hapa inawezekana kuna kichaa anampigia huyo mama anataka kutokea hapo hapo, na hilo linaweza kusababisha kipigo zaidi?
Kama mtu anataka polisi wafuatilie, kwa nini asitoe ripoti polisi, au hata kama anatakkuwapa namba polisi, kwa nini asiwape polisi kwa faragha?
Hii ndo tabia mbaya kuna siku Milan yangu alimpiga mkewe akavimba shavu acha tu anaulizwa anasema nyiki walining'ata janaUsishangae polisi wakienda mke akasema " wala sijawahi pigwa!! watu wana wivu tuu na PENZI letu", ila sio jambo jema hata kidogo.
Joyce kilia hili atalinyia kaz bila shakaMfikishieni Joyce kiria taarifa hii, atafatilia
Ova
Angetoa namba ya hyo baba ili taasisi husika ziweze kumpa taarifa kuwa wanamuhitaji kwa mahojiano ili akapewe onyo huko hili si swala za mzaha kama ni kweli linatokea tafadhali mtoa post unaweza kwenda hata wewe mwnyw ukaripoti polisi Serikali yetu wote hii chukua hatua tafadhaliTUngekuwa na watu kama wewe 200000 tu nchi hii, ukatili wa kijinsia ungekuwa historia. Hongera sana mkuu
Mboo imemnogea.Wa kujikomboa ni huyo mama mwenyewe, nini kinamfanya asiondoke hapo? Kawekewa gundi?
dahwacha nikuquote kabisa ili ionekane.
amemfanyaje!!!
Tena atakukana zaidi ya petroUsishangae polisi wakienda mke akasema " wala sijawahi pigwa!! watu wana wivu tuu na PENZI letu", ila sio jambo jema hata kidogo.
Wa kujikomboa ni huyo mama mwenyewe, nini kinamfanya asiondoke hapo? Kawekewa gundi?