What about you? To call yourself Mwana wa Mungu sums it all.
yaani wewe kufurahia wenzio kuuawa bado tu unabishana na watu, roho gani hiyo uliyonayo mwanadamu wewe? duh! we jamaa huna akili kabisa, yaani aliyeonyesha kufurahia kifo cha hawa watu kwenye JF yote ni wewe peke yako...unaleta mkosi bwanaaaa, jirekebishe.
Si walisema JK ni chaguo la mungu? Wacha wauawe tu hadi pale watakapopata akili ya kuondoa msukule pale Magogoni.
Kwa hiyo ukweli usisemwe kwa sababu wapo wana JF/Wafiwa?]
Yaani wewe una matatizo kweli!! Kwa hiyo unaona hayo maneno yako uliyoyasema ya 'acha wauawe hadi watakapomtoa....' ndio ukweli?
Unajuaje kama hawa vijana walimpa nani kura zao?
Inawezekana kuna pointi fulani ulitaka kufikisha hapa lakini maneno uliyotumia si sahihi.
JF imevamiwa siku hizi.
Si walisema JK ni chaguo la mungu? Wacha wauawe tu hadi pale watakapopata akili ya kuondoa msukule pale Magogoni.
Police darasa la saba au form IV failure,the then mkuu wa jeshi nalisikia ni darasa la 7,na sehemu kubwa ni wa level hiyohiyo,ukienda form VI ,wanasema huna nidhamu...hata kupiga saluti shida...dah,,!!!!,BONGO.Wanaishi katika vibanda vya kuku na familia zao,mshahara huwatoshi.Wakipewa bia za bure ndio nyamazisho la kila kitu.Halafu eti waja laumu police
Shughuli tunayo,kila kona kuna uozo.Anywayz,no way...siwezi kuishi huku milele....Bongo ndio home......Nitarudi tu.I love the country,raia wema.....n I hate the politicians
MwenyeziMungu Ibariki Tanzania.