Tanganyika jeki
JF-Expert Member
- Jun 12, 2011
- 243
- 87
Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.
Nini tofauti ya 'haki' na 'wajibu' Sweetheart?
Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.
Unamaanisha hichi kilicho chini ya Kamishna Mkuu Inspector Madelu Nchemba..
Mimi lawama zote nazielekeza kwa Dhaifu! Angekuwa mkali kidogo haya yote yasingetokea!? Nina wasiwasi kama ataweza kuifikisha salama nchi yetu 2015! Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CHADEMA na Viongozi wake.
Mkuu litawachwea tu na hizo imani zenu ambazo siyo hai tafuteni nepi mtatikiswa sana mwaka huu.Tawala zinazoanguka hizi ndiyo dalili zake, ishara za siku za mwisho
Mkuu litawachwea tu na hizo imani zenu ambazo siyo hai tafuteni nepi mtatikiswa sana mwaka huu.
Mkuu Polisi wanatumika tu kutekeleza matukio ya wakubwa zao, pamoja na hayo wao pia wanastahili lawama. Haya yote yanayoendelea DHAIFU atakuwa anayafahamu hivyo yeye ndio anastahili lawama nyingi zaidi. Nchi iko katika njia panda bila hekima na busara za hali ya juu inaweza kutumbukia kwenye machafuko ya kutisha.
Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.
anza kujidunga na madawa we mwehunavuta bhange
Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.
Kuna tofauti kati ya video ya Arusha na video za CDM kupanga ugaidi, elewa hilo.Maana ya warrant ni kuipunguzia jeshi la polisi nguvu ya kuingilia uhuru wa raia ambao upo ki katiba....kuhusu
kufanyiwa upelelezi siyo kweli mbona Mwigulu alisema anazovideo zaidi za kuonyesha Ugaidi wa CDM anadai muda ukifika atazitoa kwa polisi...mbona hafuatwi usiku? Inamaana polisi wana double standard?
Chadema hakuna ivyo vyeo,vipo policcm umebugi dogo kajipange upya..inspekta general lwakatare na vibaraka wake akina kilewo chini ya usimamizi wa slaa na mbowe, mr dj
Watatumia vitu vya Ncha kali,plaiz kwa ajil ya meno na kucha..Polisi huu ni wakati wa kuonesha kuwa mko imara mshenzi yoyote akikatisha mbele yenu aipate fresh.