Polisi ndio wanaiharibu hii nchi.
Bila juhudi za makusudi Polisi wanafanya siasa za hatari za kuvuruga nchi.
Jeshi la polisi linapokosa weledi kiasi hiki halina sababu ya kuwepo.
IGP mwema asipopata busara za kujinasua makuchani mwa 'gaidi' Mwigilu Madelu Nchemba atarajie kuvuna aibu.