Mkuu kwa kuongezea ni "kitu kizito, kigimu chenye ncha kali" policcm ni noumar."Kwa sababu ilikuwa ni giza, hatukujua hicho kitu chenye ncha kali kimerushwa kutokea wapi." Hii ni ripoti ambayo ingetolewa asubuhi.
Mkuu kwa kuongezea ni "kitu kizito, kigumu sana..chenye ncha kali" policcm ni noumar."Kwa sababu ilikuwa ni giza, hatukujua hicho kitu chenye ncha kali kimerushwa kutokea wapi." Hii ni ripoti ambayo ingetolewa asubuhi.
Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.
Mbowe ni muhalifu ndiyo
Acha polisi wafanye kazi,kwani yeye ni nani asikamatwe na polisi.
Kwanza hawa polisi nadhani ni pro_chadema.
Haiwezekani mpaka sasa viongozi waandamizi wa chadema wakawa wako huru mtaani. Sorry ni kwa manufaa ya taifa
Full Genye
Mbowe ni muhalifu ndiyo
Acha polisi wafanye kazi,kwani yeye ni nani asikamatwe na polisi.
Kukiwa na Intelligence, au mtu akiona unafanya uhalifu, akataarifu polisi, utakamatwa na kuhojiwa bila kuhitaji warrant.Hawana haki hiyo na si katiba ya taifa la Tanzania labda kama tunaongozwa na rasimu mpya nako sijaona kipengele hicho unless kiwe kimetoka kwenye hansard za bunge kufuatia maagizo yalee ya mwana wa mkulima
Kwanza hawa polisi nadhani ni pro_chadema.
Haiwezekani mpaka sasa viongozi waandamizi wa chadema wakawa wako huru mtaani. Sorry ni kwa manufaa ya taifa
Mbowe ni rafiki mkubwa wa Kikwete!
Haya mengine ni kujitafutia umaarufu wa kisiasa.
N.B: Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU.
Yani hawa waganga njaa wa Mambo ya Ndani siwapendi,vilaza shule hamna wamekalia kwenye mahema..mbona polisi hawamkamati mwingulu nchemba?.sasa wamkamate mbowe
waone .sisi sio mafala.sasa hivi ni jino kwa kwa jino .nakuombena fanyeni hivyo tena polisi nendeni mkamkamate.Siongei kitu tena.