Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.
Mtu mwenye akili ya wastani inayomwezesha kuja humu jamvini kuandika ujumbe wake hatazamiwi kuandika ulichoandika wewe. Polisi ni nani na haki hiyo wanaitoa wapi?Wewe hustahili hata kuitwa --------.