Acha polisi wafanye kazi,kwani yeye ni nani asikamatwe na polisi.
Khaa!!! wewe! Mh Mbowe ni KUB. Wana namba zake za simu wameshindwa hata kumpigia simu?? Hata kujua yuko wapi?? Hii habari ina utata kama RCO na RPC hawaijui basi hao hawakuwa polisi bali majambazi. Hongera walinzi wa Mh Mbowe :bored:Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.
Mbowe ni muhalifu ndiyo
Tanzania Daima ni gazeti la propaganda na kumsifia Mbowe na CHADEMA
Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.
Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.
Achana nae kazidisha futari uyo 1haikai wala mbiliUmekariri! Si kila siku ni J2!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.
Polisi wana haki ya kumkamata mtu muda wowote wanaopenda.