Uliza watu dar wakuelimishe ajali ikitokea iwe ya gari ,treni,au moto au mafuriko Kwa Nini askacari huenda na bunduki?Acha uongo wewe ,kwanza mmesubiri maji yamepoa ndio mkafika eneo la tukio na mavitambi vyenu!
Nendeni shule wengi wenu hamna vyeti ,sehemu ya kutumia akili mnatumia maguvu! Panya road wamewashinda mtaweza maji yenye matope!
Nipo hapa madongo kuinama!
Bunduki kazi yake kudhibiti majambazi na vibaka wapora waathirika wasipore ChaoNilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.
Sahihi jambazi Hilo achana naloWatakuwa wanaangalia usalama
Mambo ya uwizi,uporaji kutokea
Ova
Lengo la hawa magaidi wa mtandaoni ni kutaka kujenga dhana kuwa 'Watanzania' hatujui tunachokifanya.Huelewi kazi ya bunduki ya polisi kwenye maafa?
Njoo Dar upinduke na gari au daladala ipinduke vibaka hawahangaiki kuokoa majeruhi Wala kubeba maiti ni kupora tu na ku search mifukoni Hadi maiti kuchukua pochi Simu Hadi viatu ,nguo na chupi watauza kama mitumba.waweza Kuta daladala abiria wote wako uchi wa mnyama kuanzia walio wazima,majeruhi Hadi maiti polisi wakichelewa kuwahi na bunduki zao
Kama ni nyumba mfano imevamiwa na maji au moto vibaka watawahi kubeba Hadi magodoro ,Vitanda ,TV,makochi nk hata yawe yamejaa maji na kutokomea kusikojulikana
Wewe mleta mada ni kibaka mia Kwa mia ulitaka askari wasije na bunduki upore jambazi wewe
Askari wamekudhibiti
Jeshi la wasomi Hilo weweKuna mtu aliandika humu kuwa hiyo kada ndiyo yenye akili ndogo kuliko hata 🐕🦮
Marekani ilipotokea catrina looting ilitokea sanaSahihi jambazi Hilo achana nalo
Mleta mada jambazi na kibaka alitaka waende bila bunduki Wala camera apore jambazi na kibaka mkubwa huyoMarekani ilipotokea catrina looting ilitokea sana
Kufa kufaana
Ova
Kuulia vibaka na majambazi wapora mali za waathirikaBunduki za kuuliza Majeruhi?
Kwa hiyo hawakwenda kuokoa badala yake wamekwenda kuua?Kuulia vibaka na majambazi wapora mali za waathirika
Kama wewe jambazi au kibaka jaribu kupora hata godoro linaelea wanakuua
Wakati wanatoka Monduli nimewaona walikua gari mbili,kumbe wako huko
Vyote wanafanya kuokoa na kuua vibaka na majambazi waporaji wanaokoa wakiwa na bunduki na camera zikipiga kama Kuna kibaka au jambazi wanapewa amri ya Kuna huyo kibaka mbele Yako unaokoa mwathirika anapora godoro la mwathirika mtandike risasi Kisha endelea na uokoajiKwa hiyo hawakwenda kuokoa badala yake wamekwenda kuua?
Penye matukio uhalifu upo pia kama zilivyo ajali uhalifu upo.Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.
NB:
Mmepanga kuua majeruhi Kwa hizo Bunduki?
Wanalinda maduka,sheli,huchelewi kuona kijana anaogelea na Friji la dukani kwenye maji,wahuni wapo makini kwenye tragedy kama hiziWatakuwa wanaangalia usalama
Mambo ya uwizi,uporaji kutokea
Ova
Selfie kama kawa
Aisee!!!!!!!Kuna mtu aliandika humu kuwa hiyo kada ndiyo yenye akili ndogo kuliko hata [emoji240]🦮