Polisi, bunduki Hanang ni za nini?

Polisi, bunduki Hanang ni za nini?

Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.

NB:
Mmepanga kuua majeruhi Kwa hizo Bunduki?
Wahisani yaani MAREKANI na uingereza wanataka picha ndio walete msaada.

Usifikiri kuna zaidi ya hapo.
Ila mama hatakuwa mkatili kama jiwe ule msaada wa bukoba akaupiga wote, huu wa mbulu natumai utawafikia.
 
Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.

NB:
Mmepanga kuua majeruhi Kwa hizo Bunduki?
Hao ni ulinzi wa raia na mali zao we toto wa malay@

Hawahusiki na uokozi, hawabebi mipira ya maji kwani wao sio zimamoto na uokoaji, vitendea kazi vya Police ni pamoja na bunduki, ulitaka wabebe ndoo za kuzolea tope?
 
Hao ni ulinzi wa raia na mali zao we toto wa malay@

Hawahusiki na uokozi, hawabebi mipira ya maji kwani wao sio zimamoto na uokoaji, vitendea kazi vya Police ni pamoja na bunduki, ulitaka wabebe ndoo za kuzolea tope?
...mbona unatukana? mtoa mada amesema ninyi police mliokwenda pale na bunduki ni watoto wa Malay?
 
Huelewi kazi ya bunduki ya polisi kwenye maafa?

Njoo Dar upinduke na gari au daladala ipinduke vibaka hawahangaiki kuokoa majeruhi Wala kubeba maiti ni kupora tu na ku search mifukoni Hadi maiti kuchukua pochi Simu Hadi viatu ,nguo na chupi watauza kama mitumba.waweza Kuta daladala abiria wote wako uchi wa mnyama kuanzia walio wazima,majeruhi Hadi maiti polisi wakichelewa kuwahi na bunduki zao

Kama ni nyumba mfano imevamiwa na maji au moto vibaka watawahi kubeba Hadi magodoro ,Vitanda ,TV,makochi nk hata yawe yamejaa maji na kutokomea kusikojulikana

Wewe mleta mada ni kibaka mia Kwa mia ulitaka askari wasije na bunduki upore jambazi wewe

Askari wamekudhibiti
Acha basi kutetea upuuzi.
Ukweli ni kwamba ndugu zetu wanapenda kutumia nguvu sana hata sehemu ambako inahitaji matumizi ya akili kidogo.

Kwani hawawezi kujigawa wengine ulinzi halafu wengine kuokoa na hao walinzi wakatumika kulinda zone kuliko kushangaa ndani ya eneo la kazi?
 
Huelewi kazi ya bunduki ya polisi kwenye maafa?

Njoo Dar upinduke na gari au daladala ipinduke vibaka hawahangaiki kuokoa majeruhi Wala kubeba maiti ni kupora tu na ku search mifukoni Hadi maiti kuchukua pochi Simu Hadi viatu ,nguo na chupi watauza kama mitumba.waweza Kuta daladala abiria wote wako uchi wa mnyama kuanzia walio wazima,majeruhi Hadi maiti polisi wakichelewa kuwahi na bunduki zao

Kama ni nyumba mfano imevamiwa na maji au moto vibaka watawahi kubeba Hadi magodoro ,Vitanda ,TV,makochi nk hata yawe yamejaa maji na kutokomea kusikojulikana

Wewe mleta mada ni kibaka mia Kwa mia ulitaka askari wasije na bunduki upore jambazi wewe

Askari wamekudhibiti
Huna tofauti na utumbo wa bata wewe. Inaonekana wewe umezaliwa ushenzini huko swekeni ambako hakuna ustaarabu kabisa na muda wote mnapelekeshwa wa viboko.
 
Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.

NB:
Mmepanga kuua majeruhi Kwa hizo Bunduki?
Uelewa wako uko chini sana mkuu. Au vinginevyo umeamua tu uonekane na wewe umeanzisha habari.

Uaskari ni bunduki. Askari bila bunduki ni Sawa sawa na wewe tu. Hivyo kuonekana askati ana bunduki ni kawaida sana.
 
Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.

NB:
Mmepanga kuua majeruhi Kwa hizo Bunduki?
Una umri gani hujui kazi ya polisi?? Polisi sio jeshi la uokoaji.. ni jeshi la kulinda usalama wa raia na mali zake.. uokoaji kama watafanya ni ziada.. hizo silaha ni vitendea kazi vyao kwa jukumu lao mama..
 
Back
Top Bottom