mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,856
- 136,753
Uwizi uporaji lazima utokeeWanalinda maduka,sheli,huchelewi kuona kijana anaogelea na Friji la dukani kwenye maji,wahuni wapo makini kwenye tragedy kama hizi
Kwenye maafa wezi lazima wawepo
Ova
Uwizi uporaji lazima utokeeWanalinda maduka,sheli,huchelewi kuona kijana anaogelea na Friji la dukani kwenye maji,wahuni wapo makini kwenye tragedy kama hizi
Posho vp?Ni moja ya kitendea kazi chake
Wanaopanda kwenye paa na bundukiJeshi la wasomi Hilo wewe
Wahisani yaani MAREKANI na uingereza wanataka picha ndio walete msaada.Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.
NB:
Mmepanga kuua majeruhi Kwa hizo Bunduki?
Hao ni ulinzi wa raia na mali zao we toto wa malay@Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.
NB:
Mmepanga kuua majeruhi Kwa hizo Bunduki?
hawa ndo wenyewe ingawa nao wana udhaifu wao mtaani..
SWALI: Bunduki za nini?Hao ni ulinzi wa raia na mali zao we toto wa malay@
Hawahusiki na uokozi, hawabebi mipira ya maji kwani wao sio zimamoto na uokoaji, vitendea kazi vya Police ni pamoja na bunduki, ulitaka wabebe ndoo za kuzolea tope?
...mbona unatukana? mtoa mada amesema ninyi police mliokwenda pale na bunduki ni watoto wa Malay?Hao ni ulinzi wa raia na mali zao we toto wa malay@
Hawahusiki na uokozi, hawabebi mipira ya maji kwani wao sio zimamoto na uokoaji, vitendea kazi vya Police ni pamoja na bunduki, ulitaka wabebe ndoo za kuzolea tope?
Acha basi kutetea upuuzi.Huelewi kazi ya bunduki ya polisi kwenye maafa?
Njoo Dar upinduke na gari au daladala ipinduke vibaka hawahangaiki kuokoa majeruhi Wala kubeba maiti ni kupora tu na ku search mifukoni Hadi maiti kuchukua pochi Simu Hadi viatu ,nguo na chupi watauza kama mitumba.waweza Kuta daladala abiria wote wako uchi wa mnyama kuanzia walio wazima,majeruhi Hadi maiti polisi wakichelewa kuwahi na bunduki zao
Kama ni nyumba mfano imevamiwa na maji au moto vibaka watawahi kubeba Hadi magodoro ,Vitanda ,TV,makochi nk hata yawe yamejaa maji na kutokomea kusikojulikana
Wewe mleta mada ni kibaka mia Kwa mia ulitaka askari wasije na bunduki upore jambazi wewe
Askari wamekudhibiti
Siyo jukumu lao,Kwani hawawezi kujigawa wengine ulinzi halafu wengine kuokoa na hao walinzi wakatumika kulinda zone kuliko kushangaa ndani ya eneo la kazi?
Sasa hapo wanashangaa nini?Siyo jukumu lao,
Jukumu la msingi kwa police ni ulinzi, hawana taaluma ya uokozi,
Huna tofauti na utumbo wa bata wewe. Inaonekana wewe umezaliwa ushenzini huko swekeni ambako hakuna ustaarabu kabisa na muda wote mnapelekeshwa wa viboko.Huelewi kazi ya bunduki ya polisi kwenye maafa?
Njoo Dar upinduke na gari au daladala ipinduke vibaka hawahangaiki kuokoa majeruhi Wala kubeba maiti ni kupora tu na ku search mifukoni Hadi maiti kuchukua pochi Simu Hadi viatu ,nguo na chupi watauza kama mitumba.waweza Kuta daladala abiria wote wako uchi wa mnyama kuanzia walio wazima,majeruhi Hadi maiti polisi wakichelewa kuwahi na bunduki zao
Kama ni nyumba mfano imevamiwa na maji au moto vibaka watawahi kubeba Hadi magodoro ,Vitanda ,TV,makochi nk hata yawe yamejaa maji na kutokomea kusikojulikana
Wewe mleta mada ni kibaka mia Kwa mia ulitaka askari wasije na bunduki upore jambazi wewe
Askari wamekudhibiti
Uelewa wako uko chini sana mkuu. Au vinginevyo umeamua tu uonekane na wewe umeanzisha habari.Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.
NB:
Mmepanga kuua majeruhi Kwa hizo Bunduki?
AiseeUelewa wako uko chini sana mkuu. Au vinginevyo umeamua tu uonekane na wewe umeanzisha habari.
Uaskari ni bunduki. Askari bila bunduki ni Sawa sawa na wewe tu. Hivyo kuonekana askati ana bunduki ni kawaida sana.
Una umri gani hujui kazi ya polisi?? Polisi sio jeshi la uokoaji.. ni jeshi la kulinda usalama wa raia na mali zake.. uokoaji kama watafanya ni ziada.. hizo silaha ni vitendea kazi vyao kwa jukumu lao mama..Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.
NB:
Mmepanga kuua majeruhi Kwa hizo Bunduki?