Polisi, bunduki Hanang ni za nini?

Polisi, bunduki Hanang ni za nini?

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,405
Reaction score
11,216
Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki.

NB:
Mmepanga kuua majeruhi Kwa hizo Bunduki?

1701703229444.png
 
Nilidhan vikosi vikazanie UOKOZI na kuwajengea makazi waathirika. Badala yake Ni mwendo wa kupiga picha na kuzunguka na Mabunduki
Huelewi kazi ya bunduki ya polisi kwenye maafa?

Njoo Dar upinduke na gari au daladala ipinduke vibaka hawahangaiki kuokoa majeruhi Wala kubeba maiti ni kupora tu na ku search mifukoni Hadi maiti kuchukua pochi Simu Hadi viatu ,nguo na chupi watauza kama mitumba.waweza Kuta daladala abiria wote wako uchi wa mnyama kuanzia walio wazima,majeruhi Hadi maiti polisi wakichelewa kuwahi na bunduki zao

Kama ni nyumba mfano imevamiwa na maji au moto vibaka watawahi kubeba Hadi magodoro ,Vitanda ,TV,makochi nk hata yawe yamejaa maji na kutokomea kusikojulikana

Wewe mleta mada ni kibaka mia Kwa mia ulitaka askari wasije na bunduki upore jambazi wewe

Askari wamekudhibiti
 
Huelewi kazi ya bunduki ya polisi kwenye maafa?

Njoo Dar upinduke na gari au daladala ipinduke vibaka hawahangaiki kuokoa majeruhi Wala kubeba maiti ni kupora tu na ku search mifukoni Hadi maiti kuchukua pochi Simu Hadi viatu...
Acha uongo wewe ,kwanza mmesubiri maji yamepoa ndio mkafika eneo la tukio na mavitambi vyenu!

Nendeni shule wengi wenu hamna vyeti ,sehemu ya kutumia akili mnatumia maguvu! Panya road wamewashinda mtaweza maji yenye matope!

Nipo hapa madongo kuinama!
 
Back
Top Bottom