intelijensia isiyokuwa na intelijensi
qualification ya kuajiliwa Polisi tanzania ni Division Four yenye pointi 28 ambayo ni sawa na Division Zero na sawa na darasa la saba. Mtu mwenye elimu ya kiwango hicho anaweza akajua hata maana ya intelijensia?
chadema waombe polisi wasiwe wanaenda kwenye mikutano yao maana inaonekana kazi yao ni kupeleka fujo tu badala ya kulinda amani
Waliwaua na kuwapiga wanachadema wa arusha waliokuwa wanaandamana kudai haki yao wakisingizia taarifa za kiintelijensia.jana polisi wakaacha chadema waandamane wenyewe ili waone kama watazua vurugu ili wapate cha kusema. Kwa mshangao wao mashujaa wetu wakaagwa kwa amani bila fujo yoyote.
kwa hili polisi wameumbuka na taarifa zao za kiintelijensia
qualification ya kuajiliwa Polisi tanzania ni Division Four yenye pointi 28 ambayo ni sawa na Division Zero na sawa na darasa la saba. Mtu mwenye elimu ya kiwango hicho anaweza akajua hata maana ya intelijensia?
we don't have intelligence, though there are intelligent people there. No intelligence!!Intelijensia ya Mwema ni bomu.
Polisi awana haya awa, angalia kiwango cha elimu, hakuna anaeenda polisi kutoka form four mwenye division one wala two wala three. Labda mtoto wa kigogo anayejua god father atamnyanyua. Hiivyo tusiwalaumu. Ni uwezo wa kufikiri na kuamua.
Polisi awana haya awa, angalia kiwango cha elimu, hakuna anaeenda polisi kutoka form four mwenye division one wala two wala three. Labda mtoto wa kigogo anayejua god father atamnyanyua. Hiivyo tusiwalaumu. Ni uwezo wa kufikiri na kuamua.
Waliwaua na kuwapiga wanachadema wa arusha waliokuwa wanaandamana kudai haki yao wakisingizia taarifa za kiintelijensia.jana polisi wakaacha chadema waandamane wenyewe ili waone kama watazua vurugu ili wapate cha kusema. Kwa mshangao wao mashujaa wetu wakaagwa kwa amani bila fujo yoyote.
kwa hili polisi wameumbuka na taarifa zao za kiintelijensia
Andengenye na Zuberi wanang'ang'ania nini siwaondoke tu?
Mwema afukuzwe kazi maana akijiuzulu bado kapewa heshima.
Ni heri wangeruhusu tu ule mkutano wa 5th ufanyike, watu wa 12th walikuwa wengi sana kwanza ukizingatia ilikuwa ni siku ya mapumziko na watu walikuwa na hasira sio mchezo kila mtu alisema liwalo na liwe walikuwa wamejitoa muhanga kabisa. Na polisi wamejifunza sidhani kama watarudia kosa tena.