Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,298
- 2,150
Hapo kwa Hamza unamaanisha nini?huu ni ugonjwa wa akili pia.
hawa ndio akina hamza ambao hawajaisoma dini bado.
Hapo kwa Hamza unamaanisha nini?huu ni ugonjwa wa akili pia.
hawa ndio akina hamza ambao hawajaisoma dini bado.
Alistahili kushushwa cheo. Kama hakutii mamlaka, alitegemea kupata nini hasa, kuweka rekodi nyingine?Katika Hali ya kushangaza Askari polisi ,Meshack Laizer aliyepandishwa cheo Na IGP Simon Siro Disemba 22,2019 jiji Arusha Kwa kukataa Rushwa ya sh,milioni kumi ,amevuliwa vyeo vyote rasimi baada ya kukataa kwenda kusomea cheo hicho, CCP Moshi.
Meshack alipanda cheo kutoka sajenti Hadi staffsajenti Kutokana na jitihada zake za kupambana na Rushwa baada ya kukataa burungutu la sh, milioni 10.
Askari hiyo ambaye Kwa Sasa ni askari wa kawaida mwenye cheo Cha Koplo akiwa mkuu wa kituo kidogo Cha polisi Kijenge amethibitisha kuvuliwa vyeo vyote baada ya kupokea barua , desemba 12,2021 ikimtaarifu kwamba umevuliwa vyeovyote tangu novemba 26 mwaka huu.
Alisema katika utendaji wake wa kazi jijini Arusha,amewahi kukataa Rushwa ya sh, 250,000 kutoka kwa raia mmoja aliyemkuta akiendesha kiwanda bubu Cha kutengeneza vichwa vya majiko ya gesi, tukio lililotolewa Julai 3 mwaka 2020.
Pia askari huyo alidai kukaa Rushwa ya sh, 150,000 na sh,milioni 10 Kwa watu waliotaka kumhonga .
Alisema matukio hayo yalimpatia sifa ya utendaji Kazi uliotukuka ndani ya jeshi Hilo na kupelekea,polisi Arusha, Takukuru pamoja na IGP Siro kumwandikia barua za kumpongeza .
PC Meshack alipandishwa cheo na IGP Siro mwaka 2019 kupitia Kwa aliyekuwa RPC Arusha, Marehemu Jonathan Shana baada ya kukataa Rushwa ya sh, milioni 10 kutoka Kwa kampuni Moja ya mafuta baada ya kukamata gari la Kampuni hiyo likiuza mafuta mtaani bila kufuata utaratibu.
Askari huyo ambaye alipendeke zwa kupanda cheo mwaka huu ,kutoka staff sajenti na kuwa SM/RSM amejikuta akishushwa vyeo vyote na kuwa askari wa kawaida jambo ambalo amemwomba Rais Samia na waziri wa mambo ya ndani George Simbachawene kumsaidia .
Hata hivyo alidai kwamba licha ya kupandishwa cheo mwaka 2019 ,hakuwahi kuongezewa mshahara kwani malipo yake yalikuwa ni ya askari wa kawaida.
View attachment 2053636
Sasa kama haki inapindishwa na walio juu huku chini ufanye nini?
Kuna afisa uhamiaji akimkamata Mchina hana vibali , Mchina alimpa $5,000 wayamalize. Afisa akazikataa, alimuweka ndani. Kesho yake boss wake alimtoa Mchina. Sasa si kheri angejilia $5,000 zake.
Mkuu Waziri2025 , kwanza asante kwa taarifa hii, itafika kunako, ila kwanza lets put the records clear.
Sii kweli kuwa amevuliwa vyeo vyote na kubaki askari wa kawaida, bali amevuliwa vyeo alivyopandishwa fasta na kubaki na rank aliyokuwa nayo kabla ya kupandishwa.
Askari wa kawaida ni yule asiye na cheo chochote, Coplo ni mbavu mbili, ni cheo!. Hivyo heading kuwa amevuliwa vyeo vyote sii taarifa sahihi, bali amevuliwa vyeo vya kupwa bure bure na kurejeshewa kile cheo chake cha zamani!.
Kwenye polisi, majeshi na askari wetu kuna vyeo vya aina 4.
Kwa vyeo vyote vya chini, ili askari kupanda cheo kimoja kwenda kingine ni lazima ahudhurie kozi. Hivi vyeo vya kupeana tuu, hufuatiwa na aliyepewa kuhudhuria kozi.
- Junior NCO's,- private, la corplo na corploKoplo wa Polisi(cpl)Koplo Usu
Konstebo wa Polisi(pc)- Senior NCO's - Sergeant, Staff Sergeant na Warrant officer 1&2/Sir Major (kolokolo) Sajini Meja wa polisi(rsm), Stesheni Sajini wa Polisi(s/sgt) na Sajini wa Polisi(sgt)
- Junior COs- Maofisa wadogo Mrakibu Msaidizi wa Polisi(ASP), Mkaguzi wa Polisi(Insp)Mkaguzi Msaidizi wa Polisi(A/Insp)
- Senior Offices, Naibu Kamishina wa Polisi(DCP), Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP), Kamishina Msaidizi wa Polisi(ACP), Mrakibu Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SSP), Mrakibu wa Polisi(SP)
- Staff Officers- Kamishina wa Polisi(CP), Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi(DIGP), Inspekta Jenerali wa Polisi(IGP)
Vyeo vya staff officers sio vyeo vya merits ni vyeo vya hisani ya CinC.
Hivyo huyo askari, alipaswa baada ya kupata cheo kwa sadakalawe, he had to deserve kwa kwenda kozi, vinginevyo anapokonywa!.
Nimesoma mahali kuwa alikuwa Sajini, sasa ni koplo, huko ni kushushwa cheo, aseme vuzuri tuu, kuna kosa amefanya kustahili kushushwa cheo, hivyo awe muwazi tuu.
P
Mimi siwakubali ma police ila huyu ni unique na ana utu unaweza fikiria sio police na ni mwadilifuSijui Ni Mimi TU?
Yaan Sijawai kabisa kujiskia kuwaonea huruma polisi wa nchi hii wanapopatwa na matatizo
Huyo jamaa kama ni memwelewa atakuwa ameonewa.naye mjinga tu....unapandishwa cheo na unapewa opportunity ya kwenda kusoma. Hakujua kuwa pengine akimaliza kusoma atapanda zaidi ya staff sajent?
Kwa vyeo vyote vya chini, ili askari kupanda cheo kimoja kwenda kingine ni lazima ahudhurie kozi. Hivi vyeo vya kupeana tuu, hufuatiwa na aliyepewa kuhudhuria kozi.
Vyeo vya staff officers sio vyeo vya merits ni vyeo vya hisani ya CinC.
Hivyo huyo askari, alipaswa baada ya kupata cheo kwa sadakalawe, he had to deserve kwa kwenda kozi, vinginevyo
Soma vizuri.Umeandika kisiasa sana
Angeeleza kwanini ameshushwa cheo maana taarifa ya kiofisi kwa mujibu wa PGO anayo.
Sasa kama alifanya utovu wa nidhamu kwann asiadhibiwe? Atoe sababu alizopewa
Sababu ni hii hapa chini. Sasa yeye alitaka apewe cheo huku amegoma kwenda chuoni?Umeandika kisiasa sana
Angeeleza kwanini ameshushwa cheo maana taarifa ya kiofisi kwa mujibu wa PGO anayo.
Sasa kama alifanya utovu wa nidhamu kwann asiadhibiwe? Atoe sababu alizopewa
amevuliwa vyeo vyote rasimi baada ya kukataa kwenda kusomea cheo hicho, CCP Moshi.
Cariah kumbe wewe wa chuga?Huyu police kawahi nisaidia na ni mtu mwema, maana ma police wengi ni waovu, Simbachawene na Rais wamsaidie huyu police kupata haki yake aisee
Ila Arusha sijui kwanini? Kama pale central police yule Gwakisa sio mtenda haki. Yule na OCD wahamishwe. Kwa pamoja wanasaidia matajiri kipokonya haki za wananchi maskini. Huo ndio ukweli. WahamishweHuyu police kawahi nisaidia na ni mtu mwema, maana ma police wengi ni waovu, Simbachawene na Rais wamsaidie huyu police kupata haki yake aisee
NI kweli lakini pia umeamua kukwepa kabisa kuizungumzia issue ya cheo chake since mwaka 2019 todate kwamba kilikua bila mshahara? Hiyo paragraphy hukuiona kabisa? Anywa, hi nchi ngumu sana, asikwambie mtuUmeandika kisiasa sana
Angeeleza kwanini ameshushwa cheo maana taarifa ya kiofisi kwa mujibu wa PGO anayo.
Sasa kama alifanya utovu wa nidhamu kwann asiadhibiwe? Atoe sababu alizopewa