Kwa mujibu wa PGO ukipandishwa cheo kama hujakisomea inabidi ukakisomee sasa kama labda hataki kwenda kusomea kwa mujibu huo huo wa PGO wanamshusha arudi alipokuwa.Mbona nasikia kasimamishwa kazi kwa kujibu wa PGO ....
😂😂😂polisi alilia vyeo (kichwa cha habari)😂
Kumbe raia hamsomi kwa kuelewa .Sababu za kushusha vyeo?
Tena kuna askari mmoja jana alimkata mtama shabiki wa Simba aliyeenda uwanjani kumpongeza mchezaji aliyefunga goli, akajikuta anakula mitama na kusababisha jamaa ashindwe kula X-mass vizuri.Sijui Ni Mimi TU?
Yaan Sijawai kabisa kujiskia kuwaonea huruma polisi wa nchi hii wanapopatwa na matatizo